lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
Ni kutokujitambua. Na ukiangalia wengi wanaofanya hivyo ni baadhi ya watu fulani au kundi la watu fulani fulani kutoka jamii fulani.
Ngoja niishie hapo nisije nikachafua hali ya hewa.
wakuu hivi kwa nini wanawake wa kiafrika wanapenda sana kujichubua wawe weupe kama wazungu? je tatizo nini hapa? hawajihamini,maendeleo au ulimbukeni?
Mbona papuchi zinakua nyeusi why mchunguzi
Mada zako zote kwanini unapenda kuweka NEWS ALERT?
WENGI WANAANGALIA SOKO LINASEMAJE?
Wasio upenda utu wao weusi ndio wanaofanya kazi ya kujichubua...ila anayejikubali na uafrika wake haezi fanya huo ushamba.
Zimefikampwa ingawazomechelewa
wakuu hivi kwa nini wanawake wa kiafrika wanapenda sana kujichubua wawe weupe kama wazungu? je tatizo nini hapa? hawajihamini,maendeleo au ulimbukeni?