Vitaimana
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 3,535
- 1,562
wakuu hivi kwa nini wanawake wa kiafrika wanapenda sana kujichubua wawe weupe kama wazungu? je tatizo nini hapa? hawajihamini,maendeleo au ulimbukeni?
Tatizo ni nyinyi wanaume wa kibongo! mkiona cheupe dawa mnavibrate saaana! na invoice mnakata ndefu kuliko kwa cheusi dawa!