Kwanini wanawake wa kibongo wanapenda kujibadilisha wawe weupe kama wazungu?

Kwanini wanawake wa kibongo wanapenda kujibadilisha wawe weupe kama wazungu?

wakuu hivi kwa nini wanawake wa kiafrika wanapenda sana kujichubua wawe weupe kama wazungu? je tatizo nini hapa? hawajihamini,maendeleo au ulimbukeni?

Wanawake wa kibongo ni feki kuanzia nywele. eyelashes, skin, meno ya dhahabu, maziwa wanayafanya yawe juu juu feki down mpaka mwendo ni feki. Ndio maana wengine wanafuata wanafunzi ili wapate taste ya the REAL THING. Maongezi yao feki, mtu anakunywa safari akiwa na mwanamme anakunywa saint anne. I hate them
 
Wanawake wa kibongo ni feki kuanzia nywele. eyelashes, skin, meno ya dhahabu, maziwa wanayafanya yawe juu juu feki down mpaka mwendo ni feki. Ndio maana wengine wanafuata wanafunzi ili wapate taste ya the REAL THING. Maongezi yao feki, mtu anakunywa safari akiwa na mwanamme anakunywa saint anne. I hate them

umeongea kwa hisia sana mkuu...ila ni kweli
 
Kwa sababu WANAUME wanaume wana mtazamo kuwa <strong>CHEUPE NDIO KIZURI</strong>. Kwa hiyo wanaume wakibadili mindset yao kuhusu uzuri basi na wanawake nao watabadilika. Its all about men's mind set na hii nadhani ipo duniani kote. Mfano, kwa wanaume wa kichina, mwanamke mzuri ni MWEMBAMBA , kwa hiyo wanawake wa kichina hufanya kila wawezalo wasinenepe ndio mana utaona wao wanatengeneza madawa ya kukuza hips na makalio(ashakum si matusi) lakini WAO WENYEWE HAWATUMII, wanaleta Afrika na kwengineko ambako mtizamo wa uzuri umejengeka kwa mwanamke kuwa na viungo vikubwa kama nilivyovitaja hapo juu.

Kwa io ikatokea tukasema kwamba tukaeka mind set yet kua mwanamke kipofu ndo mzuri mtajitoboa macho au? Maana si ufanye kitu for someone.
 
Kwa mfano ukiangalia mawaziri au wabunge karibu wote wana nywele feki ispokua mama Fenela. she is very natural halafu ni msomi si mchezo.
Mastaa au tunaowaita mastaa. yaani kila kitu feki mpaka fikra ni feki. Mbona wanawake zetu mna sura nzuri tu kwanini mnajiharibu mnaonekana kama mumiani aliyekunywa damu ya watu.
Jirekebisheni mtapata wa kuwaoa. hakuna anaependa kuoa mwanamke feki kuanzia nywele hadi mwendo, wengi mtahisiwa hata P ni feki.
 
Sio bong tu, read this from huffingtonpost.......

''.....Dr. Margaret Hunter, head of the Sociology Department at Mills College, has seen the popularity of bleaching creams surge in recent years. "Skin bleaching is a growing phenomenon around the world and it's becoming a bigger business," she says. "Now it's a multi-billion dollar business and all the biggest cosmetic companies sell products that are supposed to lighten your skin." While you won't find many products in the U.S. that blatantly promise to bleach or whiten skin, Dr. Hunter says they are commonplace in other parts of the world. "They're popular throughout many African countries, the Caribbean, Latin America, the Middle East, India, Philippines, Japan -- broadly," she says.

Some women are willing to do whatever it takes to achieve a lighter complexion. "What's also terrifying is that we've yet to see a product that makes you look lighter and look good, and human," says columnist Jamilah Lemieux. "And that people are willing to walk around looking like aliens -- like some ghastly creature from a Steven Spielberg movie … they prefer that over their God-given color," she says in disbelief
 
Wanaume tuna mchango mkubwa sana na kujichuna kwao!wanaharibika kweli wanakuwa kama vinyago
 
wamasai hawajichubui laba huko dar kwenu huko oldonyosamvu bado sisi wote ni weusi tii
 
Wanakuwa wabaya sana kama midubwana.Kwa kweli hampendezi na sivutiwi kabisa na mwanamke anayejichubua.
 
rubii
wewe km unajielewa ya nini ujichubue na hayo makorokoro wanayoleta toka chini..

Jitunze mama...ntakutolea mahari
 
Last edited by a moderator:
Eti waonekane kama wazungu. hawajiulizi mbona wazungu sio wanene kama wao ? Me I like natural african woman aliyejazia jazia halafu asuke au au asuke rasta. asijipake kisusio wala nini na ikiwezekana aogee mbuni na ajipake mafuta ya nazi. kama yuko kama huyo hapa ani pm nimtumie vocha
 
Hawajui tuu, mafuta ya nazi ndio siri ya urembo. Tena upate yale organic virgin coconut oil unrefined.
 
Back
Top Bottom