Kwanini wanawake wakishikwa maziwa yanakuwa makubwa lakini wakishikwa makalio hayawi makubwa?

Kwanini wanawake wakishikwa maziwa yanakuwa makubwa lakini wakishikwa makalio hayawi makubwa?

Dogo sipo kwenye interview ujue
Ila anyway ngoja nikusaidie kukujibu

Great thinker maana yake mtu anayeweza kuwaza kwa undani zaidi au kwa lugha nyingine mtu anayeweza kuwaza nje ya box na hii ndio sababu kubwa nikipost vitu watu hujiuliza huyu mtu amewaza nini mpaka kaandika hivi ?

Hiyo ndiyo sifa kubwa ya great thinker yani kuwaza tofauti na watu wengine na hiyo ndiyo sababu kuwa inayofanya thread zangu ziwe Unique sana na zipate replies nyingi
 
Back
Top Bottom