Kwanini wanawake wanaamini kuwa mwanaume mwenye gari ndio sahihi?

Kwanini wanawake wanaamini kuwa mwanaume mwenye gari ndio sahihi?

Hao wa hivyo siwataki. Nataka mwanamke anaekubali ile slogan "Hakuna baba mwenye gari, kuna baba mwenye Nyumba."

Nataka mwanamke atakenimotivate nijenge nyumba, niwe baba mwenye Nyumba.

-callmeGhost
 
Mbona mimi wanankataaga japokuwa namiliki RANGE ROVER
8468ac1f0bdad0c8db61bfb25f8dfc2e.jpg
 
Hivi wewe mwanaume usiye na gari, asubuhi ukipewa lift na mwanaume mwenzako kwenye gari yake mkienda kazini huwa unajisikiaje?
Sasa mkeo akipewa lift na huyo huyo jamaa huwa anajisikia hivyo hivyo kama wewe, sema mara 1000.

Anachowaza kumpa huyo jamaa ni MAJALIWA, ukigundua tafuta SULUHU, ukishindwa mfunge MAKUFULI.
 
Hivi wewe mwanaume usiye na gari, asubuhi ukipewa lift na mwanaume mwenzako kwenye gari yake mkienda kazini huwa unajisikiaje?
Sasa mkeo akipewa lift na huyo huyo jamaa huwa anajisikia hivyo hivyo kama wewe, sema mara 1000.
Anachowaza kumpa huyo jamaa ni MAJALIWA, ukigundua tafuta SULUHU, ukishindwa mfunge MAKUFULI.
Haaaaaaaaa unaua mkuu
 
Haipiti mwezi lazima uzi wa kuwalalamikia mabinti kupenda magari uje humu. Muache jamani mnanipunguzia imani na mimi kujiamini kwa mai waifu wangu.
 
mnakutana na kuku wa kienyeji nyie, sa mwanamke mwingine ye mwenyewe ana gari hilo lako linamzingua nini?! atakuwa anaweka kalio moja kwako lingine kwake?!?!
 
mnakutana na kuku wa kienyeji nyie, sa mwanamke mwingine ye mwenyewe ana gari hilo lako linamzingua nini?! atakuwa anaweka kalio moja kwako lingine kwake?!?!
Tatizo kubwa ni kuwa most of the ladies hushobokea material things, tena ni vitu vinavyoonekana machoni kwa urahisi ndio maana mojawapo ni gari. Sasa akimuona mwanaume ana gari lazma ashtuke na kumungalia mara mbilimbilli hata kama yeye pia ana gari tena zuri tu kushinda hilo analoliona kwa mwanaume. Yaani hajiamini kwa kile alichonacho.

Kipimo rahisi ili kuthibitisha hili mwanaume avae nguo kuukuu na kuchukua baiskeli yake akatize maeneo ya town kwenye wanawake wengi, its obvious hakuna atakaeshughulika nae. Kwa upande mwingine mwanaume huyohuyo avae nguo nzuri na achukue aidha, BMW, Amarock, Nissan Tiguan, Ford ranger, Harrier Hybrid, Prado new model, Vogue, Jeep au Mark X, etc then akatize mitaa ileile yenye wanawake walewale ni dhahiri kuwa kila mmoja atashoboka
 
Hivi mtu anasafiri mpaka huko ulitegemea nn. Ulitaka akwambie nakuja mbeya kuzini? By implication mtu unayemwita mpenzi wako hawezi kuja mbeya halafu ukamletea mapozi, imekula kwako hiyo. Ungemwambia kabisa sex ni mpaka ndoa au mpaka mtakapoongea, sijui ulitaka muongee nn sasa, wanaume wa siku hizi hawako hivyo dada yangu!
 
Back
Top Bottom