Poverty, poverty, poverty background.Kwanini wanawake wanaamini kwamba mwanaume mwenye gari ndo mume sahihi? Je akili zao ziko miguuni hawa wanawake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poverty, poverty, poverty background.Kwanini wanawake wanaamini kwamba mwanaume mwenye gari ndo mume sahihi? Je akili zao ziko miguuni hawa wanawake?
Nikuwapa wanawake Maksi ambazo haziwahusu bila sababu. Ndio maana siku hizi vijana bila ndoa wanajiona hopeless katika maisha.Kwahiyo hata kujenga nyumba hadi uwe motivated na mpenzi wako?
Hiyo ni assumption tu na katika uhalisia mambo hayapo hivyo unavyosema. Ni kama kinyume chake tuseme wanawake wanaojenga maisha na wanaume zao wakishafanikiwa wanawaua ili wao warithi mali, je hiyo imekaaje kwako?!tumejifunza kutokana na makosa, mwanaume utamvumilia wakati yuko majalala akibutua tu anakuona sio hadhi yake
Wengi wa hawa mabinti hawana basic knowledge ya mahusiano wao wanahisi mahusiano ni uwanja wa mapambano na visirani hakuna wanachokijua kizuri nje ya hapo.It doesn't necessarily mean hivyo, mwanaume hawezi kumtoa thamani mwanamke kabla mwanamke mwenyewe hajajitoa. Tatizo you are not maintaining your status as previously been doing, ukipata unaona umepaaaaaata basi unajisahau kabisa. Don't let your partner be the only one to start the pillow talk, u should also take the lead. Acha kabisa dharau na kutojali Coz hakunaga kitu kidogo kwenye mahusiano. Maintain heshima Kama uliyoionesha awali, jali usafi wake, uzima wake, take control kuhakikisha hapati stress from inside or outside. Hakikisha unamuandalia vyakula anavyovipenda. Jali usafi wa mwili wako.
Mmmmmmhmn ukitaka vizuri jiandae kuumia.Kwa sababu hata kiokote akipata anabadilika,ni kheri upate mwenye nazo tu msaidiane kuendeleza miradi
Kizuri kula na wenzako. Nyie mbona tunawagharamikia na bado mnakwenda kukunjwa nje kama mpo single. So wembe ni ule ule wa kushare.Shida tukianza na nyie wenye mikokoteni siku mkipata hayo magari mnapata na mwanamke mwingine ambae hajachumia juani na wewe.
Uache kutafuta pesa kwa maendeleo yako unatafuta pesa ya kumfurahisha mtu nafsi yake?! Huo ni utaahira new model.Tusake noti wakuu bila Hivo tutadhalilika Sana.
Hata asiyenazo hunyenyekea coz hana akipata utaliona jua la utosiMmmmmmhmn ukitaka vizuri jiandae kuumia.
nimesikitika sana. wavulana wasiokuwa na majukumu wanaona kama wengine hawana mipango vile.Mwanaume anaemiliki gari anaonekana jasiri asieogopa kutumia na kutafuta fedha....ukikutana na kidume kinachotengeneza faida 100 m + kwa mwaka na bado kinadandia DCM mwanamke anakiogopa kwamba hiki kitamletea dhiki. Duniani tunapita nunua gari upunguze kero na uwapate hao wapenda magari. Gari raha wewe sikia tu. Iam a man nikiona nginja ina mpunga lakini bado inakomaa na daladala huwa naiona kama nginja isiyojiamini...unakusanya hela unataka kujenga dunia ingine!? Tumia helaaa weweee
Hii siyo chicken-coop kweli mkuu?Anyway,coockle o' doodle doo!Mbona mimi wanankataaga japokuwa namiliki RANGE ROVER
![]()
Sasa si ungewauliza hao uliowala..kwani sisi wanawake.Ninalo nimewala mademu mpaka nimechoka na bado hawajifunzi tu