Mwanamke ni Binadam.....jooooooh
In fact kihalisia aliumbwa kupenda mwanaume mmoja.... jooooooh
Hata ivo kutolewa usichana wake mapema au aina Fulani ya maisha ,hakumfanyi apoteze nafasi yake ya kumpenda MTU mmoja ......jooooooh...
Nakuja kwenye Point yangu !!!
Kama kawaidaaaa ,umri wao wa uschana ukipita , yaan wakianza kugonga 28+ ..jooooooh
Huwa hawataki kuchezewa ...jooooooh
Na hapa wanapokua namtu ..jooooooh
Hutamani kuzeeka naye kifamilia ...joooh
Nakama ambavyo Baadhi ya Wanaume, huwaachisha kazi wanawake zao....... Huwafungulia biashara hapo hapo.... Hufunga CCTV kameraa..... Haruhusu Mke kutoka bila...,......
Aahh wivu!?? Au ndo upenda ???
Asikuambie MTU ,Mali yako niyako na kiasili lazima ukomae kuilinda jooooooh
Wanaume hatuendi Kwa waganga ..sababu tunajua wanawake wanatutegemea sisi ...jooooh...
Niseme ivi, Wapo wanawake wanaamua KUMUOMBA MUNGU kila siku ili mumewe asichepuke awe wake tu...jooooooh
Na wengine wanasema hapanaa....Ngoja nimtie limbwata ....jooooooh
Hawa WOTE WAWILI WANA MAPENZI YA DHATI JOOOOH.
Ila wamepishana namna ya kulitunza penzi lao joooh.
KWA AINA YA UUMBWA WETU WANAUME, ULAFI WQ MBUSUSU...JOOOH
JAMAN MTUROGEEEE ,MTUROGEEE, TUKIWA NJE, MASHINE ZISISIMAME , TUKIRUDI NDANI, ZISIMAME.