Kwanini wanawake wanamwogopa sana kinyonga?

IKIRIRI

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2018
Posts
2,734
Reaction score
3,023
Huyu ni mnyama anayebadilika rangi,tangu Niko mdogo niliambiwa anajiwe la moto anaweza kukutemea ukafa.,lakini haikuwahi kutokea kuogopa.

Imekuwa tofauti kwa mama zetu,waoga mno kwann lakini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu ni mnyama anayebadilika rangi,tangu Niko mdogo niliambiwa anajiwe la moto anaweza kukutemea ukafa.,lakini haikuwahi kutokea kuogopa.

Imekuwa tofauti kwa mama zetu,waoga mno kwann lakini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mmoja alilazimika kuwa mchepuko wangu sababu ya kinyonga. Naunga mkonyo hoja..
 
Write your reply...
Ila hawamuogopi yule mdudu wa chini cjui ndo anaitwa abdala kichwa wazi vilee..Mpk wana mnyonyaa
 
wanatabia sawa!!!! wana uwezo wa kujibadilisha badilisha tabia!!!! anaweza kukuigizia kwamba anauchungu mkubwa na machozi yanatiririka lakini ndani ya moyo anazomea!!!!! anaweza kukuingiza mkenge kuwa anakupenda kumbe anambendea faranga zako!!!!
 
Mkuu si bora kinyonga? Mende je?

Yani mm my wife hadi ananikera akimuona mende anaweza kujificha hata kwenye kabati.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Oh wanawake wanaogopa kuku , mende , ng,'ombe ,mbuzi hapo ni kwa uchache tu. Tuwavumilie
Mm kuna siku nlimwambia mke wangu, mkamate kuku yeyote hapo bandani umchinje (nlikuwa namwambia hivyo coz nlinua kwa uoga alionao hawezi)

Aisee huwezi amini alikuwa akimsogelea ile kuku anakimbia na yeye anatimua mbio kwa uoga, nlicheka sana aisee hawa viumbe wa ajabu kweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mke wangu anamwogopa sana kinyonga, wanawake wanaogopa vitu vya kawaida tu.
Ukimwona mkewe haogopi kidudu chochote duniani jiulize
 
Huyu ni mnyama anayebadilika rangi,tangu Niko mdogo niliambiwa anajiwe la moto anaweza kukutemea ukafa.,lakini haikuwahi kutokea kuogopa.

Imekuwa tofauti kwa mama zetu,waoga mno kwann lakini

Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo kinyonga tu, hata aina nyingine za mijusi wanaziogopa sana.

Ukiuliza kwanini wanaogopa, waweza ambulia jibu kuwa hiyo ni asili ya maumbile.

Kama vile kupenda, unajishitukia tu mtu una "fall in love" na ukiulizwa sababu za kupenda unakosa jibu la 1kwamoja!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tabia ya kuogopa ni ya kimalezi zaidi,Wazazi wengi wanatabia ya kuwaogopesha watoto. Mfano mtoto akiwa analia,hataki kula au hataki kulala hutishwa juu ya kitu flani. Kitu hicho hujengeka kichwani kadri mtoto akuavyo.Hali hua mbaya zaidi kwa watoto wa kike kwa sababu ya nature yao(ingawa sio wote)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi namuogopa mdudu anaeitwa turanongo ( praying mantis). Jamani huyu mdudu anatisha, niliwahi kukimbia nikamuacha mteja ofisini, na sikurudi mpaka alipomuua.[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…