GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mtafiti wa Kujitegemea GENTAMYCINE nimelichunguza na kulibaini hili je,.na Wewe umeshajiuliza hili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You nailed 😂Kunatofauti kubwa Sana Kati ya mjuaji na intelligent
mtafiti wa mchongo huyu [kwa sauti ya mwaisa nyonyoma] GENTAMYCINE acha mambo ya kiwaki[emoji1787]Mtafiti wa Kujitegemea GENTAMYCINE nimelichunguza na kulibaini hili je,.na Wewe umeshajiuliza hili?
Siyo kweli..Kwanini Wanawake Wanaochiti Ndoa zao huwa ni Intelligent na Sweet kuliko wale Wasiochiti kabisa katika Ndoa zao ambao huwa kama Wamewehuka hivi?
Tafiti ya Mtu hupingwa kwa Tafiti na siyo Porojo na huu Uenyeji Uenyeji kama wako sawa?Siyo kweli..
Nadhani ungesema wanaume wanaochiti wanakuwa hivyo ndo ingekuwa sahihi
Utafiti unaotetea hoja yangu upo kwa wingi tu. Tatizo unataka utafuniwe kila kituTafiti ya Mtu hupingwa kwa Tafiti na siyo Porojo na huu Uenyeji Uenyeji kama wako sawa?
Aisee... kumbe ku cheat kuna manufaa mpaka kwa mume anayeibiwa mke, ana enjoy furaha ya mke kwa kutengenezewa nje!.Mtu asiyecheat anakuwa na visirani. Wanaocheat akirudi kutoka kucheat lazima awe sweet Kwa mmewe ili mumewe asijue.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
na ukishajikuta unaanza kufuta futa sms na sim ulizopigiwa trust me hapo hamna mapenzi yan kidudu mtu kasimama katikati na siku si nyingi mtayatimbaKucheat kunakufanya uishi kama digidigi, kila siku kuna kakitu unafichaficha, mara sms, calls...