Kwanini Wanawake wanapenda kusema "nina Msukuma wangu" na sio kusema nina Mkurya au Mchaga wangu?

Kwanini Wanawake wanapenda kusema "nina Msukuma wangu" na sio kusema nina Mkurya au Mchaga wangu?

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
10,406
Reaction score
19,892
Kuna huu msemo unaelekea kuwa maarufu hasa kwa wanawake.

Unakuta mwanamke kaishiwa labda pesa utasikia anasema "nina Msukuma wangu nitamuomba pesa atanipa" au nina Msukuma wangu ananipenda huyo.

Kwa nini huwa wanapenda kuwataja hao wanaume wao wa kisukuma in reference to their tribe?

Mbona huwa hawasemi nina Mkurya wangu au Mchaga wangu?
 
In my opinion
Wasukuma wanachukuliwa na wanawake kama watu flani wasiojielewa,so ni easy kuchunwa.
Sasa mimi mkurya au mchaga unaanzaje kunichuna kizembe zembe namna hiyo si ntakuambia tu Sina? na msukuma akilegezewa sauti tu huyo anauza ng'ombe kumhonga mwanamke.
 
Kuna huu msemo unaelekea kuwa maarufu hasa kwa wanawake.

Unakuta mwanamke kaishiwa labda pesa utasikia anasema "nina Msukuma wangu nitamuomba pesa atanipa" au nina Msukuma wangu ananipenda huyo.

Kwa nini huwa wanapenda kuwataja hao wanaume wao wa kisukuma in reference to their tribes?

Mbona huwa hawasemi nina Mkurya wangu au Mchaga wangu?
Msukuma yupo radhi akope, aibe, apore, arisk kazi na maisha yake ili ahonge demu mweupe
 
Kuna huu msemo unaelekea kuwa maarufu hasa kwa wanawake.

Unakuta mwanamke kaishiwa labda pesa utasikia anasema "nina Msukuma wangu nitamuomba pesa atanipa" au nina Msukuma wangu ananipenda huyo.

Kwa nini huwa wanapenda kuwataja hao wanaume wao wa kisukuma in reference to their tribes?

Mbona huwa hawasemi nina Mkurya wangu au Mchaga wangu?
Kwa sababu akiwa na Msukuma inakuwa anammiliki kwa asilimia zote hasa huyo mwanamke akiwa mweupe, ndiyo lile neno 'wangu' linapochukua nafasi na kuna wengine hatu kama mtu wake si Msukuma lakini kama ana uwezo wa kumuendesha atakavyo basi anamuhesabu kama ni Msukuma tu.
Ndiyo definition ya wadada/mashangazi/wamama wa mjini.
 
Kuna huu msemo unaelekea kuwa maarufu hasa kwa wanawake.

Unakuta mwanamke kaishiwa labda pesa utasikia anasema "nina Msukuma wangu nitamuomba pesa atanipa" au nina Msukuma wangu ananipenda huyo.

Kwa nini huwa wanapenda kuwataja hao wanaume wao wa kisukuma in reference to their tribes?

Mbona huwa hawasemi nina Mkurya wangu au Mchaga wangu?
Ni kwa sababu wasukuma ni watoaji na siyo tegemezi wala wezi kama hayo makabila mengine kama wapare na wachaga. Wakurya si unajua ushari wao.
 
Kuna huu msemo unaelekea kuwa maarufu hasa kwa wanawake.

Unakuta mwanamke kaishiwa labda pesa utasikia anasema "nina Msukuma wangu nitamuomba pesa atanipa" au nina Msukuma wangu ananipenda huyo.

Kwa nini huwa wanapenda kuwataja hao wanaume wao wa kisukuma in reference to their tribes?

Mbona huwa hawasemi nina Mkurya wangu au Mchaga wangu?
Majina mengi ni
Kikoba changu
Ng'ombe wangu
Mgodi wangu
ATM yangu😭
 
Kumradhi waungwana ashakum si matusi.....

NI KWA SABABU WASUKUMA WAMEKUWA NDIO NEMBO YA UJINGA,USHAMBA NA UBWEGE KWENYE MAPENZI...... INASEMEKANA MSUKUMA AKIPENDA BASI NI KUHONGA TU....
1002364870.jpg
 
In my opinion
Wasukuma wanachukuliwa na wanawake kama watu flani wasiojielewa,so ni easy kuchunwa.
Sasa mimi mkurya au mchaga unaanzaje kunichuna kizembe zembe namna hiyo si ntakuambia tu Sina? na msukuma akilegezewa sauti tu huyo anauza ng'ombe kumhonga mwanamke.
Uzi ulitakiwa uishie apa ulishajibu kila kitu
 
Kuna huu msemo unaelekea kuwa maarufu hasa kwa wanawake.

Unakuta mwanamke kaishiwa labda pesa utasikia anasema "nina Msukuma wangu nitamuomba pesa atanipa" au nina Msukuma wangu ananipenda huyo.

Kwa nini huwa wanapenda kuwataja hao wanaume wao wa kisukuma in reference to their tribe?

Mbona huwa hawasemi nina Mkurya wangu au Mchaga wangu?
akisema nina msukuma wangu, maana yake nina zoba langu, aseme nina mkurya wangu haogopi
 
Back
Top Bottom