Kwanini Wanawake wanapenda kusema "nina Msukuma wangu" na sio kusema nina Mkurya au Mchaga wangu?

Kwanini Wanawake wanapenda kusema "nina Msukuma wangu" na sio kusema nina Mkurya au Mchaga wangu?

  1. Kwanza ni kweli sisi Wasukuma ni watoaji wazuri sana wa pesa, na sio tunatoa kwa wanawake tuu, Wasukuma ni vimwaga!, hakuna rais wa Tanzania, amemwaga pesa kama yule Msukuma!.
  2. Kufuatia wanawake wengi wanapenda pesa, na Wasukuma tuna pesa, kwetu pesa ni makaratasi tuu, tunawamwagia!.
  3. Ukiondoa kumwaga pesa, wanaume wa Kisukuma ndio tunaongoza kwa kupenda, mi mwenyewe nikiwa RTD enzi hizo mishahara inalipwa dirishani, niliwahi kulipwa na hapo hapo nikaipeleka bahasha yenyewe nzima nzima kwa cheupe fulani hapo hapo RTD!.
  4. Kufuatia kula vyakula vya kiasili vya kushiba, yale mengineyo... Sii haba!.
  5. Wazee wetu wa enzi zile, ilikuwa ni mke mkubwa anatafuta wenzake wa kusaidiana! maana...!, ndio unakuta mtu ana wake mpaka zaidi ya 10!, mimi mwenyewe hapa nilipo sii haba!. Niliwahi kumshauri yule Blaza wangu. "Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?"
P
Wanatusema wasukuma ni washamba cha ajabu Kila sekta kubwa utakuta msukuma yupo Sema mzee wangu Pascal Mayalla
Yani kwenye era yenu ya ujana mlienjoy sana mzee wangu
👉Experience kutoka kwa mzee wangu kazaliwa 1956, enz zenu kuoa wanawake wanne na kuendelea haikua ishu, upendo ulikuwa wa ukweli , hapakuwa na unafiki
👉Wazee wetu nyie mlijua kuficha siri zenu za ndani
👉Enzi Zenu hakukuwa na daddy wala uncle, hapa ilisaidia mtoto wa kiume kulelewa malezi ya kibaba zaidi
👉Wanawake wa 1975 kurudi nyuma walikuwa tolerative, wenye kazi na wasomi walikuwa wachache hivyo.
Mama zetu walikuwa sio wajuaji lakini wenye akili na hekima kubwa
 
Acha uongo
Wasukuma ni Royal tribe...Wanaongoza kwa ufugaji wa ng'ombe, kilimo cha Mpunga, uchimbaji madini .. mwanamke hawezi akamhitaji mwanaume asiye mpambanaji, mwanamke wa leo anahitaji maokoto ili aendeshe maisha na kuhusu wanawake weupe kila mtu anahitaji kuwa na mwanamkd mweupe lasivyo wanawake wasingehangaika kununua karolaiti ku-faki weupe ili muwatamani,
 
Wasukuma ni Royal tribe...Wanaongoza kwa ufugaji wa ng'ombe, kilimo cha Mpunga, uchimbaji madini .. mwanamke hawezi akamhitaji mwanaume asiye mpambanaji, mwanamke wa leo anahitaji maokoto ili aendeshe maisha na kuhusu wanawake weupe kila mtu anahitaji kuwa na mwanamkd mweupe lasivyo wanawake wasingehangaika kununua karolaiti ku-faki weupe ili muwatamani,
Nitoe kwenye kundi la kutaka wanawake weupe,mimi. Msukuma lakini sijawahi kuvutiwa na hizo ngozi
 
In my opinion
Wasukuma wanachukuliwa na wanawake kama watu flani wasiojielewa,so ni easy kuchunwa.
Sasa mimi mkurya au mchaga unaanzaje kunichuna kizembe zembe namna hiyo si ntakuambia tu Sina? na msukuma akilegezewa sauti tu huyo anauza ng'ombe kumhonga mwanamke.
Tena akiwa mwanamke Mweupe Msukuma Hoi
 
Lipo moja liko kama zezeta,nimelichuna weeeee halikomi tu.
Uzuri na lenyewe limekulamba, btw katika wanaume 10 ambao inasemekana wanachunwa ni 2 tu ndo wanachunwa kweli ila wengine utaita unawachuna kumbe wameweka fungu maalumu la kuchunwa na ndio maana hawakomi na hata ukimuacha unakuta uchumi wake haujayumba
 
Back
Top Bottom