Kwanini Wanawake wanapenda kusema "nina Msukuma wangu" na sio kusema nina Mkurya au Mchaga wangu?

Kwanini Wanawake wanapenda kusema "nina Msukuma wangu" na sio kusema nina Mkurya au Mchaga wangu?

Kama sio Pascal Mayalla basi ni kaka yake
  1. Kwanza ni kweli sisi Wasukuma ni watoaji wazuri sana wa pesa, na sio tunatoa kwa wanawake tuu, Wasukuma ni vimwaga!, hakuna rais wa Tanzania, amemwaga pesa kama yule Msukuma!.
  2. Kufuatia wanawake wengi wanapenda pesa, na Wasukuma tuna pesa, kwetu pesa ni makaratasi tuu, tunawamwagia!.
  3. Ukiondoa kumwaga pesa, wanaume wa Kisukuma ndio tunaongoza kwa kupenda, mi mwenyewe nikiwa RTD enzi hizo mishahara inalipwa dirishani, niliwahi kulipwa na hapo hapo nikaipeleka bahasha yenyewe nzima nzima kwa cheupe fulani hapo hapo RTD!.
  4. Kufuatia kula vyakula vya kiasili vya kushiba, yale mengineyo... Sii haba!.
  5. Wazee wetu wa enzi zile, ilikuwa ni mke mkubwa anatafuta wenzake wa kusaidiana! maana...!, ndio unakuta mtu ana wake mpaka zaidi ya 10!, mimi mwenyewe hapa nilipo sii haba!. Niliwahi kumshauri yule Blaza wangu. "Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?"
P
 
Kuna huu msemo unaelekea kuwa maarufu hasa kwa wanawake.

Unakuta mwanamke kaishiwa labda pesa utasikia anasema "nina Msukuma wangu nitamuomba pesa atanipa" au nina Msukuma wangu ananipenda huyo.

Kwa nini huwa wanapenda kuwataja hao wanaume wao wa kisukuma in reference to their tribe?

Mbona huwa hawasemi nina Mkurya wangu au Mchaga wangu?
Wanawake wa wapi hao.
 
In my opinion
Wasukuma wanachukuliwa na wanawake kama watu flani wasiojielewa,so ni easy kuchunwa.
Sasa mimi mkurya au mchaga unaanzaje kunichuna kizembe zembe namna hiyo si ntakuambia tu Sina? na msukuma akilegezewa sauti tu huyo anauza ng'ombe kumhonga mwanamke.
Hahahha mkuu upo sahihi sana
 
Kuna huu msemo unaelekea kuwa maarufu hasa kwa wanawake.

Unakuta mwanamke kaishiwa labda pesa utasikia anasema "nina Msukuma wangu nitamuomba pesa atanipa" au nina Msukuma wangu ananipenda huyo.

Kwa nini huwa wanapenda kuwataja hao wanaume wao wa kisukuma in reference to their tribe?

Mbona huwa hawasemi nina Mkurya wangu au Mchaga wangu?
Wasukuma wana honga sana bila kujitafakari hasa mwanamke akiwa mweupe. Mwanamke akibana sauti tu anatoa mpaka urithi
 
Ni kwa sababu wasukuma ni watoaji na siyo tegemezi wala wezi kama hayo makabila mengine kama wapare na wachaga. Wakurya si unajua ushari wao.
Wasukuma ni mafala sana. Unauzaje ng'ombe ili uhonge na upendwe na mwanamke mweupe
 
Hawa majamaa nilisha wapigia saluti.

1.Wanaongoza kwa kuzaliana.

2.Wanaogoza kwa uzalishaji wa mazao,mfano wanalima sana mikoa ya katavi,moro,mbeya,lindi kigoma na sehemu nyingine.

3.Wamesambaaa mkoa mingi sana,ndo maana mtanzania yyte lazma awa jamaa awajue either urafiki or kimapenzi.

4.Wanapenda kurithisha lugha yao kwa makabila mengine,hawana uchoyo wa lugha.

5.Wafanyabiashara huwa wanafurahi kupata wateja wa kisukuma,coz huwa awana bargaining sana ya bei,kama ameipenda bidhaa yako kutoa hela hawana shida..

6.Suala la mahusiano,awa jamaa wako loyal sana kwa jinsia zote mbili,tatzo la kibongo, mtu akiwa mtoaji sana wa chochote kile unaonekana bwege,fala,mshamba na maneno mengi ya kejeli.Lakin mtu ukiwa sio mtoaji unaoneka mjanja,msela na sifa nyingi pia.

Kwa iyo ktk kufuatilia sana apa bongo msukuma anaonekana ni mshamba, zuzu,bwege na kejeli zingine kutokana na utoaji (sio mbanifu) anaofanya kwa makabila mengine.

Mimi nina positive perception kwa awa majamaa,naomba wasukuma msibadilike na sifa yenu nzuri muendelee ivo ivo.
Wasukuma wamesambaa mikao michache tu. Jamii iliyo sambaa sana tz ni wachaga hakuna mji utafika tz ukose mchaga/mangi
 
Wasukuma wengi ni mazuzu kwenye mapenzi,na wanawake wanapenda wanaume ambao ni mabumunda yasiyojielewa.
Sasa ndugu yangu hao wachaga au wakurya mziki wao si unaujua?
Lakini wasukuma ambao wewe unadai ni mabumunda huwa na wanawake wengi na huzaa uzao mkubwa.Msukuma akiwa na pesa ni ngumu awe na mwanamke mmoja
Hilo unaliongelea vipi?
 
Kwasababu wasukuma wanataniwa kwenye mambo mengi, hata nao hupenda kujitania, anajitaja like tulia hapa kwa li-ngosha na vitu kama hivyo.

So nafikiri ni katika harakati za kuwataja kwa utani waliozeshana.

Best men so far, After watu weupe duniani wanafata Ngosha kwa asilimia nyingi.

Ila ndio wanapenda sketi hao……!
Hakika wasukuma sketi wanapenda hilo sikupingi , na ukarimu kwa walichonacho wamejaaliwa
 
Hawa majamaa nilisha wapigia saluti.

1.Wanaongoza kwa kuzaliana.

2.Wanaogoza kwa uzalishaji wa mazao,mfano wanalima sana mikoa ya katavi,moro,mbeya,lindi kigoma na sehemu nyingine.

3.Wamesambaaa mkoa mingi sana,ndo maana mtanzania yyte lazma awa jamaa awajue either urafiki or kimapenzi.

4.Wanapenda kurithisha lugha yao kwa makabila mengine,hawana uchoyo wa lugha.

5.Wafanyabiashara huwa wanafurahi kupata wateja wa kisukuma,coz huwa awana bargaining sana ya bei,kama ameipenda bidhaa yako kutoa hela hawana shida..

6.Suala la mahusiano,awa jamaa wako loyal sana kwa jinsia zote mbili,tatzo la kibongo, mtu akiwa mtoaji sana wa chochote kile unaonekana bwege,fala,mshamba na maneno mengi ya kejeli.Lakin mtu ukiwa sio mtoaji unaoneka mjanja,msela na sifa nyingi pia.

Kwa iyo ktk kufuatilia sana apa bongo msukuma anaonekana ni mshamba, zuzu,bwege na kejeli zingine kutokana na utoaji (sio mbanifu) anaofanya kwa makabila mengine.

Mimi nina positive perception kwa awa majamaa,naomba wasukuma msibadilike na sifa yenu nzuri muendelee ivo ivo.
Hakika
 
Back
Top Bottom