Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We Mpare. Wewe unatakiwa kuwa opposite na Msukuma.Inawezekana kabisa nina tabia za kisukuma😂
Sasa je?! WANAUME wa kisukuma tuko vizuri!Kuna huu msemo unaelekea kuwa maarufu hasa kwa wanawake.
Unakuta mwanamke kaishiwa labda pesa utasikia anasema "nina Msukuma wangu nitamuomba pesa atanipa" au nina Msukuma wangu ananipenda huyo.
Kwa nini huwa wanapenda kuwataja hao wanaume wao wa kisukuma in reference to their tribe?
Mbona huwa hawasemi nina Mkurya wangu au Mchaga wangu?
Duh! Wasukuma washamba sana jamani, sijawahi ona!
Kabhitikakemakakerejammapiringawww.jamiiforums.com
Hivi kuna uhusiano gani kati ya Usukuma na ushamba?
Inawezekana Kila mtu ni mshamba lakini ushamba tunakuwa nao kwa muda, ila kwa upande wa wasukuma ushamba ni kitu hakiwatoki nimekuja kubali msukuma hata angezaliwa New York city still angebaki na viashiria fulani kuonyesha kuwa ni mshamba. Nimejifunza haya baada ya interaction na wasukuma...www.jamiiforums.com
View: https://www.facebook.com/watch/?v=810601953540378
![]()
TABORA-UNYAMWEZINI | Kwanini Wanasema Wasukuma ni Washamba | Facebook
Kwanini Wanasema Wasukuma ni Washamba? ~ @nyandakabundi_ Full Interview utaipata kwenye Youtube channel ya Bishop Jilangila au hapo chini kwenye👇 https://youtu.be/8D_PVx51izk?si=_1poWGFllPPD9MLh...www.facebook.com
🥺🥺🥺🤔🙌🏿🙌🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿🤣🤣🤣We Mpare. Wewe unatakiwa kuwa opposite na Msukuma.
Yani unatakiwa kuweza kula ugali kwa picha ya samaki 😂😂😂
Muogope Mungu dadaLipo moja liko kama zezeta,nimelichuna weeeee halikomi tu.
Lakini na lenyewe si limekukojolea ndani vya kutoshaLipo moja liko kama zezeta,nimelichuna weeeee halikomi tu.
Hili jamaa pasi na shaka likilala linakoroma na kutoa udenda.Kumradhi waungwana ashakum si matusi.....
NI KWA SABABU WASUKUMA WAMEKUWA NDIO NEMBO YA UJINGA,USHAMBA NA UBWEGE KWENYE MAPENZI...... INASEMEKANA MSUKUMA AKIPENDA BASI NI KUHONGA TU....View attachment 3219472
Yeah ni the best wana roho nzuri sana ukarimu Upo damuni mimi nawapenda mnoKwasababu wasukuma wanataniwa kwenye mambo mengi, hata nao hupenda kujitania, anajitaja like tulia hapa kwa li-ngosha na vitu kama hivyo.
So nafikiri ni katika harakati za kuwataja kwa utani waliozeshana.
Best men so far, After watu weupe duniani wanafata Ngosha kwa asilimia nyingi.
Ila ndio wanapenda sketi hao……!
Si linakuvua chupi lakini,koma kuvua chupi litakoma.Lipo moja liko kama zezeta,nimelichuna weeeee halikomi tu.
Wao wapo kusaka hela nyie hela hamtoiNasikia huko Mjini, mwanamke akijua wewe ni MPARE Ndio mahusiano yanaisha Hapo Hapo. Duh sijui tumekosea wapi Aiseee