Msukuma yupo radhi akope, aibe, apore, arisk kazi na maisha yake ili ahonge demu mweupeKuna huu msemo unaelekea kuwa maarufu hasa kwa wanawake.
Unakuta mwanamke kaishiwa labda pesa utasikia anasema "nina Msukuma wangu nitamuomba pesa atanipa" au nina Msukuma wangu ananipenda huyo.
Kwa nini huwa wanapenda kuwataja hao wanaume wao wa kisukuma in reference to their tribes?
Mbona huwa hawasemi nina Mkurya wangu au Mchaga wangu?
Sawa sawaWashamba, mazuzu.
Kwa sababu akiwa na Msukuma inakuwa anammiliki kwa asilimia zote hasa huyo mwanamke akiwa mweupe, ndiyo lile neno 'wangu' linapochukua nafasi na kuna wengine hatu kama mtu wake si Msukuma lakini kama ana uwezo wa kumuendesha atakavyo basi anamuhesabu kama ni Msukuma tu.Kuna huu msemo unaelekea kuwa maarufu hasa kwa wanawake.
Unakuta mwanamke kaishiwa labda pesa utasikia anasema "nina Msukuma wangu nitamuomba pesa atanipa" au nina Msukuma wangu ananipenda huyo.
Kwa nini huwa wanapenda kuwataja hao wanaume wao wa kisukuma in reference to their tribes?
Mbona huwa hawasemi nina Mkurya wangu au Mchaga wangu?
Ni kwa sababu wasukuma ni watoaji na siyo tegemezi wala wezi kama hayo makabila mengine kama wapare na wachaga. Wakurya si unajua ushari wao.Kuna huu msemo unaelekea kuwa maarufu hasa kwa wanawake.
Unakuta mwanamke kaishiwa labda pesa utasikia anasema "nina Msukuma wangu nitamuomba pesa atanipa" au nina Msukuma wangu ananipenda huyo.
Kwa nini huwa wanapenda kuwataja hao wanaume wao wa kisukuma in reference to their tribes?
Mbona huwa hawasemi nina Mkurya wangu au Mchaga wangu?
Halikujua kuwa nawe ni shetani mwenyewe maskini.Lipo moja liko kama zezeta,nimelichuna weeeee halikomi tu.
hao ni watafutaji bhana utatafunwa sanaLipo moja liko kama zezeta,nimelichuna weeeee halikomi tu.
Majina mengi niKuna huu msemo unaelekea kuwa maarufu hasa kwa wanawake.
Unakuta mwanamke kaishiwa labda pesa utasikia anasema "nina Msukuma wangu nitamuomba pesa atanipa" au nina Msukuma wangu ananipenda huyo.
Kwa nini huwa wanapenda kuwataja hao wanaume wao wa kisukuma in reference to their tribes?
Mbona huwa hawasemi nina Mkurya wangu au Mchaga wangu?
Ha ha ha,dah hawa jamaa sioKumradhi waungwana ashakum si matusi.....
NI KWA SABABU WASUKUMA WAMEKUWA NDIO NEMBO YA UJINGA,USHAMBA NA UBWEGE KWENYE MAPENZI...... INASEMEKANA MSUKUMA AKIPENDA BASI NI KUHONGA TU....View attachment 3219472
Uzi ulitakiwa uishie apa ulishajibu kila kituIn my opinion
Wasukuma wanachukuliwa na wanawake kama watu flani wasiojielewa,so ni easy kuchunwa.
Sasa mimi mkurya au mchaga unaanzaje kunichuna kizembe zembe namna hiyo si ntakuambia tu Sina? na msukuma akilegezewa sauti tu huyo anauza ng'ombe kumhonga mwanamke.
akisema nina msukuma wangu, maana yake nina zoba langu, aseme nina mkurya wangu haogopiKuna huu msemo unaelekea kuwa maarufu hasa kwa wanawake.
Unakuta mwanamke kaishiwa labda pesa utasikia anasema "nina Msukuma wangu nitamuomba pesa atanipa" au nina Msukuma wangu ananipenda huyo.
Kwa nini huwa wanapenda kuwataja hao wanaume wao wa kisukuma in reference to their tribe?
Mbona huwa hawasemi nina Mkurya wangu au Mchaga wangu?
Acha akuache ila Mpare hawezi kukubali atoe hela zake kizembe...Bora abaki single😆😆😆Nasikia huko Mjini, mwanamke akijua wewe ni MPARE Ndio mahusiano yanaisha Hapo Hapo. Duh sijui tumekosea wapi Aiseee