sorry mkuu kwa kukubughudh kama nawe una flat, nia nikutaka kujua na si kuwananga wenye flatKwa sababu hatuna chura.hivyo yani.usituchoshe
Hebu tuache huko unatuchosha.sasa tusipokuwa na mapenzi ya dhati na hatuna chura tutasifiwa kwa lipi..acheni kutubagua mkuusorry mkuu kwa kukubughudh kama nawe una flat, nia nikutaka kujua na si kuwananga wenye flat
mkuu heshima ni bora kuliko hayo uloyaandika.Hebu tuache huko unatuchosha.sasa tusipokuwa na mapenzi ya dhati na hatuna chura tutasifiwa kwa lipi..acheni kutubagua mkuu
mkuu nawe huna chura?Akili zao zimeamia kwenye makalio kwaiyo wanaisi kuwa na tako kubwa ndio kumaliza kila kitu dunian, ila hao unao waita flat wao akiri zao zipo kichwan wanajua bado heshima kwao ni kitu bara zaid kitakacho wafanya wawe na good reputation
Ndo mtuvumilie na tv zetu.mkuu heshima ni bora kuliko hayo uloyaandika.
Inakoseje chura, ilihali zipo mpaka madukaniNdo mtuvumilie na tv zetu.
Sasa mwanaume chura nipileke wap tena?mkuu nawe huna chura?
Kuliko nijiwekee chura wa dukani bora niendelee kukalia shingo yangu hii hii ya tivii
nsaidie namna ya kutofautisha chura ya kichina na chura asilia mana hawa wadada siwaelew elewHASA WENYE CHURA ZA KICHINA NDIO HAWAFAI KABISA....
Mungu hakunyimi vyote, Ila binadamu hawana jema Wala huyo kakutana na wanawake wametulia anakuja kuwanangaHebu tuache huko unatuchosha.sasa tusipokuwa na mapenzi ya dhati na hatuna chura tutasifiwa kwa lipi..acheni kutubagua mkuu
Churaaaaa mamaaaaaa, ila sema chura nayo inavishawishi vyake mkiwa kunako, ni heri flat-screen inch 32Kuliko nijiwekee chura wa dukani bora niendelee kukalia shingo yangu hii hii ya tivii
We unayo? Au ni mwembamba kama chelewaWanakuwa na heshima vile hawana chura hyo ni defence mechanism yao, in short Wana fake ili kufidia udhaifu wa flat screen