cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]
Umeanza lini unyanyapaa??Churaaaaa mamaaaaaa, ila sema chura nayo inavishawishi vyake mkiwa kunako, ni heri flat-screen inch 32
Sent from my HRY-LX1 using JamiiForums mobile app
Kwakweli ninayafurahia maisha ya kuwa na flat screen aise..Mungu hakunyimi vyote, Ila binadamu hawana jema Wala huyo kakutana na wanawake wametulia anakuja kuwananga
Una dhambi wewe🤣🤣
Nasikia mademu wa mjini wenye chura wanaheshimika kuliko wenye bachelor degreeNatumai hamjambo wakuu, japo tupo katika maombelezo ya kitaifa but mambo mengine hayana budi kuendelea.
Wakuu sio siri mimi ni mpenzi wa wanawake wenye chura, bt kuna mara chache hujichanganya kwa wadada wenye flat screen zao.
Aise! Nilichokigundua kwa hawa wadada wenye flat wana heshima ya hali ya juu sana ukilinganisha na wenye chura, sasa nimekua nikijiuliza heshima hiyo ni hulka yao au kwakua tu hawana cha kuringia?
karibuni tujadili.
mkuu kwani we upoje tukudefine.Heshima ya mtu haina uhusiano wowote na maumbile.
sema umeridhika na vile umejaliwaKwakweli ninayafurahia maisha ya kuwa na flat screen aise..
Nipo na flat screenmkuu kwani we upoje tukudefine.
Team msambwanda dawa yao ni kutokuwaheshimu unazoeana nae kishikaj tu huku ukimshika shika io mitako usimuheshimu wala usimpende we chukulia jamamke la kucjezea apo utampata ila ukimuheshimu imekula kwakoNatumai hamjambo wakuu, japo tupo katika maombelezo ya kitaifa but mambo mengine hayana budi kuendelea.
Wakuu sio siri mimi ni mpenzi wa wanawake wenye chura, bt kuna mara chache hujichanganya kwa wadada wenye flat screen zao.
Aise! Nilichokigundua kwa hawa wadada wenye flat wana heshima ya hali ya juu sana ukilinganisha na wenye chura, sasa nimekua nikijiuliza heshima hiyo ni hulka yao au kwakua tu hawana cha kuringia?
karibuni tujadili.
kumbe nawe unaheshima?Nipo na flat screen
Ndioooooooooooosema umeridhika na vile umejaliwa
pamoja na flat bt nahis we mtam sana.Ndioooooooooooo
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] Hapana wote mpo sawa jamani, ila wewe kijungu si unacho...maana sio kwa mguu uleUmeanza lini unyanyapaa??
Nilikua namtaniaUna dhambi wewe[emoji1787][emoji1787]
Naungama dhambi zangu [emoji38][emoji38]Una dhambi wewe[emoji1787][emoji1787]
Wewe yna2 safi sana,Heshima ya mtu haina uhusiano wowote na maumbile.
Inabidi uungame kwakweli aiseh..mnatuonea sana
Najua bhana....na mimi nimekoment kwa kutania.