Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,893
- 47,768
akikunyima tako anakupa akiliMungu hakunyimi vyote, Ila binadamu hawana jema Wala huyo kakutana na wanawake wametulia anakuja kuwananga
Sent from my HRY-LX1 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
akikunyima tako anakupa akiliMungu hakunyimi vyote, Ila binadamu hawana jema Wala huyo kakutana na wanawake wametulia anakuja kuwananga
mkuu kama unayo naomba maongez special.Wanakuwa na heshima vile hawana chura hyo ni defence mechanism yao, in short Wana fake ili kufidia udhaifu wa flat screen
[emoji23][emoji23][emoji23]Mimi ninayo ya kukalia tu na kuvalia suruali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu kama unayo naomba maongez special.
Basiiiiiiiii[emoji38][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi ninayo ya kukalia tu na kuvalia suruali
Mkuu hata wew pia huna?!!Kwa sababu hatuna chura.hivyo yani.usituchoshe
Na wasio na chura ndio type yanguKwa sababu hatuna chura.hivyo yani.usituchoshe
Mkuu wewe bila shaka unalo!Wanakuwa na heshima vile hawana chura hyo ni defence mechanism yao, in short Wana fake ili kufidia udhaifu wa flat screen
Za chogo?Ndo mtuvumilie na tv zetu.
Madai ya mtoa mada ni ya uwongo!Wanakuwa na heshima vile hawana chura hyo ni defence mechanism yao, in short Wana fake ili kufidia udhaifu wa flat screen
kwa hiyo nyie mungu kawapa heshima kawanyima chura?Sasa chura hatuna na adabu pia tukose[emoji134][emoji134][emoji134]
Mungu hakunyimi vyote mr madas.
mkuu nawe muumin wa chura?Piga Kelele kwa Chura Akeeeeeee!!! Weiweeeeeeeeeee!!! Chura hiyo Kwiooooo!!!
mkuu usichukulie poa nipo serious[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sana mkuu mwanamke bila chura sina hata tyme nae,msambwanda kwanza!!mkuu nawe muumin wa chura?
Sidhani mtu awe mnene, flat screen mwenye chura Kama hana malezi Bora lazima awe kichomi, mbona Kuna watu sura zao hazivutii na wanajionaMadai ya mtoa mada ni ya uwongo!
Na wanawake wanaolingia chura ni wajinga tu!
[emoji23][emoji23]sinaMkuu wewe bila shaka unalo!