Kwanini wanawake wengi hawaolewi?

Kwanini wanawake wengi hawaolewi?

utafiti anzia kwenye familia yako, jiulize je dada zako, mabinamu, wadogo zako hawajaolewa kama jibu ni ndio basi kunatatizo.

Zaidi ni kwamba mtu kulilia kuolewa ni yeye na kiu yake, usijumlishe kwamba wanawake hawaolewi wakati kuna watu wameoshewa mpendwa pendwa kila siku ndoa zinafungwa,

pia lazima ufahamu kuna wadada wamejipanga kimaisha na hawana haja ya kuolewa zaidi akitaka dyudyu! Anamtu wake anamdunyua.

Wanawake wa sasa kazi na pesa, dyu!dyu baadae

safiiii kabisa!! ,
 
Kuolewa Sio Lazima ila inaongeza Heshima. KUWA NA MUME KUNA HADHI YAKE.

ni heshima au hadhi kwa kujiongezea majukumu kwa kuolewa? bora ingekuwa ajira napigania kupandishwa cheo hapo ningeona umhimu wake kwani kipato kitaongezeka na maisha yataboreka, kuolewa ni kujiongezea mvurugano wa akili tu!
 
Straight question straight answer; wanawake wengi hawana qualities za kuwa wake, tofauti sana na MAMA zetu. The current generation is purely Hopeless..., hakuna wanawake wa kuowa siku hiz, ni wachache sana sana... sorry to say this..,

Kama ambavyo hakuna wanaume wenye qualities za kuoa kama baba zetu, wanaume ni wachache sanaaaa siku hizi, achilia mbali wale ambao ni wanawake wenzetu(mashoga na marioo)
 
Wanawake kutoolewa naweza nkasema kunasababishwa na vitu vitatu.

1.Kujisikia kwao na kuringa pasipo na sababu za msingi.Unaweza ukamtokea binti kwa nia njema tu lakini akawa analeta nyodo na maringo.Pia wengine wanakuwa na masharti magumu sana zaidi hata ya waganga,mara uwe na gari aina flani,huwe na hela za kutosha n.k. Wanawake wa dizaini hii huwa wanakosaga watu wakuwa nao maisha kwasababu ya masharti yao ya ajabu ajabu na tamaa.

2.Sababu ya pili naweza nkasema kitenda cha sisi wanaume kupiga na kuacha mara kwa mara kinachangia kwa kiasi fulani.Just imagine msichana ambaye ameshaangukia ktk bad relations mara nyingi,hufikia wakati anakosa imani na kila anayekuja,matokeo yake umri unaenda .

3.Hii sababu ya tatu pia inarudi kwetu tena mens.Wengi tunapenda ule msemo wa Mwana FA kuwa bado tupo tupo kwanza.Just imagine kijana anaamua kutooa mpaka ajipange vizuri kimaisha kwanza,let say kwenye 35 ndio anaamua kuoa,unadhan atamuoa yule waliyekuwa wote chuo??(wa umri wake).Ni kitu ambacho ni nadra sana,hapa atatafutwa mwenye 20's ndio atawekwa ndani.Yule wa 35 je?? Kwa style hii wengi huwa wanakuwa na mawazo sana.

But mimi ningewashauri dada zangu kutatua matatizo yaliyo upande wao mfano kuringa,dharau n.k...alafu yaliyo upande wetu sisi Mwenyezi Mungu atawapigania.

#Analyse
Jibu Mubashara Hili Hapa


Mwanamke anapigiwa simu kwa namba ngeni, anauliza namba yangu umeitoa wapi? Usiponiambia aliyekupa usinipigie. _HAPO UMEPISHANA NA MUME_

Mwanamke anaingia ndani ya daladala, amekaa na mwanaume, kwa maringo, anachukua earphone na kuweka masikioni na kuwasha mziki ili asiongeleshwe. _HAPO UMEPISHANA NA MUME._

Mwanamke anasalimiwa njiani, anaitikia, akiongeleshwa tena anachuna. _HAPO UMEPISHANA NA MUME._

Mwanamke unatumiwa meseji inbox, hujibu. _HAPO UMEPISHANA NA MUME._

Mwanamke unapigiwa simu na mwanaume, unaona kabisa anakupigia ila hutaki kupokea tu. _HAPO UMEPISHANA NA MUME._

Mwanamke unakwenda gheto kwa mwanaume, una mkoba wako, ukifika muda wa kuondoka unaomba nauli. _HAPO UMEPISHANA NA MUME._

Mwanamke unakwenda kwa mwanaume, badala ya kusonga ugali, cha kwanza unataka chipsi kuku. _HAPO UMEPISHANA NA MUME._

Mwanamke unaanza uhusiano na mwanaume, siku ya pili tu unamwambia bebi sina hela ya vocha. _HAPO UMEPISHANA NA MWANAUME._

Mwanamke upo na mwanaume, anakwambia agiza chochote, bila kujishtukia unaagiza bia. _HAPO UMEPISHANA NA MUME._

Mwanamke unachati na mwanaume, chatting zako ni K, P, Pw. _HAPO UMEPISHANA NA MUME._

Mwanamke unaweka picha mapaja wazi, kifua umebust. _HAPO UMEPISHANA NA MUME._

Mwanamke unamwambia mwanaume akutumie video za ngono kwenye simu. _HAPO UMEPISHANA NA MUME._

_Usilalamike kwamba kwa nini mpaka sasa hivi hujaolewa. Taambie sasa wewe she ni mara ngapi umepishana na mume!_

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu.

Jana nilikuwa mgahawa fulani hapa mjini. Katika story story kuna dada akaanza kulalamika umri unazidi kwenda na hawapati mwenza na wengine wanaanza kulalamika pia juu ya kutopata wenza.

Nahitaji kujua ni kwanini hawaolewi?

Naomba tuchangie mada
Kwa sababu wanaume wengi hawaoi!
 
1. Wanaume ni wachache

2. Wengi kati ya hao wachache ni wahuni

3. Kuna mashoga ambao hawaoi wanetembea na wanaume wenzao

4. Kuna mahanithi, hawana nguvu za kiume

5. Kuna walevi kupindukia ambao hawana muda na wanawake kabisaaaa, wao starehe yao ni pombe tu

6. Hivyo wanaume wanaotaka kuoa ni wachache saaaana

7. Wanawake ambao wanataka kuoelewa ni weeeengi saaana

8. Kwahyo mwisho wa siku wanawake wengi kati ya wengi wanaotaka kuolewa ni lazima hawataolewa kwa namna yoyote ile.

9. THREAD CLOSED

Posted by: MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)
TRUE STORY...mfano mimi nikisema nioe nina OPTIONS watu kama 10 JE hao kumi naweza kuoa hapana, so hapo mmoja tu ataolewa automaticaly watabaki 9, so haikwepeki yani wako wengi sana.....mfano basi naweza oa wanne..watabaki 5 bado...so unaona hali ilivo..sababu ulizosema ni FACTS
 
Siohuna habari sema watu hawana habari nawewe... Wanaolewa watoto wawafalme na pesa zao zote wewe na vishilingi vyako vya madafu kelele kibao
aisee nilikuwa nawaza nimwambie je maana ila umemwambia inatosha..ametoa majibu ambayo yaleyale yanaakisi thread hii
 
1. Wanaume ni wachache

2. Wengi kati ya hao wachache ni wahuni

3. Kuna mashoga ambao hawaoi wanetembea na wanaume wenzao

4. Kuna mahanithi, hawana nguvu za kiume

5. Kuna walevi kupindukia ambao hawana muda na wanawake kabisaaaa, wao starehe yao ni pombe tu

6. Hivyo wanaume wanaotaka kuoa ni wachache saaaana

7. Wanawake ambao wanataka kuoelewa ni weeeengi saaana

8. Kwahyo mwisho wa siku wanawake wengi kati ya wengi wanaotaka kuolewa ni lazima hawataolewa kwa namna yoyote ile.

9. THREAD CLOSED

Posted by: MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)
Plus watumia madawa ya kulevya, wafungwa wengi ni wanaume, na wavuta bangi kupindukia
 
Unamtongoza demu leo kesho unapigwa mzinga wa laki mbili. utaoa kweli hapo?
Unampenda demu unageuka kuwa mtaji wake na familia yake. mara sina hela ya kula, mara hela ya chakula nyumbani, mara matatizo ya mama, mdogo wangu n.k. hapo hujaoa bado lazima utafute mlango wa kutokea.
Nywele kila wiki elfu 50, cm ya 1.5m abadilishe baada ya miezi 6, nguo, viatu, mikoba,vipodozi bajeti laki5 every month hapo bado matanuzi mengine sijaongelea gari wala nini na mimi salary yangu TGS D. Lazima nisepe.
Una mtoto mkali na umempenda kweli mwisho wa siku unakuta kuna wenzio 7. Nyote mnapewa papuchi. Lazima ukimbie.

Nina kisa kimoja nimewahi kukutana na demu mmoja hivi alikuja ofisini kwetu. Kwakweli alikuwa mzuri sana na mimi nilitokea kumpenda sana huku nikiamini kama mke basi ndo huyu. Akaniachia namba yake ya simu na mimi bila kupoteza muda nikaanza kumtongoza. mwanzoni alikuwa mkali sana akijifanya hanikumbuki kama tumewahi kukutana ama amewahi kunipa namba yake ya simu, alikuwa ananitolea majibu makali ya kukatisha tamaa na sometime hapokei simu wala hajibu msg na akipokea simu tunaongea kidogo anakata na ndo hapokei tena. Alinitesa sana aisee kama wiki mbili hivi. Siku moja bila kutarajia akanipigia simu tukaongea vizuri nilifurahi sana na nikaomba tukutane mlimani city tuongee. Unajua nini alichonijibu? basi ni hiki "Wewe una sh. ngapi tukutane?" Nikawa kama sijamwelewa. Nikamuuliza kwani niandae sh. ngapi? chochote utakachotaka utapata usijali. akaniuliza tena "una sh. ngapi tukutane?" Nikabaki sielewi nini cha kumjibu akanikatia simu. Ikabidi nimpigie nikamuuliza unamaanisha hela ya kwenda kuspend? au una shida yoyote? au unamaanisha mambo ya sexx? akajibu hivyo hivyo unavyoelewa na akakata simu. Na mimi akili kumkichwa nikamtumia msg nina laki moja fasta akajibu nije wapi. nikamwambia njoo Kagame hotel nyuma ya stand ya mkoa. Nikiwa siamini mtoto akatia timu nikamgegeda vitatu fasta nikampa kilo yake akatimua nikawa kila nikimhitaji napiga nampa chake anatimua ila bei ikawa inapungua ilifikia hadi kwenye 20,000/=. Na baadae nikamchoka nikaachana nae. Ila nilibaki na maswali mengi kichwani hivi mdada mzuri kama huyu unatokea mtu unampenda na una nia ya kumuoa ila anakuonyesha wazi yuko kimaslahi na anachofanya ni biashara tu...duh! inasikitisha make nilichopata sicho nilichokitarajia.
Wanawake wengi wa mjini wako hivi,
 
Urahisi wa kufanya ngono....ndio unaopelekea vijana wasione umuhimu wa kuoa
Miaka ya hivi karibuni wanawake wamekuwa wakijirahisi sana......yaani kumpata mwanamke wa kuburudika naye limekuwa ni jambo rahisi sana.......vile vile ugumu wa maisha nao unachangia sana.....
Kama unaela lakin utawafaid sana
 
Nishamaliza huu mjadala, natumia mitandao ya kijamii kwa kutafutia pesa, kutoa maoni yangu n.k sio kutafuta maisha ya mtu asiye na faida kwangu, niolewe au nisiolewe hilo ni juu yangu, au unahisi nakuchukulia bwana ndio maana OMO inakutoka???????

Usiniquote tena, maana sitakujibu maana naona unanichanganya tu nahangaika na hela mie, we unaehangaikia dyudyu subiri nikuletee makungwi wakupe kitchen party.


usiniqoute tafadhali nishafunga mjadala nawe.
Unakisiran unavyoonekana una matatizo makubwa ya ki-psychology
 
Habari zenu.

Jana nilikuwa mgahawa fulani hapa mjini. Katika story story kuna dada akaanza kulalamika umri unazidi kwenda na hawapati mwenza na wengine wanaanza kulalamika pia juu ya kutopata wenza.

Nahitaji kujua ni kwanini hawaolewi?

Naomba tuchangie mada
Hawapi wenza kivip kwan ni mabikra
 
Back
Top Bottom