Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiache bahati hiyo, siye wengine mbona hatupatagi bahati Kama hiyo
waafrika 2badilike.na kwanin cerikali waclifikirihe hili.dawa ya wa2 kama awa ni kuchinjwa na c kufungwa jela kutakuwa na mcamaha wa laic.
Ukiwa na hofu ya Mungu ukijua kabisa kuwa Mungu aliangamiza miji ya Sodoma na Gomola kwaajili ya tabia hii hutathubutu maana unakuwa umejiingiza kwenye laana moja kwa moja.
Kama ndivyo hivyo mshana jr waache waendelee maana Mungu alisema hatauangamiza tena ulimwengu hadi ile siku ya mwisho ya hukumu baada ya angamizo chini ya Nuhu. Hakika adhabu yao itakuwa maradufu tukiachana na kupewa a dhabu zinginge hapa duniani.Aisee fyddell watu wanakulana hadi basi gesti nyingi na hata hotel siku hizi ni jambo la kawaida kabisa kukuta vikopo vya rays, ukiuliza vya mini wanaishia kuchekacheka tu
Hawa ndio wanadamu wa leo....wanadamu walioasi upendo wa muumba na kujinasibisha na yule mwovu kwa matendo machafu.....wanadamu wanaodhani kuwa kila linalofurahisha nafsi zao basi ni halali kwao kulitenda hata kama lipo kinyume na muumba wao na lina madhara kwao...imekuwa ngumu kuwatofautisha wanadamu wa leo na yule mwovu ibilisi kwa matendo yao...wamejitoa wenyewe katika utukufu wa MUNGU kwa tama za miili yao....wanatimiza kila takwa la miili yao lakini si matakwa ya aliyewaumba.....wanatumia gharama kubwa kutenda maovu makubwa....kitu walichokisahau wanadamu wa leo ni kuwa mwisho wao utakuwa wa kulia na kusaga meno.......