Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe siyo muumini ila ni mtaalam wa TigoMimi sio muumini wa kula Tigo lakini shida kubwa kwa wafanyao huu mchezo ni kwamba wanafanya bila kusafisha mitaro . Kuna kitu kinaitwa douching ambacho mtu anatakiwa akifanye kabla ya game.
Kuna kifaa kinawekwa maji ya uvugu vugu na washing liquid kidogo kisha mhusika anachomeka nyuma na kupush maji ndani. Baad ya hapo safari za chooni hazitaisha kwa masaa hata mawili mpaka maji yatoke safi bila MAVI . Kwenye porn wanafanya hivo ndo Tigo zinakua Safi, bongo mtu anatindua mtaro bila condom anapishana na mavi tu.
Pia tumieni lubricants zilizothibitishwa sio Vaseline,Ky, Durex nk .View attachment 1501947
Hahahahaha,, theoretically ndiyo Ila sipendi kucheza na nnya.Wewe siyo muumini ila ni mtaalam wa Tigo
Hauchoshi hauboiHuu uzi haufungwi tu' na hampigwi na radi mfe?!
Astaghfirullah dah
Hilo tope wanalokutana nalo wakati wa kuzibua mtaro wenzio ndo wanalipenda sasaMimi sio muumini wa kula Tigo lakini shida kubwa kwa wafanyao huu mchezo ni kwamba wanafanya bila kusafisha mitaro . Kuna kitu kinaitwa douching ambacho mtu anatakiwa akifanye kabla ya game.
Kuna kifaa kinawekwa maji ya uvugu vugu na washing liquid kidogo kisha mhusika anachomeka nyuma na kupush maji ndani. Baad ya hapo safari za chooni hazitaisha kwa masaa hata mawili mpaka maji yatoke safi bila MAVI . Kwenye porn wanafanya hivo ndo Tigo zinakua Safi, bongo mtu anatindua mtaro bila condom anapishana na mavi tu.
Pia tumieni lubricants zilizothibitishwa sio Vaseline,Ky, Durex nk .View attachment 1501947
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji134],Dah!!Hilo tope wanalokutana nalo wakati wa kuzibua mtaro wenzio ndo wanalipenda sasa
Wanakwambia jicho lazima litoe chozi [emoji2]
Leta Tigo tuile ww mambo ni mengi...mengi ni mambo!Sijawahi, sitawahi na sitakuja kuliwa tigo ktk hii dunia Mara mia niwe single milele
Kwel mkali umemuelezea ipasavyo!Usiseme hivyo, unaweza kutana na Mwanaume anaekuvutia sana, ambae ukimwona tu, papuchi yako inaloa..half ukute huyo mwanaume anapenda michezo hiyo..ukute na wewe una chura kubwa ndo kabisaa
Unapelekewa kwanza ulimi kwenye tigo yako, (najua hii ni vigumu ww kukataa) ila ukikataa kunyonywa tigo, katikati ya gemu unawekewa madawa, ukilewa tu, tigo yako inapakwa (Durex silicon lube- hii lubricant inauzwa tsh elf 28 tu, hata ky jelly haioni ndani ) ukija shtuka unakuta mwanaume yuko huko nyuma mgongoni, anaipakua tigo yako huku anaichezea clitoris yako.. Mbona utampa tu ushirikiano. Raynavero
Ahsantekwanini wanawake wengi siku hizi wanapenda kuingiliwa kinyume na maumbile?
Naomba mawazo yenu wana JF
------------------------------
Asilimia 26.5 wanawake hufanya mapenzi kinyume na maumbile:
![]()
KWA UFUPI
Wakati idadi ya wanawake wenye maambukizi ya Virusi vya Ukimwi ikiongezeka, asilimia 26.5 ya wanawake Tanzania wamebainika kuwa wanafanya mapenzi kinyume na maumbile. Wakati idadi ya wanawake wenye maambukizi ya Virusi vya Ukimwi ikiongezeka, asilimia 26.5 ya wanawake Tanzania wamebainika kuwa wanafanya mapenzi kinyume na maumbile.
Mfumo wa uzazi unaharibika
Watafiti wanabainisha kuwa kitendo hicho licha ya ukweli hakifai kwa vile kinaharibu mfumo wa uzazi, kina athari kubwa mno kwa mwanadamu, mojawapo ni ikiwemo uwezekano mkubwa wa wahusika kuambukizana virusi vya Ukimwi kwa vile hakuna vilainishi, hivyo kusababisha michubuko ambayo ndio njia kuu ya kuambukiza vijidudu hivyo.
Mtafiti Mwanasayansi, Irene Mremi kutoka Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu nchini Tanzania (NIMR) alitoa ripoti hiyo hivi karibuni hapa jijini Dar Es Salaam. Mremi akiwa na jopo la watafiti kutoka NIMR anasema kuwa wanawake hao wamesema chanzo kikubwa kinacho wapelekea kufanya ngono kinyume na maumbile ni kujipatia kipato zaidi na Kuogopa kupata Mimba.
Vilevile alizitaja sababu nyingine za wanawake kufanya mapenzi kwa njia hiyo ni kulinda usichana wao na baadhi ya mila na tamaduni za baadhi ya makabila.
Sampuli za utafiti
Utafiti huo ulikusanya sampuli kutoka katika mikoa ya Dar es salaam, hasa maeneo ya Kinondoni, Tanga, Makete na Siha. Mremi anasema "Utafiti wetu uliwahusisha wasichana na wanawake wa rika kuanzia miaka 15 na kuendelea na kada tofauti katika jamii kama wanafunzi, wafanyakazi, wahudumu wa bar, wauguzi, makahaba na akina mama wa nyumbani. Katika maeneo hayo watu 903 walijitokeza wakiwepo pia wanaume ambao walihusishwa katika utafiti huo.
Imani potofu kwa wanaume
Wanaume waliohojiwa wamesema wanafanya kwa ajili ya kupata raha tu na imani ya kuwa huko hakuna maaambukizi ya VVU, kitu ambacho ni uongo, kwani huko ndiko kwenye kuchangia ukimwi kwa haraka zaidi kuliko sehemu nyingine yoyote. Katika utafiti huo, wanawake 44 kati ya 166 waliohojiwa walisema wanafanya tendo la kujamiiana kinyume na maumbile, licha ya kwamba ni jambo linalokatazwa na dini zote.
Tanga yaongoza
"Tanga ndiyo kumeonesha kukithiri kwa vitendo vya wanawake kufanya mapenzi kinyume na maumbile ukilinganisha na Makete ambako bado kuna idadi ndogo" anasema Mremi
Fikra za kulinda ubikira
Ilibainika kuwa wasichana wengine walikiri kufanya hivyo kwa ajili ya kulinda ubikira wao na baadhi ni mila na tamaduni za baadhi ya makabila.
Dk Mremi amekaririwa akisema " Utafiti wetu uliwahusisha wasichana na wanawake wa rika kuanzia miaka 15 na kuendelea na kada tofauti katika jamii kama wanafunzi, wafanyakazi, wahudumu wa baa, wauguzi, makahaba na akina mama wa nyumbani. Katika maeneo hayo watu 903 walijitokeza wakiwepo wanaume ambao walihusishwa katika utafiti huo". Wakati wa utafiti huo wanawake 44 kati ya 166 waliohojiwa walisema wanafanya tendo hilo.
Dk Eliza Shayo, ambaye pia alishiriki katika utafiti huo anasema sababu ya kufanya utafiti huo ilikuwa ni kuangalia visababishi vya kusambaa kwa Ukimwi.
"Lakini pia tuliweza kujua tatizo la kufanya mapenzi kwa njia hiyo lina ukubwa kiasi gani" anasema. Dk Shayo pia anasema utafiti huo uliangalia iwapo wanaofanya vitendo hivyo hutumia kondom au la. Wengi walionekana kutotumia kondom wakifikiri hawawezi kupata virusi vya Ukimwi, imani ambayo sio sahihi.
Ni changamoto
Mwenyekiti wa Mtandao wa Jinsia Kusini mwa Afrika, (GEMSAT) Dominica Haule anasema utafiti huu ni changamoto kwa serikali, watunga sera na vyombo vya sheria. "Ni wakati muafaka wa kujadiliana nini kifanyike kupunguza tatizo hili. Hii ni hatari na haikubaliki," anasema Haule. Anasema wadau wa afya hawana budi kuhakikisha wanafuatilia kwa ukaribu na kuweka wazi madhara ya vitendo hivyo.
Mhadhiri wa Masuala ya Saikolojia, Dk Kitila Mkumbo anasema suala hilo linaweza kuwa na athari kiafya.
"Kisaikolojia, kama wao wawili wamekubalina sawa, lakini kiafya lina athari kubwa," anasema
Dk Mkumbo anasema ufanyaji wa mapenzi upo wa aina nyingi wengine hufanyia mdomoni, inategemea na makubaliano, lakini kiafya inaweza kuwa na athari. Dk Meshack Shimwela, Daktari bingwa wa Magonjwa ya Ndani ya Mwili kutoka hospitali ya Amana anasema mwanamke ambaye hufanya mapenzi kinyume na maumbile huathirika na kuacha kufurahia tendo hilo kwa njia ya kawaida.
"Lakini pia, wengi hujihisi kama wamelaaniwa na wanakosa kujiamini" anasema na kuongeza kuwa hata kama anaweza kufanya kwa mkumbo, baadae hujutia hasa anapojikuta anapata athari kubwa za kiafya kuliko furaha. Dk Shimwela anasema kitendo hicho husababisha bakteria wasiohitajika kuingia katika sehemu ya haja kubwa na kuleta uambukizo.
"Eneo la haja kubwa limeumbwa kutoa na si kuingiza. Hivyo kitendo hicho husababisha uharibifu na kulegea kwa misuli" anasema
Anasema maradhi mengine ambayo hujitokeza katika sehemu ya haja kubwa pindi mtu anapofanya mapenzi kwa njia hiyo hayana tiba. Anaongeza kuwa wanawake hupata madhara wakati wa kujifungua na hatari ya kupata maambukizi ya VVU ni kubwa zaidi.
Hatari kuu Jarida la Havard la afya ya Wanawake (Havard Women Health Watch) linaeleza kuwa ufanyaji wa mapenzi kwa njia ya haja kubwa ni chanzo kikuu cha maradhi ya kuambukiza ukiwemo Ukimwi.Hii ina maana kuwa watu ambao wanafanya vitendo hivyo wana athari kubwa za kupata virusi vya Ukimwi.
Kwanini ni hatari?
Tishu zilizo katika njia ya haja kubwa ni laini na hazina maji maji, hivyo huchanika kwa urahisi wakati wa tendo na kuingiza vijidudu.
Utafiti kama huu ulifanywa nchini Marekani mwaka 2005 na kituo cha Kudhibiti Maradhi ya Kuambukiza (CDCP). Katika utafiti huo asilimia 40 ya wanaume na 35 ya wanawake wenye umri wa kuanzia miaka 25 na 44 walikiri kufanya tendo hilo kinyume na maumbile.
Wanatumia matambala kuziba kinyesi
Kuna athari kubwa za kufanya kitendo hicho, baadhi ya watu hujikuta wakivaa matambaza ili kuzuia kinyesi kisitoke kwa vile mfumo wa haja kubwa huwa umelegezwa.
Profesa wa Chuo Kikuu cha tiba cha Colombia, Judy Kuriansky anasema "Inashangaza kuona watu wanafanya mapenzi kwa njia hiyo wakidhani wanajikinga na Ukimwi, huko ni kujidanganya, ukweli ni kuwa njia hiyo ndio inayoweza kumfanya mtu kupata virusi kwa urahisi zaidi". chanzo.
Asilimia 26.5 wanawake hufanya mapenzi kinyume na maumbile - mwanzo - mwananchi.co.tz
Akiringishia Tako ndo tunam-bamanduaNaomba nikuulize' ukipiga picha kifua wazi unatuonesha nn?
Ukapiga picha inaonesha mikato ya kushuka chini kwenye uume pia hua mnaonesha nn?
Ukachukua clip una bite ur.lips na kuonesha sura yako unatarajia nn inamaana kama unasura nzuri ya kuvutia basi watu waione
Mtu kuchukua video anatingisha tako doesnt mean anakushawishi uombe tigo'
People show what they have naamini hiko'
Alie na tako kubwa hawezi kua sawa na mwenye size ama flat screen mnaita'
Kwani ukiangalia bila kuwaza unayoyavutia kasi kuna shida gani?!
Mtu kajaaliwa tako ila kanyimwa sura ss kwann asiringishe tako lake?
ni ngumu sana mwanamke mwenye tako kubwa kupona ktk kuliwa mlima wa moto
Mike adriano whenever you are🤓
Your a luckiest man bro.
Yupo l.t nae kiboko wa bkacks analJamaa hana mfano
Yupo l.t nae kiboko wa bkacks anal
Yupo l.t nae kiboko wa bkacks anal