Kwanini wanawake wengi siku hizi wanapenda kuingiliwa kinyume na maumbile?

Kwanini wanawake wengi siku hizi wanapenda kuingiliwa kinyume na maumbile?

  1. B - yes
  2. C - nothing
  3. D - sidhani kama inajalisha kama ni starehe au la
  4. E - No
Jibu ni E Hawezi kufungwa kwa sababu wewe Mpelelezi sio DR na huna ushahidi kwa kuKOZMEN tu
N.B. ipo Kesi ya namna hii huko Moshi yule muuza DVD eti POLISI na wapepelelezi wameshuhudia kupitia Video wakati wao wanakataa kwani ni starehe yao
Hii picha bado haina jibu
avatar66278_39.gif
wapelelezi wamekataa ushahidi lol.
picha haina jibu for now
 
Naombeni msaada wenu wana jamvi, ninae msichana ambae ni kama girl friend(kimada) wangu na sina malengo naye na yeye anatambua hilo kwa kuwa nilishamueleza kuwa nina mke na mtoto. Tunapokuwa faragha hunishawishi ni muingilie kinyume na maumbile eti ajaribu ili ajue ladha yake, nimekuwa nikimkatalia kwa kuwa najua madhara yake kwake na hata atakapokuwa na mme wake wakati wakujifungua lakini amekuwa hanielewi na kunisistiza nimfanye hivo kwani madhara yake mi hayatanihusu na mimi roho hainitumi kabisa nasijawahi kufanya unyama huo jamani. Naombeni ushauri.
 
In short ni kuwa anakuambia yeye hizo ndio zake sasa wewe humpi atakalo so ameamua kutumia lugha ya kudadisi na kujua yatokanayo!!!!!!

Samaki hujui kuandika hata picha yake pia unasema.ni tembo!!!!!!!
 
Tafadhali muungwana wewe USITENDE La'ana hiyo !! kwako ni kujichimbia kaburi la majangaa na balaa kimaisha utakumbwa na maswaibu mengi !!
epukana nae au sepa huko mbali!!
 
Kama umeona ni madhara kwake na hupendi kumuharibia future yake nashauri umuache kabisa ili hata akiharibiwa na wengine ww utakuwa umenawa dhambi hizo
 
!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mfiraji na Mfirwaji
Kamwe hawatauona Ufalme wa Mungu


Mmekuwa na uhusiano siku zote leo ndiyo
mmekumbuka Sodoma na Gomara.
Epukana nae huyo.
 
Huyo ndio mchezo wake nawewe unaonekana kama mshamba tu mpaka akuambie ndio ujue!we siushaamua kusaliti ndoa mda mrefu tu fumua tu umalizie usaliti vinginevyo jitambue badili maisha,angalizo mtu aina hiyo usalama kwake hua haba sana unles otherwise
 
du,kwakuwa umeomba ushauri japo wakati unamfuata ukuomba ushauri basi ni vyema mkamalizana nae humo humo. au chukua tango halafu utumie atapata jibu labda.
 
Mkuu heshimu ndoa yako,...onana sasa unataka kulishwa mavi,...ukithubutu ,mkeo ushamsahau kabisaa.
 
Wewe muingilie.
Maana nako kule kuna kautamu kake.
Ila mwambie asizoee.

Mpendwa Tafadhali na samahani usimshauri mtu hayo !!! kwa usalam awa jamii na maadili ya kiungwana Jambo la ufuska huwaga linarudi kwa washangiliaji, wapambe na washajishajii !! MUNGU ATUPISHE MBALI .. astaghafiru x 3 kind thanks.
Kaka Lalika Jr. achana naye kabisa FEAR GOD, ogopa ghadhabu za Mungu.
 
ukimla huyu 2 basi na hata mkeo naye lazima utamla kile ki2 ni kama kula nyama ya binaadamu huachi ng'o mpaka kufa kwako
 
ha ha ha ha!!!!!!!! umeona faida kwenye kuharibu future yake, sasa mwenzio anataka uharibu kote future na maumbile kwa sababu hana malengo na wewe.

maamuzi ya busara achana na huyo kimada lea familia yako utabarikiwa.
 
Back
Top Bottom