Kwanini wanawake wengi siku hizi wanapenda kuingiliwa kinyume na maumbile?

Kwanini wanawake wengi siku hizi wanapenda kuingiliwa kinyume na maumbile?

Mada zingine bana unabaki unajiuliza hivi mtu anauliza swali kama hili ni mtu mzima na akili zake au ni vitoto vyenye access na net vinakuja kuonyesha upuuzi wao hapa

Swali hili ningekuelewa tu kama ungelipost jukwaa la wakubwa
Kesho si ajabu ukarudi hapa ukauliza kunajamaa basha ananitaka nimkubalie au nimkatalie?
 
Mwache bhana!! Heri nusu shari kuliko shari kamili! Achana kabisa na huo mchezo hata akushawishi vp! Kwanza kwa vile hana malengo na wewe mwache tu!!
Naombeni msaada wenu wana jamvi, ninae msichana ambae ni kama girl friend(kimada) wangu na sina malengo naye na yeye anatambua hilo kwa kuwa nilishamueleza kuwa nina mke na mtoto. Tunapokuwa faragha hunishawishi ni muingilie kinyume na maumbile eti ajaribu ili ajue ladha yake, nimekuwa nikimkatalia kwa kuwa najua madhara yake kwake na hata atakapokuwa na mme wake wakati wakujifungua lakini amekuwa hanielewi na kunisistiza nimfanye hivo kwani madhara yake mi hayatanihusu na mimi roho hainitumi kabisa nasijawahi kufanya unyama huo jamani. Naombeni ushauri.
 
Mwache bhana!! Heri nusu shari kuliko shari kamili! Achana kabisa na huo mchezo hata akushawishi vp! Kwanza kwa vile huna malengo naye mwache tu!!
Naombeni msaada wenu wana jamvi, ninae msichana ambae ni kama girl friend(kimada) wangu na sina malengo naye na yeye anatambua hilo kwa kuwa nilishamueleza kuwa nina mke na mtoto. Tunapokuwa faragha hunishawishi ni muingilie kinyume na maumbile eti ajaribu ili ajue ladha yake, nimekuwa nikimkatalia kwa kuwa najua madhara yake kwake na hata atakapokuwa na mme wake wakati wakujifungua lakini amekuwa hanielewi na kunisistiza nimfanye hivo kwani madhara yake mi hayatanihusu na mimi roho hainitumi kabisa nasijawahi kufanya unyama huo jamani. Naombeni ushauri.
 
kumbe kuwa na KIMADA ni jambo la kawaida au ufahari. baba mwenye mke na mtoto unaweza kuandika maneno hayo bila kuwa na hofu? kama umeweza kuwa na huyo kimada mtimizie yote anayotaka, MGEUZE tu maana hata kuwa na KIMADA ni laana hakuna kosa kubwa na dogo. SHAME ON U
 
Usiache bahati hiyo, siye wengine mbona hatupatagi bahati Kama hiyo
 
Achana nae kabisa kabisa. Na tangu leo uwe mwaminifu kwa Mkeo.

Kwanza umeshaharibu kwa mkeo sasa unataka ushauri kama unaweza haribu zaidi? Naomba MUMGU akukoshe Amani mpaka siku utakapokuwa mwaminifu kwa Mke wako Mzuri.
 
Mkuu usifanye hivyo, fikiria una mtoto wako wa kike halafu atake kufirwa, utajisikiaje? hebu jiweke nafasi ya mzazi maana umeshasema kuwa una mke na mtoto!
 
Asilimia kubwa ya haya masuala ya
kula na kuliwa tigo wengi huwa ni
kuiga tu bila kujua madhara yake.
 
kwanini wanawake wengi siku hizi wanapenda kuingiliwa kinyume na maumbile?

Naomba mawazo yenu wana JF

wengi wanatumia kama njia mbadala ya kuzuia mimba
pili wanatumia kama njia mbadala ya kulinda penzi mwanaume akitaka ukimnyima anaondoka hivyo hawana budi kuachia ili wapende zaidi
tatu sababu za kibailojia ukikojolewa huko kuna kua na shahawa zinawasha kwa io unaitaji kusuguliwa tena tena
 
Back
Top Bottom