Kwanini Wanawake wengi wa Kitanzania siku hizi ni Wavivu mno kunyoa Nywele zao za Sirini?

Kwanini Wanawake wengi wa Kitanzania siku hizi ni Wavivu mno kunyoa Nywele zao za Sirini?

Gentamycine utafiti wako umehusisha sampuli ngapi hadi uwataje wanawake wengi Tanzania???? Tuanzie hapo kwanza
 
1> ukimkuta demu wako, mpnz wako, mchepuko wako, hajanyoa mnyoe

2>sioni umuhimu wa kunyoa wakati nyuchi ni yangu mwenyewe sina nae changia nae kwahiyo ninapo jisikia kunyoa huwa nanyoa km kuna ulazimaaa....

3> mwanamke/mwanaume mavuzi ni uchafu lkn mm huwa napenda kuyafuga, na nimvivu kuyanyoa coz huwa ndiyo nasisimka hahaaaa ya.....**********!!!!
Uko vzr
 
Hahahah et unaoziona zmetuna kumbe ni zivu,hahahah,
 
Ahsante kwanza kuniita mshambaa[emoji120]

Mimi ' nimekutania ' tu kama kawaida yangu ila nashangaa ' umenimaindi '. Hata hivyo naomba ' radhi ' sana kama ' nimekukwaza ' kwa kukuita ' Mbwigira / Mshamba '.
 
Wavulana hawa,hakuna haja ya kupoteza muda kupiga nao kelele stress zinawasumbua hapo ukute hata ela ya kula hana anakazi kukaa kutunga tunga upuuzi na kuuweka jf kujifariji

Comments zako za ' Chuki ' Kwangu inaonyesha una ' Mlima ' kama siyo ' Zigo ' la ' Vuzi ' lililokutukuka. Hela kweli sina ila kama ' ukinitengea ' tu huo ' Mmbunye ' wako sitokosa ' Hela ' ya kukupa. Nimekuvumilia vya kutosha hivyo endelea tu ' Kushoboka ' nami ' uyakoge ' kisha tuheshimiane vizuri.
 
Siku hizi mambo ni MUBASHARAAA, kama ww Fundi tembea na KIWEMBE.
Mtulize bibie lichambue chicha linyoe taratibu huku ukimwambia Tania mapaja huku sifikii binuka hivi nimalizie kule. MAMBO yanakuwa MUBASHARAAA kila chicha linapomea lazima akutafute KINYOZI WAKE.
 
Kumbandua,hivi kwa nini mnaita hilo tendo kwa ukatili hivyo? Basi bandua na hizo nywele.
Yaani naona maumivu toka mtu anavyoandika kama anaongelea wanyama. Ni tendo la kistaarabu na mwili ni wake mwambie tu kama huzitaki hizo nywele manake wapo wanaozitaka na kama hataki kuzitoa muache endelea mbele
Jomoni jomon Micheleyaplastic imemuuma na msitu wake,
Pole usijal ila...pambana na hali yako
 
Kwa utafiti niliofanya japo sio rasmi ni kwamba haya mapori ya hawa mabibie wa tz wanayatumia kufichia makinia(Sangoma product) kikaz zaid.
Ova
 
Kwa kweli wanyoe kwa usafi wa mbunye zao.. Unakuta unazama uvinza, vuzi zinanata kwenye meno.. Unajikuta unachokonoa meno kama umekula nyama bhana..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mi naona ni janja yao kusudi ukifika uhangaike kutumukiza
 
Mi nafikiri tatizo ni kupenda bongo fleva na bongo muvi. We mtu mzima na akili timamu unahifadhi pori, unachoma mkaa?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Njia rahisi ni ya wao kutembea na wembe kila wanapokwenda kukutana na hao wengi ili kama ataona hali ya mazingira haimridhishi afanyie usafi kwanza badala ya kulia lia jf
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Kwa kweli wanyoe kwa usafi wa mbunye zao.. Unakuta unazama uvinza, vuzi zinanata kwenye meno.. Unajikuta unachokonoa meno kama umekula nyama bhana..
Uchafu mbaya sana na unaweza kusababisha mafua mithli ya mafua ya ndege kwa waumini wa Safari za uvinza kwani hakusafishiki vizuri. Kuweni wasafi.
 
Back
Top Bottom