Kwanini Wanawake Wengi wa Vijijini Sio Wazuri (Not Beautiful)?

Wanawake wa vijijini ndo wazalishaji wakubwa huku wanaume wakisubiri kufanyiwa yote aisee, wanawake wa vijijini ni mashujaa

Sent using Jamii Forums mobile app

Mfano wayao, wandendeule na makabila mengine wanaune wanaoa wanawake wengi ili wapate watu wa kulima mashamba wenyewe wanaita “pawatila”
 
Mkuu kwani kulima kunamfanya mtu kuwa havutii?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kutwa kupigwa na jua hata huo urembo unatoka wapi? Hata ukipaka cream hapo inadunda, pia wanafanya kazi nzito za kufanywa wanaume sasa hapo hata shep nzur inatokea wapi jmn! Maana lazma utakuta mtu kakomaa ovyo
 
Mkuu sikujua kama kusema mtu flani sio mzuri ni tusi/kashfa kiasi cha mimi kuoaswa kumtaka ArDhi

Pia, pengine hao wazuri wa mjini waliotoka vijijini ndio wanasababisha vijijini kuwe na Wanawake wasio wazuri na mjini kuwa na wazuri (kutokana na pulling power ya mjini)

Kwenye adha wanazopata wa vijijini inaweza kuwa kweli pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukikaa sana nyege zikakushika vizuri kama miezi 2 na kuendelea utawaona wazuri na utaanza kuwatongoza,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…