geezerlad
Senior Member
- Dec 31, 2017
- 182
- 195
Wanawake wa vijijini ndo wazalishaji wakubwa huku wanaume wakisubiri kufanyiwa yote aisee, wanawake wa vijijini ni mashujaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfano wayao, wandendeule na makabila mengine wanaune wanaoa wanawake wengi ili wapate watu wa kulima mashamba wenyewe wanaita “pawatila”