Kwanini wanawake wengi wakipigana hupenda kuvuana nguo

ubarikiwe mpaka ujiogope.
umenena maneno yenye akili na maarifa.
 

Duuuh[emoji15] umeielezea vizuri[emoji38][emoji38]
 

We wajua kijijini?? Niliogopa nisijeambiwa nimechukua kivuli chake miye. Kwetu wanaamini sana uchawi haswa kukuchukulia kivuli wakufanye uwehuke. Sasa tuliamini kishachukuliwa kivuli kawehuliwa na dayaspora wake
 
Nadhani ndo maana mume katoroka. Huenda huko dayaspora misitu haifugwi na viwanja vipo wazi bila kutafuta mlango wa goli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akinamama wakishaolewa basi uwa wanachukulia poa, hata mausafi kama kufyeka msitu hakumbuki tena
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akinamama wakishaolewa basi uwa wanachukulia poa, hata mausafi kama kufyeka msitu hakumbuki tena

Huku kijijini ndo usiombe. Yaani hata ametoka matembezi hakumbuki kujisafi kidogo ili Mr naye amuangalie. Kuoga ni siku moja moja na kubadili pichu ni baada ya tendo
 
Hiyo nadhani iko kisaikolojia zaidi kwamba akimpiga halafu akamvua nguo anakuwa amemkata mood ya kuendelea kupigana kwamba hawezi tena kuendelea na pambano ila kujistiri, tahadhari hata mwanaume uko kwwnye hatari ya kuvuliwa nguo na mwanamke kwenye ugomvi so watch it
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akinamama wakishaolewa basi uwa wanachukulia poa, hata mausafi kama kufyeka msitu hakumbuki tena
kitu cha amazoni au kongo forest. Ila wa mjini wanajitahidi
 
Huwa wanakaguana nani mwenye pichu mpya na kweli ni size au kubwaa?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
mwanaume hana haja ya kuvuliwa nguo mkuu, anadandia kende tu kwisha habari
 
ngumi za wanawake tamu sanaa.. yaani unaona wazi kabisa.. anvyokimanua kimbuftaa chake...mpaka noma yaani..
 
Usithubutu kupigana Hajar

Mtu akikuudhi mpe ushindi ajione bingwa yeye, maana wanawake kwenye ugomvi kuadhiriana ndio mnaona mmekomoana
Nimekuelewa sana Sesten. Ila si wajua kimwili changu 😜😜😜 tena hiki halafu kuanza kutaka ugomvi na watu hapana kwa kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…