Wanawapaka paka shombo wake zao wakiambiwa wanaleta fedhuli,mabint wakipata wanaostahili hasa kuitwa wanaume kwa kujua majukumu yao na kuyatimiza wachovu wanakuja kulia lia hapa na kuwapa watu sifa wasizozistahiliHata Kongosho kauliza au ndo ile dhana mwanamke akidai kufikishwa ni mala.ya au anayejua mchezo ipasavyo ni muuza k?yule gogo au asiyejua mautamu ambae akikojolewa kwa paja hewala.
dada waambie waache kutujadili jadili ovyo.
Hao wake zao wawakune wakunike uone kama watagawa ovyo!
hii inaaplai pia kwa wanaume sio wanawake peke yao. Tena wanaume ndio mmezidi maana mtu anamuona tu mdada hata km ni stendi ya basi anahemka na kumtaka akamlale...hili suala ni la kuangaliwa KIJAMII kwa ujumla wake zaidi na sio kuelemea upande wa wanawake tu.
mkuu, wahi kavae helementi na
buleti proof. Ngoja niwaite Heaven on Earth
mwallu DEMBA
amu mnaulizwa na Akili
Unazo! Huku
Hao wanawake huo uzinzi wanafanya na nani?
Umevurugwa wewe si bure
Kwa kipindi cha mwaka mmoja nimefuatilia maada nyingi humu ndani hakika wanawake wamezidi kufanya ngono ndani ya mahusiano.
Yaani kuna matukio yanajitokeza mpaka unashindwa kuelewa kama wana moyo wa huruma au wameingiliwa na shetani gani..Mtu unaingia kwenye Ndoa kwa kusahau yote aliyoyapitia bado akiingia kwenye ndoa anaendelea kufanya uzinzi tu..Jaribu kusoma thread nyingi ndani ya MMU utaona nyingi zinaongelea kusalitiana, kufumaniana,kugongewa yaani shida tupu.
Je ni vyakula hivi ambavyo vimebadilisha mihemko ya miili yetu mpaka tunakuwa na hamu ya uzinzi hadi usoni kwetu...Tuwe wakweli humu ndani wadada wengi wanamatatizo kwenye mahusiano yapo ndio maana baadhi yao michango yao huwa ukiifikiria utadhani siyo mwanamke ..
Ebu wakati tunaelekea mwisho wa mwaka tujaribu kujiuliza nini tumemkosea mungu mpaka tunakuwa na hulka ya uzinzi kiasi hicho.
Leo tu kuna mdau amesafiri kibiashara mke wake wa ndoa ameingiza mwanaume kwenye kitanda chake kwa ajili ya kuzini hivi hamuoni aibu???
Mnakera kwa kweli
unadhani mtu atahisi tu nakuamua kutoka nje? huwa wanakua na vithibitisho..na pengine mume hashauriki au habadili tabia...na aibu ni kwa wote
hapa inabidi tuongelee pande zote mbili.Kwa kipindi cha mwaka mmoja nimefuatilia maada nyingi humu ndani hakika wanawake wamezidi kufanya ngono ndani ya mahusiano.
Yaani kuna matukio yanajitokeza mpaka unashindwa kuelewa kama wana moyo wa huruma au wameingiliwa na shetani gani..Mtu unaingia kwenye Ndoa kwa kusahau yote aliyoyapitia bado akiingia kwenye ndoa anaendelea kufanya uzinzi tu..Jaribu kusoma thread nyingi ndani ya MMU utaona nyingi zinaongelea kusalitiana, kufumaniana,kugongewa yaani shida tupu.
Je ni vyakula hivi ambavyo vimebadilisha mihemko ya miili yetu mpaka tunakuwa na hamu ya uzinzi hadi usoni kwetu...Tuwe wakweli humu ndani wadada wengi wanamatatizo kwenye mahusiano yapo ndio maana baadhi yao michango yao huwa ukiifikiria utadhani siyo mwanamke ..
Ebu wakati tunaelekea mwisho wa mwaka tujaribu kujiuliza nini tumemkosea mungu mpaka tunakuwa na hulka ya uzinzi kiasi hicho.
Leo tu kuna mdau amesafiri kibiashara mke wake wa ndoa ameingiza mwanaume kwenye kitanda chake kwa ajili ya kuzini hivi hamuoni aibu???
Mnakera kwa kweli
hapa inabidi tuongelee pande zote mbili.
nyie wanaume:mnasahau majukumu yenu,mashindwa kuwatreat wake zenu kama inavyotakiwa ndio maana wanagongwa hovyo.
wanawake:tuache tamaa,na vile vile tuache kulinganisha....mara ooooh mume wangu hana six pack,mara oooohh mume wangu si handsome,mara oooohh mume wangu hana hela.n.k kwanin tusiridhike na tulicho nacho?
pia marafiki ni chanzo kikubwa,ukiwa na marafiki wazinzi kwa vyovyote nawe utakuwa au utaanza uzinzi.....na wengine ni wazinzi by default,wamezaliwa na hiyo tabia.
so its better nyie wanaume badala ya kulalamika mngeanza kujirekebisha kwanza then ndo umsaidie na mkeo kuchange.
yani hapo kwenye topic ndo umemfikisha.
Kweli akili unazo, huo uzinzi wanafanya na nani?
Au unamaanisha wasagaji wameongezeka?
wengi ni kwa hasira na kulipiza visasi kwa waume zao..unakuta mume ni mwenye mahusiano mengine nje ya ndoa yake,mwanamke anavumiliaa wee mwisho wa siku anachoka..na kutengana hataki labda anahurumia watoto wake...na hapo labda njia nyingine zote za kumtuliza mume zimeshindikana..basi wanaamua na wao kuzurura nje ya ndoa sasa..inakua ngoma droo tu
Wanawapaka paka shombo wake zao wakiambiwa wanaleta fedhuli,mabint wakipata wanaostahili hasa kuitwa wanaume kwa kujua majukumu yao na kuyatimiza wachovu wanakuja kulia lia hapa na kuwapa watu sifa wasizozistahili
Hao wanawake huo uzinzi wanafanya na nani?
Umevurugwa wewe si bure
kama kawa naona umepimia kwa mbali............