Kwanini wanawake wengi wana mihemko ya Uzinzi miaka hii hata aliyeko kwenye ndoa anazini?

Tafuta hela wewe! Nani asiyependa hela? we mwenyewe fisadi kiwembe! kama humpi hela mkeo, wapo watakaokusaidia lolz!

Unanitia hasira ya kutafuta hela wewe!! Sitaki kusaidiwa!
 
hahaha mwallu kama hilo ndio lengo si umwambie tu kuliko kwenda kukichakaza huko?? Huoni utajitesa mwenyewe?
 
Last edited by a moderator:
Kweli akili unazo, huo uzinzi wanafanya na nani?
Au unamaanisha wasagaji wameongezeka?

hata mm nimeshangaa et wanawake.wewe sema kwann uzinz umeongezeka duniani kwa wanandoa sio useme wanawake..wanaowashawishi ni kina nani? kweli akili hunazo!
 
Nikua na manzi kutoka karibu na kwa pk karibu na ziwa kuu kwa dagaa chungu
Sina hamu maana ilikua aibu nikambana akaniambia awezi kukaa siku 3 bila kugegedwa nikaona nimeleta jini kwa nyumba
 
Nikua na manzi kutoka karibu na kwa pk karibu na ziwa kuu kwa dagaa chungu
Sina hamu maana ilikua aibu nikambana akaniambia awezi kukaa siku 3 bila kugegedwa nikaona nimeleta jini kwa nyumba
Mbona unachezea bahati mzeya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…