Oga, nukia. Watakuja wenyewe na hela zao nakwambiaSio maokoto mkuu,Mimi ni mrefu Sina hela siongozani nao hebu nipe mbinu.
Hapa hapa ili tuwaspot 😝Warefu tunacoment wapi???
Tuongozane lini bebeWana muonekano mzuri. Hakuna sababu nyingine
Wanakuwa na amani sanaWadau hamjamboni nyote?
Mada ipo mezani karibuni tujadili Kwa hekima na busara
Lugha zisizo na staha hazikubaliki
NB: moderator Tafadhali usiunganishe Uzi huu kwingineko
Sana sana wadada wa kwenye Migahawa wapo tayari ukale bure yaan awe anakuona tu unakula namaanisha unakula, hii mitihani inanikuta sana mpaka najutia kua mrefuWadau hamjamboni nyote?
Mada ipo mezani karibuni tujadili Kwa hekima na busara
Lugha zisizo na staha hazikubaliki
NB: moderator Tafadhali usiunganishe Uzi huu kwingineko
Acha uongoSana sana wadada wa kwenye Migahawa wapo tayari ukale bure yaan awe anakuona tu unakula namaanisha unakula, hii mitihani inanikuta sana mpaka najutia kua mrefu
Siku hizi vitanda wanaongeza size ya urefu mkuuUrefu wa kitanda huo, ukilala miguu inatokezea..
Kwabi wafupi wana muonekano mbaya ?! Au muonekano mzuri kwako una maana gani ?!Wana muonekano mzuri. Hakuna sababu nyingine
Wafupi hawawezi kukupa ulinzi na usalama ?!ulinzi na usalama zaidi 😅
Sifa zote hizo awe nazo huyo mwanaume mmoja, haya na wewe una sifa gani tuambie kidogo ili tujue sisi.awe mrefu, smart, black na mishipa ijichore mikoni huyu tutaongozana had mbinguni
wanaweza kwa wengineWafupi hawawezi kukupa ulinzi na usalama ?!
Kuoga niko sawa, bado kunukia [emoji16][emoji16]Oga, nukia. Watakuja wenyewe na hela zao nakwambia
Pata mfupi wako tulina naye, maisha yenyewe mafupi haya.wanaweza kwa wengine
kila mtu na chaguo lake najinsi aonavyo anakuwa comfortable na mtu wa namna gani
sana tu kwa sisi ke ndio kipaumbeleUnapenda ulinzi pia.