Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
kua ngongoti bina hele hao mabinti utawasikia kwa jirani kijana wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi kabisa,urefuke na wewe kidogo sasa...!sana tu kwa sisi ke ndio kipaumbele
kwenda wap unaujua urefu wanguSafi kabisa,urefuke na wewe kidogo sasa...!
umenifanya nicheke ujue🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 eti pata mfpi wako utafikir wapo kwenye mnada naenda jichaguliaPata mfupi wako tulina naye, maisha yenyewe mafupi haya.
😂😂😂😂😂😂umenifanya nicheke ujue🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 eti pata mfpi wako utafikir wapo kwenye mnada naenda jichagulia
Karibu hapa(joke)awe mrefu, smart, black na mishipa ijichore mikoni huyu tutaongozana had mbinguni
Kama ni security c angechukua hata Hawa wa makampuni?hapo hamna jipya zaid ya zinaa na tamaa tuwarefu wanajiamini Sana
Kipaumbele Cha mwanamke Ni security kwanza, mengineyo ndo ufuatia [emoji4]
Huyu jmaa hakuna sehemu anasalimikaNgoja vijeba Maghayo et al. vilete mrejesho
Hasira za nini bwana weeeUtakua kianduje wewe sio bure halafu k
NakujaaAisee ni ile tu ukiwa na mkaka mrefu unajiona kama mtoto kwake ila akiwa mfupi unaonekana kama mama mdogo 🤔
Nina rafiki yangu mfupi kwenye harakati zetu mi ndo mtetezi wake watu wafupi wanaonewa sana labda mademu hawapendi kutembea nao kwasababu wanyonge.
cha muhimu isimame vizuri ikuingie na kukukuna kila konaAisee ni ile tu ukiwa na mkaka mrefu unajiona kama mtoto kwake ila akiwa mfupi unaonekana kama mama mdogo 🤔
Unamaanisha unacome eeh😀😀Nakujaa