Kwanini Wanawake wote wanaonipa ushirikiano wao wa Kingono huwa wana..........

Huenda unanuka jasho mkuu, mwanamke kutema mate Ina maana anasikia kinyaa either kutokana na harufu mbaya au kuona kitu kichafu!

Kweli leo naona umeniamulia Mkuu. Haya bhana!
 
Wewe ni Deogratius Kisandu au ni Nabii Tito?
 

Nimeanza ' ngono / kubaiolojika ' miaka 29 iliyopita na kila siku iendayo kwa Maulana nadi hivi sasa ' nabandua ' tu hivyo piga 365 X 29 utapata hilo jibu langu hapo juu.
 
Kuchamba kwingiiiii....kutoka na nnya!
 
Wewe ni Deogratius Kisandu au ni Nabii Tito?

Mimi ni GENTAMYCINE na majina yangu halisi ni Kalemera Rwigyema Mazimpaka Raia wa nchini Rwanda wa Kabila bora kabisa barani Afrika la ' Tutsi '. Kazi zangu Kubwa ni Uvuvi, Ukulima na Ufugaji huku Kwetu nilipo Mkoani Gisenyi. Sijui kuna lingine labda ungependa kufahamu kutoka kwa Mnyarwanda Mimi.
 
Sababu wanapata kichefu chefu. Mtu kutema mate ni dalili za kichefu chefu. So inawezekana unakinyaa flani hiv
 
Kweli leo naona umeniamulia Mkuu. Haya bhana!
Hahaha hapana mkuu, mm na Ww tumetoka mbali sana, najua Kuna demu tuliwahi kushare ingawa Ww hujui Hilo, demu wakati nakula mzigo akaanza kuomba radhi kwa kutembea na Ww wakati sijamuuliza na wakati Ww Unakula mzigo mm nilikuwa sijafahamiana nae.
 
Hahaha hapana mkuu, mm na Ww tumetoka mbali sana, najua Kuna demu tuliwahi kushare ingawa Ww hujui Hilo, demu wakati nakula mzigo akaanza kuomba radhi kwa kutembea na Ww wakati sijamuuliza na wakati Ww Unakula mzigo mm nilikuwa sijafahamiana nae.

Shikamoo Mkuu.
 
Hizo nguvu unazipata wapi

Sasa kama tu....

  • Breakfast yangu ni Uji wa Ulezi na Mihogo au Viazi vya Kuchemsha
  • Lunch yangu ni Ugali wa Mtama na Udaga pamoja na ' Kichuri ' na Mchicha bila kusahau pilipili Kali
  • Supper yangu ni Ugali wa Dona, Samaki, Kisamvu au Majani ya Maboga na Maziwa ya Mtindi

Nitaachaje ' Kukojoa ' manii ya Kutukuka kila uchao Mkuu?
 


Matamahuluku haya!
 
Jaribu nyanda za juuu kusini sidhani mwisho kabs angalia mikoa ya mangharibi mwa tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…