Kwanini Wanawake wote wanaonipa ushirikiano wao wa Kingono huwa wana..........

Kwanini Wanawake wote wanaonipa ushirikiano wao wa Kingono huwa wana..........

Kwanini Wanawake wote wanaonipa ushirikiano wao wa Kingono ( namaanisha ninaofanya nao ngono / mapenzi ) huwa nikishamaliza tu ' Kuwakojolea ' manii yangu ndani ya muda mchache tu huwa wanakuwa wanatema sana mate huku wakisema wanasikia Kichefuchefu?

Madaktari mliopo humu JamiiForums hebu naomba mnisaidie tafadhali ili niweze kujua ni hali tu ya kawaida na sahihi au labda Manii / Shawaha zangu zina matatizo au labda hawa Wanawake ninaolala nao pengine mifumo yao ya Ukeni ( Mbunyeni ) ina hitilafu kiasi kwamba hazipati ushirikiano wa Kutukuka na Mkuyenge wangu.

Nitawashukuruni.

Nawasilisha.
Labda mimi nianzie hapa!
Yaani kwa karne hii ya 21 una ngonoka na wanawake wa Kila aina BILA KONDOMU???
Wewe umechoka KUISHI!!!!
 
doh! pole mkuu.
japo sijaona bado aliyetoa sababu za kitaalamu zinazoweza sababisha hilo
 
doh! pole mkuu.
japo sijaona bado aliyetoa sababu za kitaalamu zinazoweza sababisha hilo
mshauri aende na sample kwa daktari atampa suluhisho
vitu vikipimwa vinaleta majibu sahihi kabisa. Mbona tunapima mikojo bhana? nae ajaribu kupeleka manii zake labda atapata majibu
 
Hayo mate wanatema wapi chumbani kwenye godoro huo utakuwa uchafu
 
Nilishathibitishiwa tena na Madaktari Bingwa na Nguli kabisa kuwa ukiwa na Damu ya Group O positive na Mgonjwa wa Pumu ( Asthmatic ) Kuugua Ugonjwa wa UKIMWI / Dally Kimoko ni ndoto na hakitakuja kutokea. Hata hivyo sishauri ' mniige ' kwani yawezekana pia nikawa na baraka zake kubwa na nyingi kutoka kwa Mwenyezi Mungu / Maulana kwakuwa bado ananipenda na labda kuna Kazi yake ambayo anataka niifanye hivyo ananilinda ' Kimtindo '.
Blood group O+ na asthma hapati ngoma..hii mpya kwangu
 
mshauri aende na sample kwa daktari atampa suluhisho
vitu vikipimwa vinaleta majibu sahihi kabisa. Mbona tunapima mikojo bhana? nae ajaribu kupeleka manii zake labda atapata majibu
nadhani huu ndio ushauri bora uliotolewa hapa..
mkuu GENTAMYCINE husika na ushauri hapo juu.
 
Back
Top Bottom