Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Eti kamchezo. Hadi huruma.

Nina imani hujajitambua bado na bado hujajua madhara ya hako unakokaita kamchezo.
 
Siku ukimlengesha tu, swali la kwanza kichwani mwake litakuwa, " amejifunza wapi?" Ina maana ananisaliti na ndio walikomfundisha huu mchezo mchafu!!! Unajua nini kitafuata? Umaizio wa episode ya ndoa yenu.
 
Mficha maradhi kifo humuumbua kwa kweli kama ni mateso nayapata sana mpaka nimefika mahali najiona mtumwa wa mapenzi nampenda sana my hub mpaka kumsaliti naogopa but kila tuwapo faragha Kuna michezo naimis na naogopa kumwambia huu mchezo nilifundishwa na mpenzi wangu aliyenitoa usichana ila bahati mbaya alipata ajali akafariki toka apo naumis sana kwa kweli ..nadhani kwa watu wazima washaelewa ni mchezo gani huu naongelea nashindwa nianzeje mpaka huyu mume wangu anipe na nisikie raha ya mapenzi maana nimekua mtumwa kwa kweli ...natumia njia mbali mbali mbuzi kogoma kwenda,dog style but kiukweli naona haelewi ...naumia sana nifanyeje aelewe? Au nifanyeje niache na nisikie raha kama wenzangu?
Njoo pm nikushauri kitu fasta.!
 
Nilipata mtoto mrembo wa Kizenji Alijivuta akajichomolesha kisha akashika ati anasaidia kuweka vizuri kustuka kahamisha...namuuliza kulikoni mbona kama nimepotea akadai ah bahati mbaya nikajua ah ndicho alichotaka... nikamuambia hiyo ni dhambi akasema kwani mbele ndio sio dhambi...oh nikaduwaa... Zenji hatari...
 
Back
Top Bottom