Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Alaaa kumbeeee!!!!!! kumbe ile mbuzi kagoma ni maalum kwa ajili hiyo????watanikoma Chrismas hii!!!!
 
Huyu mtu anaonekana amekubuhu na njia ya kawaida imeshatumika mpaka haitamaniki ndio maana anaamua atumie "alternative to practical" ambayo ni haramu zaidi
 
Na tunakutana nao sana sana,huwezi amini.Wengine hawajaanza kamchezo haka ila wameaminishwa na wenzao kuwa ni tamu balaa na ni ujanja kuliwa huko.
Kuna binti huku daa aliyoniambia hadi naogopa.
Tuogopeshe bhas kidogo na Sie mkuu
 
Satan at work...
 
ukute Mmeo nae akiwa Kwenye jiweni anaanza sifa za kihaya kuwa ana Mke!!!

" washikaji yeee! dah mungu alinipa Mke churaa kuleee shape ndo usiseme"

xmass njema.
 
Tubu! Kwa vile ili penzi unalotaka kumpa lina sura ya huyo marehemu ambalo ni penzi haramu mbele ya MUNGU
 
Ukalie mwenyewe
 
Tizama nafsi inataka nini na uitimize kabla ibilisi mkubwa zaidi hajakuingia maana hapo tayari kuna ka ibilisi kadogo unaweza kukamudu,Be happy..
 
Mkuu unahekima Sana yani lolote unaoochangia umu JF lazma libebe ujumbe wenye hekima Sana [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] big up nakukubali Sana mkuu nkutakie heri ya Xmass na Mwakampya 2017 barikiwa mpendwa back to the topic ushauri uliompa ndo wenyeww lkn watu hawaelewagi mpaka yamkute madhara ndo anaelewa somo....
 
Hii ndio dhambi ambayo Mungu anachukua hatua inapozidi usoni pa nchi na Alivyoiharibu Sodoma na gomora miji ile mikubwa kwa ukafiri huu watu mnageuza matumizi ya asili ya mke na mme Mungu hawezi kunyamaza kimya atakuharibu usipotubia uovu huo habari njema ni kwamba ukigeuka na kuacha uchafu huo Mungu ni mwingi wa rehema na msamaha atakusamehe.
 
Kuna wanaume wanapenda Jamani na hawajui!yaani binti hautaki kumsaliti mumeo wengine wangeshagawa nje
 
SIKIA DADA ZIBAA NJIAA MOJA UNAYOONA HAIFAII ARAFUU FUNGUAA NYINGINEE ATAPITAA TUU HUYOO KWANII YEYE NANII ......MTOTO MDOGOO .
 
barikiwa ndugu yangu kama ni wakusikia basi atakusikia kwa hiki ulichomshauri kwa nini tunashindwa kufikiri kuwa unapotenda dhambi unajitenga na uso wa Mungu kutenda dhambi au kumkosea Mungu siku hizi imekuwa fashion moyo wangu unaumia sana sijui Mungu huko aliko anajisikia vipi kwa kweli Eee Mungu kumbuka rehema kwa hiki kizazi cha nyoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…