Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Alaaa kumbeeee!!!!!! kumbe ile mbuzi kagoma ni maalum kwa ajili hiyo????watanikoma Chrismas hii!!!!
 
Huyu mtu anaonekana amekubuhu na njia ya kawaida imeshatumika mpaka haitamaniki ndio maana anaamua atumie "alternative to practical" ambayo ni haramu zaidi
 
Na tunakutana nao sana sana,huwezi amini.Wengine hawajaanza kamchezo haka ila wameaminishwa na wenzao kuwa ni tamu balaa na ni ujanja kuliwa huko.
Kuna binti huku daa aliyoniambia hadi naogopa.
Tuogopeshe bhas kidogo na Sie mkuu
 
Nenda nae taratibu, kwanza msome tabia, mwenendo wake ukoje juu ya kula tigo, baadaya hapo cheza nae kila mchezo kitandani, anza kwa kulambalamba na kumnyonya, wakati unanyonya mtalimbo hebu fanya kama unashuka chini na upitishe ulimi shwaaaaaaaap kuelekea kwenye tigo, hatimaye lengesha ulimi hapohapo tunduni cheza nae hapo kwa dk 5 hivi, akilegea tu, mpe mzigo wa kawaida ale, fanya hivyo hadi mwenyewe atakula tu tu hoko nyuma, unajua wakati wewe una nia ya kumpa na hujui uanzejw nae pia anautaka ila hajui akuanzeje
Satan at work...
 
ukute Mmeo nae akiwa Kwenye jiweni anaanza sifa za kihaya kuwa ana Mke!!!

" washikaji yeee! dah mungu alinipa Mke churaa kuleee shape ndo usiseme"

xmass njema.
 
Tubu! Kwa vile ili penzi unalotaka kumpa lina sura ya huyo marehemu ambalo ni penzi haramu mbele ya MUNGU
 
Ukalie mwenyewe
Mficha maradhi kifo humuumbua kwa kweli kama ni mateso nayapata sana mpaka nimefika mahali najiona mtumwa wa mapenzi nampenda sana my hub mpaka kumsaliti naogopa but kila tuwapo faragha Kuna michezo naimis na naogopa kumwambia huu mchezo nilifundishwa na mpenzi wangu aliyenitoa usichana ila bahati mbaya alipata ajali akafariki toka apo naumis sana kwa kweli ..nadhani kwa watu wazima washaelewa ni mchezo gani huu naongelea nashindwa nianzeje mpaka huyu mume wangu anipe na nisikie raha ya mapenzi maana nimekua mtumwa kwa kweli ...natumia njia mbali mbali mbuzi kogoma kwenda,dog style but kiukweli naona haelewi ...naumia sana nifanyeje aelewe? Au nifanyeje niache na nisikie raha kama wenzangu?
 
Tizama nafsi inataka nini na uitimize kabla ibilisi mkubwa zaidi hajakuingia maana hapo tayari kuna ka ibilisi kadogo unaweza kukamudu,Be happy..
 
Kwanza kabisa unatakiwa ujitambue......na hatua kubwa kwenye kujitambua ni kujitoa kwenye utumwa wa matamanio.......

Sio kila kitu ambacho nafsi inakutuma kukifanya basi ni kizuri la hasha......

Pili unatakiwa ujitoe katika ulimwengu wa fikra na uje katika ulimwengu halisi ili utambue....ubaya wa jambo ambalo umeshalifanya na unataka kulifanya......

Ni jambo ambalo linakutoa katika ubinaadamu.....na pia linakutoa katika mikono ya neema za Mungu......ni jambo ambalo kwa macho ni la kawaida....ni jambo nzito sana mbele za Mungu.....,

Mwanadamu hawezi kuishi salama kwa kutimiza matakwa ya nafsi yake bali yale yampendazayo Mungu.....na hilo ni jambo lenye kumchukiza Mungu.......

Kama unaamini kuwa kuna siku ya mwisho na kila mtu atalipwa kutokana na matendo yake....achana na ufirauni huo.......,

Mshinde shetani.....achana na uchafu huo.....tubu yale yaliyopita anza mwanzo mpya........

Madhara yake ni muda mrefu na yanatesa........



NB; MCHUMA JANGA HULA NA WA KWAO.....
Mkuu unahekima Sana yani lolote unaoochangia umu JF lazma libebe ujumbe wenye hekima Sana [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] big up nakukubali Sana mkuu nkutakie heri ya Xmass na Mwakampya 2017 barikiwa mpendwa back to the topic ushauri uliompa ndo wenyeww lkn watu hawaelewagi mpaka yamkute madhara ndo anaelewa somo....
 
Hii ndio dhambi ambayo Mungu anachukua hatua inapozidi usoni pa nchi na Alivyoiharibu Sodoma na gomora miji ile mikubwa kwa ukafiri huu watu mnageuza matumizi ya asili ya mke na mme Mungu hawezi kunyamaza kimya atakuharibu usipotubia uovu huo habari njema ni kwamba ukigeuka na kuacha uchafu huo Mungu ni mwingi wa rehema na msamaha atakusamehe.
 
Kuna wanaume wanapenda Jamani na hawajui!yaani binti hautaki kumsaliti mumeo wengine wangeshagawa nje
 
SIKIA DADA ZIBAA NJIAA MOJA UNAYOONA HAIFAII ARAFUU FUNGUAA NYINGINEE ATAPITAA TUU HUYOO KWANII YEYE NANII ......MTOTO MDOGOO .
 
Kwanza kabisa unatakiwa ujitambue......na hatua kubwa kwenye kujitambua ni kujitoa kwenye utumwa wa matamanio.......

Sio kila kitu ambacho nafsi inakutuma kukifanya basi ni kizuri la hasha......

Pili unatakiwa ujitoe katika ulimwengu wa fikra na uje katika ulimwengu halisi ili utambue....ubaya wa jambo ambalo umeshalifanya na unataka kulifanya......

Ni jambo ambalo linakutoa katika ubinaadamu.....na pia linakutoa katika mikono ya neema za Mungu......ni jambo ambalo kwa macho ni la kawaida....ni jambo nzito sana mbele za Mungu.....,

Mwanadamu hawezi kuishi salama kwa kutimiza matakwa ya nafsi yake bali yale yampendazayo Mungu.....na hilo ni jambo lenye kumchukiza Mungu.......

Kama unaamini kuwa kuna siku ya mwisho na kila mtu atalipwa kutokana na matendo yake....achana na ufirauni huo.......,

Mshinde shetani.....achana na uchafu huo.....tubu yale yaliyopita anza mwanzo mpya........

Madhara yake ni muda mrefu na yanatesa........



NB; MCHUMA JANGA HULA NA WA KWAO.....
barikiwa ndugu yangu kama ni wakusikia basi atakusikia kwa hiki ulichomshauri kwa nini tunashindwa kufikiri kuwa unapotenda dhambi unajitenga na uso wa Mungu kutenda dhambi au kumkosea Mungu siku hizi imekuwa fashion moyo wangu unaumia sana sijui Mungu huko aliko anajisikia vipi kwa kweli Eee Mungu kumbuka rehema kwa hiki kizazi cha nyoka
 
Back
Top Bottom