Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

"Tangu enzi za uchumba"! Maadili ya kabila gani kulala na mchumba wako kabla ya ndoa?
 
"Tangu enzi za uchumba"! Maadili ya kabila gani kulala na mchumba wako kabla ya ndoa?
Mkuu ungekuwa katika dunia ya analog ndio ungeshangaa hiko kitu lakini dunia ya sasa hakuna cha uchumba wala urafiki watu wanamwagiana mbegu za uzazi tu.

Ukifuata maadili ya uchumba inabidi utafute dunia ya peke yako lakini siyo hii dunia ya walimwengu.
 
utakua ni mzembe.. ulikua nae kwa mda gan kabla ya kumuoa?? hadi ukawa hujui kama ana tabia hiyo?? kama unaipenda ifanye tu kama haumo katika mambo hayo bas muache tu akafanywe na wengine baki na misimamo yako. usitetereke
 
Hii ndo moja ya sababu kwanini ni muhimu kuonja pishi kabla ya kulila
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…