Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Ile tu kujutia,
Ile tu kuinesha nia ya kuacha
Ile tu kuomba msaada,
Inaonesha wewe ni mtu bora ila umepita njia mbaya,
La msingi usijikatie tamaa,
Wapo watu humu wanafanya sana hivyo na hawajutii maana wanapenda sana,
La msingi jitambue,usijikatae maana ukijikataa utaishia kubaki hukohuko,
Anza sasa kukataa tokea ndani jambo hilo,
Muambie jamaa yako haupendi na hautaki tena jambo hili,
Hii itaweka ukuta wa yy kutaka,
Lkn itakurudishia heshima yako,
Na itakupa mwanzo mzuri wa kushinda hili,
Kuhusu kusamehewa,
Mungu ni wa huruma sana,
Weka dhani ya nia maana Mungu huangalia nia ya dhati na atakusaidia,
Usiache sala,funga na matendo mema
 
Mkuu salute,
Lkn ingekuwa rahisi sana km wote wangenia kuacha,
Hebu ajaribu kuongea na mwenzake ili waweke nia wote ya kuacha,
Hii itafaa zaidi,akigoma aachane nae,
 
Bwana anahuruma siku zote kwa wote wamwitao kwa kunuia, hakuna dhambi isiyo samehewa labda kumkufuru roho mtakatifu kama upo upande huu, kaa chini mwambie Mungu dhambi hii siitaki nisaidiye niiache pekeyangu sitaweza, fanya ibada huyu me ndiye kakuingiza huko hivyo hakufai mwambie Mungu akupe mtu sahihi usiogope kuachwa watu waachwa na mme tena wa ndoa itakuwa wewe mwingine anatolewa posa na mchumba anasepa hivyo hivyo muuache aende tubia dhambi yako panga siku 3 kaa na Mungu wako akupe jibu lako kaa mwenyewe ikiwezekana zima simu funga siku 3 ukitoka mlimani utaniambia fanya hivyo Mungu atapokea maombi yako, nakutakia kilà raheri katika maombi yako.
 
Kuna watu hapa mnajifanya watakatifu sana mnajua kunyosha vidole sana ila kumbe nyie mnatoa tigo sana tena bila hata majuto.. Acheni kujifanya nyie ni watakatifu.... Haka kamchezo wadada wengi siku hizi mnavipenda sana
Safi sana
Sanaaa,
Nimependa hako kamstari bila hata majuto,
Nimemueleza mdau,ile tu kujutia ni mwanzo wa ushindi na wewe ni mwanamke muadilifu,
Maana wengine wanatoa na hawajutii,
 
Hospitali wakafanye nini,
Acha uongo wewe,
Acha kuokoteza habari za kwenye kahawa unaziaminisha kwa watu,
Hilo jambo lipo ndani yake,ni km kuvuta sigara,ulevi,na hata umalaya wa kawaida,
Ni jambo la maamuzi ya muhusika
 
Daaah hawa ndo wake tuonaokuja kuoa sis. Yan mtu kumharib harib afu kuna mtu mwingne atamuoa afu uyu jamaa ataenda kuharib mwingne tena daahh.
Ndo maana nikisema,aanze kwanza kumwambia jamaa yake aache mchezo huo,yamkini akamponya na yy,
Akawa ameokoa kizazi,akisema aachane nae kimya kimya anakuwa kalisakizia tatizo hilo kwa wengine,
Hebu yy ageuke na awe chanzo cha mabadiliko na mwalimu mzuri,na haya ndo malipizi bora kwa toba ya dhambi hiyo,
Kuokoa na wengine,
Mdau awe strong na amsaidie kumuokoa kwa faida ya wengine
 
Malanyingi wanaume wanao Fanya michezo hii hua na uume mfupi kwaio wanapofanya tendo lahakii wanakua hawalidhiki so anaona akifanya kinyume na maumbilee ndo hulidhika
Mhh
Hii kahawa
 
Ujue Mkuu hata mie nimejikuta nawaza kwa sauti halafu nikakosa jibu.

Nimemuelewa sana pale aliposema toka aanze Chuo amekuwa na tabia ya kujaribu jaribu vitu tofauti na hiyo ndio sababu ya kilichotokea hizo nyingine mie naziona porojo tu.
Na ndio shida ya watoto wa geti kali akifika chuo Uhuru 100% anajaribu yote aliyokuwa hapati nafasi kuyafanya
 
Acha uongo,
Acha habari za vijiweni,
Dakitari ni yy mwenyewe,
Afu unaujua mwili wa mwanadamu wewe,shahawa zinaendelea kubakije ndani,
Inamaana hanyi?,
Acha kujengea watu hofu badala ya kuwaponya,na km haujui sema sijui ama kaa kimya
 
Anakutisha anakuacha na wewe unaogopa kwani umezaliwa naye?! Hio sehemu imewekwa kwa ajili.ya kutoa uchafu wa tumboni, na si vinginevyo, wewe kama kweli angekua anakupenda huyo what so called mpenzi ange regreat alichofanya na angekusaidia au mngesaidiana kuacha hicho kitendo kichafu haraka sana na kwenda kuungama..
Ushauri.tena wa bure: kama hakusaidii kuacha hio laana its better muachane kabisa..achana nae,, then nenda kaungame before its too late (kuathirika.kisaikolojia na kushushwa thamani yako na utu wako na kujipa LAANA, kuharibika kiakili na kiafya ).
Ni hayo tu mdada !
 
Mkuu
Unajuaje km wa kwako hajaliwa tigo kabla haujakutana nae,
Anzia kufikiria hapo ndo utajua umuhimu wa kutokaumu
 
Habari za vilabuni mnaaminisha watu
 
Na ndio shida ya watoto wa geti kali akifika chuo Uhuru 100% anajaribu yote aliyokuwa hapati nafasi kuyafanya
Kweli kabisa Mkuu. Na huu Uhuru ndio huwa inasababisha walio wengi kuharibika.
 
Its all about MIND SET...
Iliingia bahati mbaya, ila ulipenda... Sasa umeichukia?

Kuendelea au kuacha it's all about you and your mind set
Good
Its just all about MIND SET,
Hakuna cha kumuona dakitari wala nini,
 
Tatizo limeshatokea likiri kisha tubu utasamehewa kisha acha kabisa kupitia mlango wa nyuma.
 
Ww mzoefu sana haiwezekan bahat mbaya usisikie maumiv na ukatulia narah ukaiona maan hat bint akitolewa bikra hatosikia frst day ni maumiv 2..WW NDIO MICHEZO YKO HIO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…