Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Malanyingi wanaume wanao Fanya michezo hii hua na uume mfupi kwaio wanapofanya tendo lahakii wanakua hawalidhiki so anaona akifanya kinyume na maumbilee ndo hulidhika
 
Daaah hawa ndo wake tuonaokuja kuoa sis. Yan mtu kumharib harib afu kuna mtu mwingne atamuoa afu uyu jamaa ataenda kuharib mwingne tena daahh.
 
Pole sana binti. Unaweza kufurahia huo mchezo kwa muda mfupi lakini badae utajutia zaidi ya sasa.
Ongea na mwenzio muambie hutaki huo mchezo huku ukionyesha kweli unamaanisha.
Lakini kama aliwahi kumwaga maji mazito ndani nenda hospital ukapatiwe tiba ya kusafishwa ili kukuepusha kuendelea kuhitaji huo mchezo.

NB,
Bila kwenda hospital bado mwili wako utakua unahitaji hicho Kitendo kwa maana utakua unahisi mtekenyo na no way zaidi ya kufanya.
 
Kuna watu hapa mnajifanya watakatifu sana mnajua kunyosha vidole sana ila kumbe nyie mnatoa tigo sana tena bila hata majuto.. Acheni kujifanya nyie ni watakatifu.... Haka kamchezo wadada wengi siku hizi mnavipenda sana
 
Jamani naomba kuuliza maana nimetokea kujilaumu sana kujaribu hiki kitendo. Mimi ni mtu nlielelewa kidini na kimaadili sana ila tangu nimeanza chuo nimejikuta najaribu vitu tofauti ambavyo sikufanyaga nkiwa nyumbni. Kimoja wapo ni hiki ambacho kilitokea nkiwa na mpenz wangu ambae nipo nae hadi sasa tukiwa tunapoozeshana iliingia kunako kibahati mbaya(alikua amelewa) ila aliendelea kunifanya nkajikuta nanogewa na kupenda. Imekua mchezo wa mara kwa mara na mbaya zaidi nkiwa nasali au nkiwa kawaida nakuta na regret nakujilaumu kwanini nafanya ivo na najua fika ni dhambi isio sameheka.
Naombeni ushauri maybe utanifariji au kunibadilisha mana najaribu kuacha siwezi hasa pale mwenza ananitisha kuniacha.
Ulipoingia chuo ukawa unajaribu vitu tofauti pamoja na kugongwa tigo, lengo la kujaribu vitu tofauti ulikuwa unataka kugundua nn? Pia nmegundua hukugongwa tigo bahati mbaya, ilikuwa ni katika majaribio yako, baada ya majaribio yako ukagundua kugongwa tigo ni raha ukaendelea. Nakushauri kawaone wataalam wa afya wanafahamu cha kufanya, na watakusaidia sana,pia achana na huyo bwana wako, maana ukiendelea nae hutaacha ufirauni.
Tukirudi kwenye ulimwengu wa Roho, Hakuna dhambi isiyosamehewa isipokuwa kumkufuru Roho Mtakatifu( kwa wakristo)
Nakutakia mafanikio katika hatua yako ya kutaka kubadilika.
 
Jamani naomba kuuliza maana nimetokea kujilaumu sana kujaribu hiki kitendo. Mimi ni mtu nlielelewa kidini na kimaadili sana ila tangu nimeanza chuo nimejikuta najaribu vitu tofauti ambavyo sikufanyaga nkiwa nyumbni. Kimoja wapo ni hiki ambacho kilitokea nkiwa na mpenz wangu ambae nipo nae hadi sasa tukiwa tunapoozeshana iliingia kunako kibahati mbaya(alikua amelewa) ila aliendelea kunifanya nkajikuta nanogewa na kupenda. Imekua mchezo wa mara kwa mara na mbaya zaidi nkiwa nasali au nkiwa kawaida nakuta na regret nakujilaumu kwanini nafanya ivo na najua fika ni dhambi isio sameheka.
Naombeni ushauri maybe utanifariji au kunibadilisha mana najaribu kuacha siwezi hasa pale mwenza ananitisha kuniacha.
Vumilia mpaka utakapo pata mimba kupitia njia hiyo hiyo,baada ya kuzaa kupitia njia hyo hyo ndipo uacha.
 
DAWA YA KUACHA NI KUACHA! NA DAWA HII IMO KICHWANI MWAKO, AMUA NA UACHE. hakuna la zaidi
 
Mmmm iliingia tu bahati mbaya? Shemeji atakuwa na kibamia nini? Mana kama ndio Mara ya kwanza iliingia tu bahatimbaya na ukafurahia inamanisha rinda zilikuwa wazi tiari kwa mchezo husika.... Ila Pole Sana... Hakuna dhambi isiyo samehewa... Pia kama kijana lazima kunamambo kama hayo unapitia... Ila Kama roho inakusuta basi yakupasa uachane na huumchezo na kama jamaa anatishia kukuacha kisa humpi [emoji108]jua hakupendi na hanamalengo nawewe bali anakutumia kwa starehe zake.... Pole Sana ndugu yangu.
Dhambi zote unaweza kusamehewa isipokua dhambi ya kumkufuru roho mtakatifu
 
Yaani first time ikapenya tu bila resistance yoyote? Haya bwana, naona umeamua kusema ya moyoni kwa kutudanganya.
Nilivyo muelewa ni mchezo ambao alisha ujaribu chuo kwa maana rinda alikua tayari hana ndomana ilipenya tu na kuanza kuinjoy ha ha haaa
 
Ulifurahia kitendo kabisa na ilikuwaje ikawa rahisi kiasi iko au lastik ilikuwa ishalegea kwa matamanio
Kwenueuzi wakekasema alishajaribu chuo huyu rinda hana yani ile bahati mbaya ndo kama faida kwake ndomana kainjoy ilipokosewa
 
Kuna dawa ya kutawazia. Ni ya kuchimba na kuchemsha kama tatizo limekua serious sana, nafkir hyo dawa inapatkana kwenye mazingira yote nchini tanzania.
 
Jamani naomba kuuliza maana nimetokea kujilaumu sana kujaribu hiki kitendo. Mimi ni mtu nlielelewa kidini na kimaadili sana ila tangu nimeanza chuo nimejikuta najaribu vitu tofauti ambavyo sikufanyaga nkiwa nyumbni. Kimoja wapo ni hiki ambacho kilitokea nkiwa na mpenz wangu ambae nipo nae hadi sasa tukiwa tunapoozeshana iliingia kunako kibahati mbaya(alikua amelewa) ila aliendelea kunifanya nkajikuta nanogewa na kupenda. Imekua mchezo wa mara kwa mara na mbaya zaidi nkiwa nasali au nkiwa kawaida nakuta na regret nakujilaumu kwanini nafanya ivo na najua fika ni dhambi isio sameheka.
Naombeni ushauri maybe utanifariji au kunibadilisha mana najaribu kuacha siwezi hasa pale mwenza ananitisha kuniacha.
Dhambi moja tu ya kukashifu roho mtakatifu ndio haisameheki, lkn dhambi zote ukijutia na kuomba msamaha kwa dhati Mungu anakusamehe. Tubu na uombe msamaha na usirudie tena
 
Waweza achana nae na kutafuta mwingine ambae hapend atakuzoesha na kukusaulisha
Nimependa ulichomjibu,
Lkn la kuingezea anapaswa kuanzia ndani yake,kukataa
Unajua mwili wa binadamu huzoea unachoupa,
Ukiukataza jambo na ukasimamia hapo huwa unaacha,
Ndo maana kabla ya mfungo mtu ukikaa mpaka SAA NNE asbh haujala unaweza umia sana lkn wakati wa mfungo mwili hukubali kukaa hadi SAA moja Usk,
 
Ukweli mchungu ni kuwa ameshakuharibu na hatokuoa.

Na usifikiri alifanya kwa bahati mbaya kwa sababu alikuwa amelewa,hiyo ndiyo tabia yake,alitumia udhaifu wa pombe kama kianzio cha kukufanyia huo uchafu.

Wa kubadilika sasa ni wewe. Sisi hata tuseme vipi kama hujataka kubadilika hutobadilika.

Nakushauri kwanza achana na huyo mtu kisha weka niya ya kucha huo mchezo. Tafuta wanasaikolojia watakusaidia but uwe tayari umeshaacha kufanya hicho kitendo.

Kuendelea kiwa na huyo anayekufanyia huo mchezo inamaanisha kuwa bado unaupenda.

Pole sana
Good
Wala hakuna haja ya wanasaikolojia
Ni yy tu kuacha muda ukienda atasahau tu
 
Brigit86 kwanza pole sana, ujue kila mmoja wetu hujaribiwa kwa namna moja ama nyingine. Jambo la kwanza, usijaribu kabisa kitu chochote ambacho siku zote unaamini sio sahihi au dhambi.

Dhambi ni tamu kwa kitambo, huyo jamaa yako kama ni wa kukuacha, atakuacha tu hata kama mtakua mnatembea wote ametumbukiza huko ndani, wanaume tuache tu hivi hivi tulivyo.

Elewa na tambua thamani yako, usitetee kwamba ilikua bahati mbaya, najua mlidhamiria na kufanya hicho kitendokwa makusudi, lakini hilo sio muhimu sana kwa sasa.

Huyu jamaa sio muoaji, mwanaume anaejielewa hawezi kabisa kumfanyia hicho kitendo mke wake au mtu anaemthamini, achilia mbali yeye mwenyewe kufanya kwa mtu yeyote. Kama hawezi kudhibiti kuacha hilojambo, hawezi kuwa na nidhamu kukataa au kufanya maamuzi ya muhimu kwemye maisha yenu.

Suluhu unayo wewe mwenyewe, dhamiria na amua kuachana na hiyo tabia kwa kuitazama jinsi Mungu anavyoichukia hiyo dhambi. Ukiamka asubuhi, tafakari jinsi gani hicho kitendo kinamchukiza Mungu, Mchana hali kadhalika fanya hivyo, jioni na usiku endelea kutafakari athari na madhara ya hilo jambo. Jaribu kuwaza rafiki zako, ndugu zako na jamaa zakowakijua unafanya huo mchezo watakuchukuliaje?

Umeanza vizuri kwa kutambua kwamba unachofanya ni kosa, malizia sehem ya pili japo ni ngumu kidogo ya kuiacha hii tabia.

Mungu akubariki na ufanikiwe kuachana na hii tabia ya machukizo.
 
Back
Top Bottom