Unataka kusema shahawa za mwaka Jana mpaka sasa zipo humo?Mkuu,jitahd ukasafishwe baada ya hapo achana na hyo michezo...,usiache kabla hujaenda kusafishwa!
huwa zinawasha kule[emoji23]! Dawa na kuzima ule muwashoUnataka kusema shahawa za mwaka Jana mpaka sasa zipo humo?
Zinaishije,
Hebu acheni umbumbumbu,
Ishu ni yy kusema hapana,
Full stop,
Na amuambie huyo mwenzake HAPANA,
Km hataki ampige chini fasta,
Zinajificha wapi acheni kumyisha,Nimequoter uzi wote ili uone comment yangu:
Si rahisi kuacha kwa sababu sperm zinavyoingia mkundun# huwa zinaenda kujificha mahali hivyo hukaa huko mpaka zinavyooza na kuanza kuwasha kwa sababu mkund hausafishiki kama kwenye kum@, na kila ukiwashwa hapo ndipo unapojisikia hamu ya kufanya tena, na ndio mana c rahisi kuacha endapo tu jamaa amemwagia ndani, (anafanya hivyo kukomoa)
Kiroho ili upone
Funga siku tatu ( siyo kavu) kwa ajili ya kuomba tobaa, tubu kweli kweli na moyo wako ukidhamiria kuwa unaacha, ikiwezekana mshirikishe rafiki ako wa kiroho akusaidie kufunga ( mfunge wote) pia funga tena siku tatu kwa ajili ya kumshukuru Mungu
Kila mtu ipo dhambi alishatenda,Chuo= kupenda kujaribu,pole sana. Umewatukanisha wazazi wako waliokulea kwa misingi ya imani. Kama unajutia muache huyo mpenzi na uache huo ushetani.
Nilimfanyia dada mmoja huu mchezo na ndyo ilkuwa mara yangu ya kwanza. Nilpokarbia kukojoa akanilazimisha nikojolee humo humo. Mpaka leo huwa najiuliza why?Inasikitisha vijana wengi wameona bira kuingiliwa/kuingia topeni wewe sio mjanja.. Kanda za ngono zinatualibu sana vijana wa sasa.. Anyway dada yangu sitaki kukulaumu moja kwa moja maana vijana wengi tumejikuta tumelowea umo either kwa kurubuniwa na wapenzi au kutaka kujua chungu au tamu yake ini hipi. Ikiwa unauchukia kwa dhati uo mchezo ni vema ukamwone daktali (usione haya) kama jama aliwai kumwagia shahawa zake umo kunanamna ya kuzitoa.. Kumbuka kuendelea kuwepo kwa shahawa uko nyumanji ni kuendelea kufanya mchezo uo.
Kama ameliwa huyo aliyemla atakuwa anamuona useless piaMkuu
Unajuaje km wa kwako hajaliwa tigo kabla haujakutana nae,
Anzia kufikiria hapo ndo utajua umuhimu wa kutokaumu
Kapigwe bomba tu hakuna namna. Katolewe mauchafu hayo yanayokuwasha huko ikwetaJamani naomba kuuliza maana nimetokea kujilaumu sana kujaribu hiki kitendo. Mimi ni mtu nlielelewa kidini na kimaadili sana ila tangu nimeanza chuo nimejikuta najaribu vitu tofauti ambavyo sikufanyaga nkiwa nyumbani.
Kimoja wapo ni hiki ambacho kilitokea nkiwa na mpenz wangu ambae nipo nae hadi sasa tukiwa tunapoozeshana iliingia kunako kibahati mbaya(alikua amelewa) ila aliendelea kunifanya nkajikuta nanogewa na kupenda.
Imekua mchezo wa mara kwa mara na mbaya zaidi nkiwa nasali au nkiwa kawaida nakuta na regret nakujilaumu kwanini nafanya ivo na najua fika ni dhambi isio sameheka.
Naombeni ushauri maybe utanifariji au kunibadilisha mana najaribu kuacha siwezi hasa pale mwenza ananitisha kuniacha.
Jamani naomba kuuliza maana nimetokea kujilaumu sana kujaribu hiki kitendo. Mimi ni mtu nlielelewa kidini na kimaadili sana ila tangu nimeanza chuo nimejikuta najaribu vitu tofauti ambavyo sikufanyaga nkiwa nyumbni. Kimoja wapo ni hiki ambacho kilitokea nkiwa na mpenz wangu ambae nipo nae hadi sasa tukiwa tunapoozeshana iliingia kunako kibahati mbaya(alikua amelewa) ila aliendelea kunifanya nkajikuta nanogewa na kupenda. Imekua mchezo wa mara kwa mara na mbaya zaidi nkiwa nasali au nkiwa kawaida nakuta na regret nakujilaumu kwanini nafanya ivo na najua fika ni dhambi isio sameheka.
Naombeni ushauri maybe utanifariji au kunibadilisha mana najaribu kuacha siwezi hasa pale mwenza ananitisha kuniacha.
Sawa mganga wa muhimbiliZinajificha wapi acheni kumyisha,
Zinaozaje bana?
Acheni umbumbumbu,
Hakuna cha kuoza wala kujificha,
Kuwasha mnakosema huwa ni hisia ya kimazoea,hata wewe jenga mazoea ya kujikuna sehemu,Fanya hivyo kwa muda mrefu uone km haitakuwa tabia,
Mazoea hujenga tabia,
Tabia hujenga hamu,
Hamu huzaa uhitaji,
Uhitaji ukizidi huzaa usugu,
Usugu ukizidi.......akili hugota hapo na kuanza kuamini uongo,
Suruhu ipo ndani yake,
Moja ya mambo magumu kuacha ni pamoja na punyeto,lkn watu huacha
Acheni kuleta elimu za waganga wa jadi,
Hahahhahahha[emoji28] [emoji28] [emoji28]Wanachelewaga basi my dear na unaweza kuta saa nyingine ndio sababu za kujing'atang'ata sababu uhalisia hakuna.
Yaani hajui aandike nini na nini aache. Na hata pa kupunguza chumvi pia hajapaona. Teh.
dhambi zote zinasameheka Biblia neno la Mungu inasema ila dhambi mmoja tu nayo ni ya kumkufuru Roho Mtakatifu Mungu ni wa rehema sana tena sana na ni wahuruma tena amejaa pendo kuu sana babo anayo nafasi sanaKitabu kitakatifu kinasema haisameheki unaiona jehanamu straight.
ukitubu kwa nia ya dhati kabisa nia hiyo ni hii ya kuacha kufanya hicho kitendo nakujutia kabisa Mungu ni wa rehema atakusamehe atakusafisha 1yohana 1:9 soma hilo neno litakutia nguvuJamani sijauliza ili mnitete au kuniuliza yasio jenga nimefata ushauri na ntayafanyia kazi nataka kuacha kweli. Mi sijui iliingiaje au alitumia nini kufanya iingie na ninogewe papo hapo na sababu nliopewa ni iyo kua alipitiwa kisa pombe. Ila tangu siku iyo siwez kuji control kila nifanyapo nasubir anifanye ila nkiwa kawaida au katika hali yakutulia nafsi inanisuta. Mnaofanya utani asanteni mbarikiwe mnaoni consider nashukuru kwa ushauri wenu. Swali langu la mwisho je nikitubu hii dhambi kweli itafutwa?