Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Jamani naomba kuuliza maana nimetokea kujilaumu sana kujaribu hiki kitendo. Mimi ni mtu nlielelewa kidini na kimaadili sana ila tangu nimeanza chuo nimejikuta najaribu vitu tofauti ambavyo sikufanyaga nkiwa nyumbani.

Kimoja wapo ni hiki ambacho kilitokea nkiwa na mpenz wangu ambae nipo nae hadi sasa tukiwa tunapoozeshana iliingia kunako kibahati mbaya(alikua amelewa) ila aliendelea kunifanya nkajikuta nanogewa na kupenda.

Imekua mchezo wa mara kwa mara na mbaya zaidi nkiwa nasali au nkiwa kawaida nakuta na regret nakujilaumu kwanini nafanya ivo na najua fika ni dhambi isio sameheka.

Naombeni ushauri maybe utanifariji au kunibadilisha mana najaribu kuacha siwezi hasa pale mwenza ananitisha kuniacha.
kama tamu endelea tu.....siku ukichoka ndio utubu sa hvi utajiongopea sababu ushakua addicted na umri wako bado unaonekana unapenda kufanya dhambi.
 
FUATA MAANDIKO
IMG_1520844192.348198.jpg
IMG_1520844203.267777.jpg
IMG_1520844225.879698.jpg
IMG_1520844237.284851.jpg
KUWA MAKINI
 

Attachments

  • IMG_1520844137.302196.jpg
    IMG_1520844137.302196.jpg
    38 KB · Views: 49
Jamani naomba kuuliza maana nimetokea kujilaumu sana kujaribu hiki kitendo. Mimi ni mtu nilielelewa kidini na kimaadili sana ila tangu nimeanza chuo nimejikuta najaribu vitu tofauti ambavyo sikufanyaga nikiwa nyumbani.

Kimoja wapo ni hiki ambacho kilitokea nikiwa na mpenzi wangu ambae nipo nae hadi sasa tukiwa tunapoozeshana iliingia kunako kibahati mbaya(alikua amelewa) ila aliendelea kunifanya nikajikuta nanogewa na kupenda.

Imekua mchezo wa mara kwa mara na mbaya zaidi nikiwa nasali au nikiwa kawaida nakuta na regret na kujilaumu kwanini nafanya ivo na najua fika ni dhambi isiyosameheka.

Naombeni ushauri maybe utanifariji au kunibadilisha maana najaribu kuacha siwezi hasa pale mwenza ananitisha kuniacha.

IMG_1520844467.161390.jpg
 
Kaa fikiria ya kwamba unachoifanya sasa ipo siku kizazi chako kitrithi huo uzinzi wako. Naamini utaacha mara moja
 
Pole sana! that is addiction!
kama dhamiri inakusuta huna budi kuacha. Huyo tayari ni mzizi wa dhambi hivyo muache. Tatizo litakuja kama nawe umeishapenda mchezo huo, ukamuacha na kumpata mwingine na ukamfundisha mchezo huo sasa utakuwa unaeneza mchezo mchafu hivyo ni bora ukae na huyo ambae mmeishaelewana.
pili unaweza kumuacha akakutangazia mtaa mzima itakuwa shida juu ya taabu.
 
Mi sina ushauri kivile,
Ila tu nikuombe siku Jamaa akisafiri akawa mbali na wewe Usisite kunitafuta ili tuyajenge.
 
Ngomola na sodoma..!!acha iyo kitu,mbaya kiafya,kiimani ata kiakili.
,na kijamii aikubariki.utu uku wp?kwa nn umeanua kujidhalilisha?akuna mnyama yeyeto alio wai kufanya kitu kama ww?jiulize wewe n mnyama nani atumia akili kuishi?TUMU KWA MOLA WAKO NA UWACHE KUISHI KIMUEMKOO.
 
Hapo umetudanganya tayari haiwez kuingia kwa bahati mbaya kule..sema mlitaka kujaribu mjue utamu wake upoje.........!

Kwa jinsi ilivyo wewe mwanamke una haki ya kubeba mzigo wote wa lawama..wakati wanawake wenzio wanapambana kumtetea mtoto wa kike wewe umeingia kuwa angusha wanawake wenzako...WAOMBE RADHI WANA WAKE WENZAKO KWA KITENDO ULICHO KIFANYA..

Kiushauri tu Weka dhamira ya kuacha hali ikitokea ya kutaka kufanya pambana nayo ukiona unashindwa nenda hospitali watajua jinsi ya kukusaidia
 
Jamani naomba kuuliza maana nimetokea kujilaumu sana kujaribu hiki kitendo. Mimi ni mtu nilielelewa kidini na kimaadili sana ila tangu nimeanza chuo nimejikuta najaribu vitu tofauti ambavyo sikufanyaga nikiwa nyumbani.

Kimoja wapo ni hiki ambacho kilitokea nikiwa na mpenzi wangu ambae nipo nae hadi sasa tukiwa tunapoozeshana iliingia kunako kibahati mbaya(alikua amelewa) ila aliendelea kunifanya nikajikuta nanogewa na kupenda.

Imekua mchezo wa mara kwa mara na mbaya zaidi nikiwa nasali au nikiwa kawaida nakuta na regret na kujilaumu kwanini nafanya ivo na najua fika ni dhambi isiyosameheka.

Naombeni ushauri maybe utanifariji au kunibadilisha maana najaribu kuacha siwezi hasa pale mwenza ananitisha kuniacha.
kuna watu washaona 'kufinara' watajifanya wanaenda pm kushauri,kuna watu wanatafutwa sio muda watatiwa mkononi..wale jamaa wamekuja na kila mbinu.
 
Acha aendelee kukuharibu , rinda likishakuwa mwagalaaa, anakupiga chini anaolewa mwingine asiefanya uchafu huo.
 
Back
Top Bottom