Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Is it safe?

Anal sex, if practised with care, is possible for most couples.
It does, however, carry health risks and there are safer sexual practices that couples can enjoy.
The main health risks, which affect both heterosexual and homosexual couples, are described below.

  • Human immunodeficiency virus (HIV): there is no doubt that anal intercourse carries a greater risk of transmission of HIV – the virus that can cause acquired immunodeficiency syndrome (AIDS) – than other sexual activities, particularly for the receptive partner.
  • Human papilloma virus and warts: this virus can be transmitted during anal intercourse and that may lead to anal warts.
  • HPV and anal cancer: unfortunately, certain strains of HPV virus do have carcinogenic (cancer-provoking) potential. There are some types of HPV that cause cancer of the cervix in women and probably also cancer of the throat. Round about the beginning of the present century, research showed that HPV could be isolated from the tissues of many anal cancers. By 2008, it became clear that people who had been anally penetrated by multiple partners were unusually likely to get carcinoma of the anus. A Danish study has recently suggested that gay men may have a 17-fold increase in risk of anal cancer – but close inspection of this paper reveals that the number of people involved was very small. So the case is not quite proven yet, but there are enough data to suggest that if you are going in for anal intercourse, it's safest to do it with only one regular partner.
  • Hepatitis A (infectious hepatitis): this is a viral infection that can cause jaundice and abdominal pain. Hepatitis A is not usually a life-threatening illness, although sufferers can feel quite ill. It can be transmitted by oral-anal contact.
  • Hepatitis C: is a cause of progressive and sometimes fatal chronic liver disease. Hepatitis C may be transmitted by anal intercourse, although this seems to be a rare occurrence. Sharing of equipment for intravenous drug use is a far more important risk for transmission.
  • Escherichia coli (E. coli): may sometimes cause mild to severe, or even (very rarely) fatal, gastroenteritis. It is one of many viruses and bacteria that can be transmitted by oral-anal contact. Some E. coli strains (uropathic E. coli) can also cause urinary tract infections (UTIs), ranging from cystitis to pyelonephritis – a serious kidney infection. E. coli very readily crosses the short distance between the female anus and the female urinary opening, so causing a urinary infection. Anal intercourse can facilitate this transfer, particularly if it is immediately followed by vaginal intercourse.
Protection

Avoiding anal sex altogether is of course the best way of avoiding these risks.
There are other, safer sexual practices that can be exciting and rewarding, but many couples may still wish to try the anal route.
The use of condoms and water-based lubricants, such as K-Y Jelly, will offer some protection.
Other lubricants may cause condoms to split, as will over-energetic thrusting without adequate lubrication.
Specially toughened condoms designed for anal intercourse may offer more protection.
How to have anal intercourse safely

Anal intercourse involves the penetration of the anus and rectum with the erect penis for the purpose of sexual stimulation.
It is possible for both men and women to 'receive' it, although care is needed for it to be safe and comfortable.
Ensure the anal area is clean and the bowel is empty. This is important both aesthetically and practically. If the bowel is empty, there is no risk of the receptive partner passing faeces.
First try gently inserting a lubricated finger, perhaps covered by a condom or glove into the anus. This will enable the receiving partner to find out whether penetration is comfortable and enjoyable. Having managed to accommodate one finger, you can run it around the anal canal – gently stretching it. This must be done delicately so as not to cause pain or injury.
If this is successfully achieved, the couple may agree to try with a well-lubricated penis or with a butt plug (a broad-based anal dilator), dildo or vibrator (see below about the risks of sex aids and anal sex).
Gentleness, care, adequate lubrication and anal relaxation are required, not the insertive partner pushing harder! If condoms are used for penile penetration, which is advisable to reduce the risk of sexually transmitted disease, it is important to use a water-based lubricant. The insertive partner must be gentle with any thrusting, so as to give the receptive partner time to allow the sphincter to relax. With time and practice, this may become easier.
Drugs and anal sex


  • Muscle relaxant drugs (amyl nitrate, butyl nitrate, glyceryl trinitrate) have been tried to make anal intercourse easier or more comfortable. We do not recommend this. Amyl nitrate 'poppers' sold in small bottles for inhalation, are popular in the gay community and have a reputation both for enhancing the intensity of orgasm and helping relax the anal sphincter. There's no real evidence to support these assertions and its use isnot recommended by medical authorities. It is important to remember that amyl nitrate is a potent drug with many side-effects, including facial flushing, headaches, dizziness and low blood pressure, which may lead to faintness and loss of consciousness. Amyl nitrate, when taken with Viagra (sildenafil), may cause a catastrophic drop in blood pressure with potentially fatal consequences. Other nitrates may have the same effect. All erection-inducing drugs, including Viagra (sildenafil), Cialis (tadalafil)and Levitra tablets (vardenafil), can be very dangerous if you are using nitrates.
  • Local anaesthetics, such as lignocaine (lidocaine) cream or even locally applied cocaine, have been used to reduce anal pain during intercourse. Again, we strongly advise against this. By numbing the anal skin there is a real risk of causing serious injury to the anal sphincter through over-vigorous thrusting. By following the steps above it is possible to gently dilate the sphincter for comfortable intercourse. The purpose of pain is to make us aware that we are causing injury and, therefore, local anaesthetics should be avoided. Another problem with local anaesthetics is that they may make the penis of the insertive partner numb. This may lead to problems with erection, orgasm and ejaculation.
Fisting

This means putting the whole hand into the rectum.
With adequate relaxation it's physically possible, and it may be acceptable and enjoyable for some couples. But the diameter of the hand is so much greater than that of the penis that there's an increased risk of anal injury. For that reason, we do not recommend this practice.
In reality, anal fisting is very rarely used by heterosexual couples.
Rimming

Rimming involves oral contact with the anus for sexual stimulation. This involves a high risk of transmission of infection. So we cannot recommend this practice.
Sex aids and anal sex – a cautionary note

Some couples like to use sex aids for insertion into the anus. Certain individuals may use them for solitary sexual stimulation.
The same principles apply as for genital insertion in that relaxation is essential. Sex aids must be kept clean and washed carefully between use. Condoms may be placed over sex aids as an additional precaution.
One additional risk from the use of sex aids in anal sex is that of losing the aid into the rectum.


Read more:
http://www.netdoctor.co.uk/sexandrelationships/analsex.htm#ixzz2EriOyksK
Follow us:
@NetDoctor on Twitter | NetDoctorUK on Facebook

majority ya madhara hapo yapo hata kwenye sex ya kawaida

Ni taboo na imani ndivyo vinavyotakiwa kuwa misingi, mengine yote ni madhara kama madhara mengine ya ngono, kuna akina mama kutengua cervix, kuchanika uke au hata kupata cystitis sababu ya kutiana kawaida

we need to observe zaidi prevention ya magonjwa, hygiene na kuumizana katika mahusiano ya kingono ya namna yoyote ile
 
Sio fresh kufumua malinda ya TiGo ! Malinda yana heshima yake! Mzizi Mkavu yeye kajivua,hata Mungu hana lawama! Uamuzi ni wako!
 
Riwa naona umengangania tu watu wasitishwe, umezikataa athari zote alizoelezea Mzizimkavu zinazotokana na kuliwa/kula tigo.

Naomba utuelezee wewe athari/ madhara yanayotokana na kula/kuliwa tigo ni yapi???

kwa hatari ya kiafya lazima isemwe na madokta ndiyo iwe kweli ? what if dr wana interest zao na hicho kitu chenye athari,unafikiri wataweka wazi athari zake,zinaweza kusababisha watu wakaacha,wakaacha kuugua pia, then elimu yao ikawa ni bure tuuu. Ukienda hosp.huambiwi na daktari kwamba labda kunywa maji kwa wingi au fanya hiki au kile ili kuondokana na tatizo kabisa zaidi watakupa dawa za kuondoa dalili ili uendelee na tatizo urejee tena ili na wao maisha yaendelee au vipi ? sisemi madaktari ni wabaya lah,nasema usitegemee ukweli wote kuhusu afya utoke kwa madaktari ndiyo uwe sahihi NAO NI BINADAM WANA INTEREST ZAO MKUU WANGU
 
Ndugu zangu, ni imani yetu kuwa jamii yetu inahitaji kuelimishwa sana ili tuweze kuikomboa mikononi mwa hii dhambi ambayo ndo dhambi kubwa kuliko zote......

Tusipende kuiga kila kitu toka kwa WEUPE.Kabla hujafanya maamuzi yoyote Ni bora ukumbuke mambo yafuatayo:-

1. TIGO Sio tendo asilia katika swala zima la ngono na mapenzi hivyo kumbuka unapoamua kugawa 0713 kuwa na uhakika ndio kitu unataka kukifanya na sio kukifanya kwa vile “mchumba” kaomba/anataka…..

Wewe ndio mwenye maamuzi makuu ya nini unataka kifanyike mwilini mwako. ........

2.Mpaka sasa sidhani kama kuna kondom imara yenye uwezo wa kustahimili joto la huko "nyuma" .....

Kondom za kawaida husababisha muwasho utakaoweza kukusababishia maambukizo mengine yatokanayo na wadudu asilia walioko sehemu hiyo ya haja kubwa......

3.Mara mishipa ya makalioni ikitanuka kutokana na kufanywa huko mara kwa mara huwa haijirudi kama ilivyo kwenye uke kwa vile haikuumbwa kwa ajili ya shughuli hiyo.

EPUKA KUJIZIBA MATAMBARA....UTU WAKO NI BORA KULIKO HIYO STAREHE YA DAKIKA CHACHE
 

Attachments

  • Tigo.png
    Tigo.png
    109.6 KB · Views: 300
Asante sana Power G. Umekuwa wazi na kila mtu ajue ukweli wa kuliwa tigo madhara yake ni kama ulivyosema na zaidi ya hapo. Usitake kujiabisha katika jamii hasa ya Kiafrika!! Utakapokuwa mzee ndipo utajua aibu ya tigo ni vipi maana ujanani unaringa!! Ukiwa mzee kila mshipa wako kwa nature unakuwa loose, hasa ya muscles!! Sasa kama uliliwa tigo ile ya kule kwa njia ya kinyesi jua utakuwa unahudumiwa na wajukuu zako halafu for sure watajua ulikuwa unaliwa tigo!! Aibu gani hii? Hebu ishi maisha maadilifu ili hata wajukuu na vitukuu vyako vipate kuhuzunika siku ukifariki!! Usiache gumzo baya la maisha yako duniani. Kina dada/mama mwanaume akikutaka tigo mwache anakufanahisha na malaya. Na wewe kijana/baba ukitaka kuukana uumbaji wa mungu kwa kujijeuza bwabwa a.k.a boflo/bahasha ni aibu kwako. Tunza na jali heshima yako.
 
Mnatutisha jamani, tangu kampeni zenu zianze nimekuwa mvivu wa kuzunguuka
 
Ndugu zangu, ni imani yetu kuwa jamii yetu inahitaji kuelimishwa sana ili tuweze kuikomboa mikononi mwa hii dhambi ambayo ndo dhambi kubwa kuliko zote......

Tusipende kuiga kila kitu toka kwa WEUPE.Kabla hujafanya maamuzi yoyote Ni bora ukumbuke mambo yafuatayo:-

1. TIGO Sio tendo asilia katika swala zima la ngono na mapenzi hivyo kumbuka unapoamua kugawa 0713 kuwa na uhakika ndio kitu unataka kukifanya na sio kukifanya kwa vile “mchumba” kaomba/anataka…..

Wewe ndio mwenye maamuzi makuu ya nini unataka kifanyike mwilini mwako. ........

2.Mpaka sasa sidhani kama kuna kondom imara yenye uwezo wa kustahimili joto la huko "nyuma" .....

Kondom za kawaida husababisha muwasho utakaoweza kukusababishia maambukizo mengine yatokanayo na wadudu asilia walioko sehemu hiyo ya haja kubwa......

3.Mara mishipa ya makalioni ikitanuka kutokana na kufanywa huko mara kwa mara huwa haijirudi kama ilivyo kwenye uke kwa vile haikuumbwa kwa ajili ya shughuli hiyo.

EPUKA KUJIZIBA MATAMBARA....UTU WAKO NI BORA KULIKO HIYO STAREHE YA DAKIKA CHACHE
Asante sana Power G kwa kuielimisha jamii,labda baadhi watajaribu kuelewa.Na tena kwa kuongezea mtu yeyote asiwaze kujaribu hata mara moja, kwani unapoingiliwa mara moja na shahawa zikabakia mahala hapo kuna seli zinazotengenezwa zinazomfanya mtendwaji kutamani tena tendo hilo kwa sana na hivyo mtendwaji kujikuta keshakuwa mtumwa wa hiyo dhambi,hivyo jamani chondechonde.
 
Last edited by a moderator:
Mnatutisha jamani, tangu kampeni zenu zianze nimekuwa mvivu wa kuzunguuka

Ha ha ha mkuu Pharaoh!! Umanifanya nicheke sana leo. Bora uwe mvivu wa kuzunguka uwani aisee!! Kwanza jua kule kitu kondomu ya kawaida inapasuka kwa sababu ya joto jingi hasa kama utakaa huko muda mrefu. Madhara yake unanyonya uchafu unaingia kwa mfereji wa penis!! You know what!! Kansa ya kibofu unatengeneza!!! Si unajua siku hizi hii kansa inashika kasi sana!! Moja ya mchango pamoja na ukosefu wa madini ya zinc jua ni kule uwani!!
 
Asante kwa kutoa elimu. Mungu akupe baraka. Waliniharibia binti mzuri, waifu material. Hawa watu hawa waharibifu sana. Pia wajue kwamba hakuna kondo yenye strength ya kuhimili sphincter za tigo kiasi cha kubaki kwenye penis. At the end unajikuta umeenda peku na walls za kule kuchubuka ni mara kumi easier kulilo za k.
 
Ukiachilia madhara ya kiafya, hili ni chukizo sana mbele za Mungu, kuna mdau moja kachangia hapo juu ya mtu kuendelea kupata hamu/ kuwa mtumwa wa hilo jambo, inshort ni kwamba panakua na fangasi. Sasa zinapoanza kuwasha unategemea nini kinatokea, huenda hii ndio inasababisha baadhi ya wanaume wawe tayari kutoa hela ili kupata mtu wa kumwingilia kukabiliana na muwasho wa fangasi.

Tuendelee kupinga hivi vitendo katika jamii yetu.
 
Ukiachilia madhara ya kiafya, hili ni chukizo sana mbele za Mungu, kuna mdau moja kachangia hapo juu ya mtu kuendelea kupata hamu/ kuwa mtumwa wa hilo jambo, inshort ni kwamba panakua na fangasi. Sasa zinapoanza kuwasha unategemea nini kinatokea, huenda hii ndio inasababisha baadhi ya wanaume wawe tayari kutoa hela ili kupata mtu wa kumwingilia kukabiliana na muwasho wa fangasi.

Tuendelee kupinga hivi vitendo katika jamii yetu.
Hii tabia inakuwa kwa kasi sana miongoni mwa vijana wetu wa kike na kiume wa kizazi hiki. Swali hapa ni nini hasa kifanyike kuikomesha tabia hii?
 
Kutokana na mkanganyika katika jamii zetu kuhusu tahadhari au madhara ya ngono kinyume na maumbile, ambayo mtaani inajulikana kama “mgongo” au “tigo.”

Ni kweli kuna madhara yanayoambatana na ngono ya aina hii. Lakini haya yaliyoorodheshwa yana ukweli wowote?

mapenzi.jpg


Tuyapitie moja badala ya nyingine:

1. Mwanamke anayefanyiwa mchezo huu hupata matatizo makubwa wakati wa kujifungua ikiwa ni pamoja na kutokwa na haja kubwa mfululizo wakati akijaribu kumsukuma mtoto.
Tukio hili humsababishia aibu kubwa mwanamke, kiasi cha kumshushia hadhi yake mbele ya jamii.

KWELI AU SI KWELI?
Si kweli. Hakuna wataalamu wowote duniani (medical professionals) waliofanya utafiti kuhusu tigo ambao wamesema hili. Na kwa wale walioulizwa, wamekanusha.

2. Pia anaweza kumuua mtoto kwa vile kila akimsukuma atoke, pumzi hukata kutokana na misuli inayofahamika kwa jina la ‘sphincter’ kulegea na kusababisha ambane mtoto.

KWELI AU SI KWELI?
Kama la mwanzo, hili pia si kweli. Limetungwa mitaani tu.

3. Umri unaposonga, haja kubwa hutoka bila kizuizi kutokana na misuli ya sphincter inayobana njia ya haja kubwa kulegea.

KWELI AU SI KWELI?
Kwa mujibu wa wataalam, hii inatokea kwa wale tu wananogewa na kupenda kujiingiza vitu vikubwa na vigumu zaidi ya uume, kama matango, chupa, na vikorokoro vingine.

4. Inaweza kusababisha saratani ya eneo hilo ‘cancer of colon’.

KWELI AU SI KWELI?
Wataalam
wamesema hakuna uhusiano wowote wa colon cancer na tigo. Kitu kinachoongeza uwezekano wa kupata colon cancer ni kuambukizwa virusi vinayoitwa “human papilloma virus” kupitia tigo. Lakini kama mwanaume hana virusi hivyo, au ametumia mpira wa kinga, tigo haiongezi uwezekano wa kupata cancer hiyo.

5. Ugonjwa wa UTI, yaani uambukizi kwa njia ya mkojo, huwa sugu, maana akitokea mwanaume alifanya kitendo hicho kisha akafanya ngono kama kawaida, bakteria wanaoishi sehemu hiyo wanaingia na kuwa na madhara makubwa.

KWELI AU SI KWELI?
Hii ni kweli kama mwanaume akiingiza uume wake ukeni baada ya kuutoa tigo.

6. Hasara yake kubwa mwanaume anayekufanyia mchezo huwa hawezi kukuoa, pia ni rahisi kukutangaza kwa jamaa zake na kuonekana kituko mbele za watu, kama umeolewa heshima yako hupungua ndani ya ndoa.

KWELI AU SI KWELI?
Nawageuzieni nyinyi swali hili. Kweli au sio kweli? Fungukeni!

7. Mwisho kabisa baada ya kuharibiwa ni kuwa na msongo wa mawazo na kuilaumu nafsi yako.

KWELI AU SI KWELI?
Si kweli. Hakuna uhusiano wowote wa tigo na msongo wa mawazo. Suala la kujilaumu nafsi ni tofauti kati ya mtu na mtu, na hakuna utafiti wowote unaoonyesha inahusiana na hili.

Madhara ya kweli yaliyoorodheshwa na wataalam, na si ya kutunga ni haya yafuatayo:

1. Uwezekano mkubwa wa kuambukizwa magonjwa ya zinaa kama HIV, na HPV(Human Papilloma Virus, ambavyo kama nilivyosema awali, ni virusi vinavyoongeza uwezekano wa kupata colon cancer) kama mwanaume anayehusika ana virusi/bakteria wa magonjwa hayo

2. Kuchubuka ngozi ya njia kubwa, hasa kama lubricant(sirima au vilainisho kama mafuta) havijatumika.

3. Kuumia njia ya haja kubwa, hasa kama vilainisho havijatumika, na kutumia vitu vingine vikubwa na vigumu kama uume wa bandia n.k

Nawasalisha.
 
MADHARA YA KIAFYA YASABABISHWAYO NA KUFANYA NGONO KINYUME NA MAUMBILE

Ngono kinyume na maumbile au wengine husema Ngono kwa nyia ya haja kubwa, ni hali ya kingono ambayo muhusika huingiza uume katika njia ya haja kubwa kwa lengo la kufanya mapenzi kwa njia hiyo ili kujirishiza hisia zake.

Watu ambao wanajishughulisha na kushiriki katika ngono ya nia hii ya kinyume na maumbile wapo katika hatari kubwa ya kiafya, kwa sababu njia ya haja kubwa inazungukwa na mishipa/neva nyingi sana zipo eneo hilo ambalo kazi zake si maalumu kwa tengo la ngono kwa kuingiziwa kitu ambacho hakistahiri eneo hilo.

Ambapo kwa utafiti uliofanyika Nchini Tanzania uliohusisha wasichana na wanawake wa rika kuanzia miakan 15 na kuendelea na iliyohusisha kada tofauti katika jamii kama wanafuzi, wafanyakazi, wahudumu wa baa, wauguzi, makahaba na kina mama wa majumbani katika maeneo tofauti. Watu waliojitokeza ni 903 wakiwemo pia wanaume walihusika katika tafiti hiyo.

Utafiti huo ulisema wanawake 44 kati ya 166 waliohojiwa walisema kuwa wamewahi kufanya tendo la kujamiiana kinyume na maumbile ambao ni sawa na asilimia 27 huku asilimia 73 ya waliohojiwa walidai kufahamu njia hiyo ya kufanya mapenzi kinyume na maumbile, katika Utafiti huo ulifanywa na Irene Mremi kutoka Taasisi ya utafiti wa magonjwa ya binadamu Nchini Tanzania.

Inakadiriwa kuwa asilimia 90% ya wanaume wanaofanya ngono na wanaume wenzao (mashoga) huwa wanajihusisha na ngono kinyume na maumbile.


JE, NGONO KINYUME NA MAUMBILE NI SALAMA?

HAPANA, Ngono kinyume na maumbile si salama kwa sababu ina madhara mengi kiafya kama yafuatavyo;

MOJA, Njia ya haja kubwa haina vilainishi/lubrication asilia kama jinsi Uke ulivyo.

Hivyo wakati wa tendo la ngono husasani wakati wa uingizaji wa uume huwa inasababisha kuchubuka kwa tisu/ngozi laini ndani ya njia ya haja kubwa hiyo, na hivyo kupelekea michubuko ambayo bacteria, virusi na hata vimelea vingine kuweza kupenyea wakati wa majeraha hayo ya michubuko na hivyo kuingia katika mfumo wa damu kupitia majeraha hayo.Hii inaweza kusababisha kuenea kwa magonjwa ya zinaa pamoja na VVU.

Tafiti zinaonyesha ya kuwa Ngono kwa Njia ya haja kubwa ipo katika hatari kubwa ya maambukizi ya virusi vya ukimwi kwa zaidi ya asilimia 30% kuliko watu wanaotumia njia ngono kwa njia ya Uke.

Vile vile mtu anakuwa katika hatari kubwa ya kupata virusi vya human papillomavirus (HPV ) ambavyo huweza kumpelekea mtu anayejihusisha na ngono kinyume na maumbile kupata muwasho katika eneo hilo la haja kubwa na hata kupelekea kupata kansa.

PILI, Tishu ndani ya njia ya haja kubwa, haijakingwa na kulindwa kwa ngozi ngumu kama ilivyo sehemu za nje za mwili. Tishu zote za nje ya miili yetu zina ngozi ambayo ni seli zilizokufa ambazo hutusaidia kutukinga dhidi ya maabukizi ya vimelea na vile vile hutulinda na vitu tofauti katika mazingira.

Hivyo ndani ya njia ya haja kubwa hakujakingwa na ulizi huo wa asili wa seli hizo ili kuweza kuhimili, hivyo kuifanya iwe katika hatari kubwa ya kusuguliwa na hivyo kuchanika ambayo hupekea kusababisha maambukizi kuwa rahisi kutokea.

Pia ngozi ndani ya njia ya haja kubwa iko tofauti na ile ya ukeni ambapo ngozi ya ukeni huweza kuhimili ile misuguano pasipo kuweza kusababisha michumbuko kwa sababu ya vilainishi asili vinavyoatikana ndian ya uke na gozi husika.

TATU, Njia ya haya kubwa ni Maalumu kupitisha Kinyesi tu.

Kwa jinsi ambavyo njia hii imeundwa ama kutengenezwa ni maalumu kwa kuhimili na kupitisha kinyeshi tu na si vinginevyo.

Njia ya haja kubwa imezungukwa na kama misuli mfano wa ringi ama kwa kitaalamu huitwa (Anal sphincter) ambayo kazi yake ni kukaza eneo hilo kabla na baada ya kujisaidia tu.

Kipindi ambapo misuli hiyo (anal sphincter)imekazwa ama kubwa kwa kuingiziwa kitu kingine kigumu huweza kusababisha maumivu makali kwa muhusika.

Panapoendelea kuwa na mrudio wa mara kwa mara wa ufanyaji wa Ngono kwa njia hii ya haja kubwa ama kinyume na maumbile hufanya misuli hiyo ya njia ya haja kubwa kuwa dhaifu ama kulegea na isiwe na uwezo tena wakukaza kama kazi yake inavyotakiwa kufanya. Na hivyo kuwa vigumu kuweza kuzuia kinyesi kuweza kupita mpaka utapokuwa tayari kuweza kukitoa hivyo kusababisha utokaji ovyo wa kinyesi.

NNE, Njia ya haja kubwa imejaa bacteria wengi.

Njia ya haja kubwa imejaa bacteria wengi sana tofauti na Ukeni kulivyo hata kama wapenzi hawana maambukizi yeyote ya zinaa au ugonjwa wowote bacteria huwa wapo tu eneo hilo na hawa ni bacteria wa kawaida (Normal flora).

Mtu anapokuwa naingiza uume ndani ya njia ya haja kuwa anakuwa anaingiza vimelea vingine vya bacteria katika eneo hilo na wanapokutana na wale bacteria wengine waliopo katika eneo hilo husababisha madhara.

Pia pale unapohamisha uume toka katika njia ya haja kubwa na kupeleka katika Njia ya Uke badi bacteria hao utawapeleka katika eneo Uke ambapo Njia ya haja kubwa inakuwa na bacteria wengi na hivyo kupelekea maambukizi ukeni na pia maambukizi katika njia mkojo.

Ngono kwa njia ya haja kubwa inaweza kusababisha madhara mengine kwa afya ya watu wanaojihusisha na Njia hii ya ngono na wanaweza kupata madhaara kama haya yafuatayo,
Pale mdomo unapogusana na njia ya haja kubwa au kugusa uume uliotoka kwenye njia ya haja kuwa kwa mdomo kunaweza kupelekea kupata kwa wote mtu na mpenzi wake kuwa katika hatari ya kupataa magonjwa ya HEPATITIS C, HERPES/ malengelenge, kupata virusi vya human papillomavirus (HPV) na maambukizo mengine.

Hata hivyo, majeraha makubwa wakati wa ngono kwa njia ya haja kubwa mara nyingine ingawa sio kila mara hali hii kutokea inaweza kupelekea Damu kuvuja kwa ndani (hemorrhoids) baada ya tendo hilo kufanyika ambalo inaweza kusababisha au kupasuka ama kuchanika kwa misuli/nyama ndani ya njia ya haya kubwa kwa sababu ya msuguano mkali na muda mwingine hupelekea kuweza kutoboka kwa utumbo mpana(colon) hii huweza kwa ni tukio la hatari zaidi ambalo huhitaji msaada wa kitabibu haraka kwa matibabu na hata kufanyiwa upasuaji zaidi na hata kupoteza maisha kunaweza kutokea.

TANO, pia kwa wanawake wengi wanaofanya ngono kinyume na maumbile wamekuwa wakipata shida wakati wa kujifungua kwa misuli yao kushindwa kuhimili kukaza kwakati wa kusukuma mtoto na hivyo inaweza kupelekea utokaji wa kinyesi wakati wa kusukuma mtoto. jambo ambalo huleta tabu kwa wahudumu wa afya kwa kutumia muda mwigi kuwahudumia.

Njia pekee ya kuepuka kabisa hatari hizo za ngono kinyume na maumbile ni kuacha kabisa ngono kwa njia hiyo ya haja kubwa.

shiriki katika ngono kwa njia ya kawaida na ikibidi kwa kutumia kondomu ili kujilinda dhidi ya kuenea kwa maambukizi ya magonjwa ya zinaa.

Kuepuka kuingiza uume ndani ya uke na kisha mdomoni ikiwa uume ulikuwa umeingizwa katika njia ya haja kubwa.

Ikiwa umepata michubuko na kutoka damu baada ya ngono ama vidonda karibia na njia ya haja kubwa na hata katika maeneo ya uke basi onana na daktari wako haraka iwezekanavyo ili upatiwe tiba hii iakusaidi kuzuia maambukizi ya vimelea katika eneo la jeraha.

MADHARA ANAYOWEZA KUYAPATA MWANAUME ANAYEPENDA KUJIHUSISHA NA MCHEZO HUU WA NGONO NI KAMA IFUATAVYO;

KWANZA, Kunauwezekano wa Njia ya haja ndogo kuziba kiasi au kuziba kabisa kwa sababu ya vimelea kuingia na kuziba ama kuingia kwa kinyesi katika njia ya haja ndogo hivyo kukuweka katika wakati mgumu utapohitaji kujisaidia haja ndogo.

PILI, unaweza kupata magonjwa ya saratani(kansa) ya tezi tezi Prostate gland.

TATU, Maambukizi ya Virusi vya ukimwi kwa sababu kuna uwezekano mkubwa sana wa kupata maabukizi tofauti na kwenye njia ya Uke hii ni kutokana na kuwa na uwezekano mkubwa wa kupata michubuko kiurahisi.

NNE, Kuathirika kisaikolojia hivyo mhusika kuandamwa na msongo wa mawazo kila wakati kujutia tendo hili baya.

Nina imanai ndugu msomaji wa makala hii umeweza kuona madhara mabaya sana ya tabia hii mbaya. Inawezekana umezoea mchezo huo wa kuwaingilia wenzako ama kuingiliwa kwa namna hiyo na kuona raha lakini umeziona hasara zake, amabazo kwa hakika kama wewe ni mmoja wao, unatakiwa kuacha mara moja kwa vile mwisho wake ni majuto na mateso.

Jiepushe kuiga mambo bila kujua hasara zake, pia usimtie mwenzako majaribu kwa kumlazimisha kufanya kitendo hiki na wanaume kwa kigezo cha kuachwa kwa lengo la kuwaingilia kinyume na maumbile kwa kuwatishia kuwaacha kama watakataa.

Kipi bora kuharibiwa ama kuachwa? Jibu unalo mhusika!!

Kumbuka baada ya kuharibiwa thamani yako inashuka mbele ya jamii. Kasha kupelekea kuingia katika msongo wa mawazo na mateso ya ugonjwa ama magonjwa utakayoyapata baada ya kukubali kuingiliwa kinyume na maumbile.

UKWELI MCHEZO HUU UMEWAATHIRI SANA WANAWAKE AMBAO WENGI WANAUJUTIA.
JIEPUSHE NA NGONO KINYUME NA MAUMBILE!!!!!
 
Back
Top Bottom