Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Nimekusikia baba mchungaji, ila msamaha wangu umeishia hapo. Aliniona simfai ndio maana akaondoka. Nitasubiri atayeona namfaa
 
Mimi na Thad ni maswahiba siku nyingi.
Kama hamjamalizana mmalizane sasahivi na mnipe majibu.
Moyo wangu wa makuti usinijie na kiberiti


Tumalizane vipi, kuhusu nini tena?
Mie ndio namuuliza hao marafiki zake mmojawapo katuletea mwarabu isije ikawa na wewe ndio walewale nijue mapema.

Jiandae kwenda kula matobolwa
 
Saf sana usirud nyuma hata kidogo akatafte type zake alijua malipo n mbingun ama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wahenga mi nawapenda sana!
wana misemo yao kuntu kabisa
-HAIKUFAA ALFAJIRI ITAFAA ADHUHURI?
-KISICHOFAA LEO, MILELE SI CHA AKIBA!
-KISICHO RIZIKI HAKILIKI
-MLA MLA LEO MLA JANA KALA NINI?
 
Hata usijali, ney hawezi kukutenda ubaya mkuu kiasi hicho[emoji4] [emoji4]
Asanteh rafiki yangu kipenzi kwa utetezi

Ila pole kwa maswahibu uliyokumbana nayo,
Watu wazima wanasema misukosiko ni msingi bora wa maisha, unakukuza na kukukomaza kiakili. Na hakika hakuna kingine kitakachokuumiza katika safari yako ya mahusiano,
Pole dear.
 
yaan huyu jirani Ney naona nifunge tu kwa maombi maana sijui kuna nini hapo katikati...nimejaribu hata kuwa rafiki yake sana ila my Dirty head wangu nae anamtetea.
Sasa hapo nakuwa njia panda
Ahahahaaaaaa jamani, mbona unanimaliza kiasi hicho rafiki yangu?
Mimi na kipenzi chako ni majirani tuu hakuna kingine
 
Asante kipenzi! Hakika yamenikomaza sijui jambo lipo linalohusiana na mapenzi litakalonisumbua tena.

Vipi jiraniyo KK hajambo? Maana kipenzi chake huku presha inapanda na kushuka[emoji12]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…