Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Nilishamsamehe zamani sana ila siwezi kurudiana naye, aliniona simfai ndio maana aliniacha na kufunga ndoa na rafiki yangu kipenzi, sina nilichobadilika mpaka anione leo ndio nafaa kuwa mkewe!
Wakati mwingine ili utambue umuhimu na ubora wa mtu ni mpaka itokee hampo wote ndio kila mmoja hujua umuhimu wa mwenzie na pia ndio hujua kumbe yule ni bora au ana nafuu zaidi ya wengine,
Niliacha kwa staili yako sema sikuoa, baada ya miaka miwili nkaanza kumkumbuka, alikua hanitoki akilini mwangu, anabaki kua bora zaidi ya wengine, nilianza kumtafuta bila mafanikio, baada mwaka mzima wa kumsaka mara paap tumekutana barabarani, tuliongea vizuri tukapeana mawasiliano,
Sasa tuna miaka 6 tunaishi pamoja kwa amani saanaa na tuna watoto wa3.

Asipochafuka atajifunzaje??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati mwingine ili utambue umuhimu na ubora wa mtu ni mpaka itokee hampo wote ndio kila mmoja hujua umuhimu wa mwenzie na pia ndio hujua kumbe yule ni bora au ana nafuu zaidi ya wengine,
Niliacha kwa staili yako sema sikuoa, baada ya miaka miwili nkaanza kumkumbuka, alikua hanitoki akilini mwangu, anabaki kua bora zaidi ya wengine, nilianza kumtafuta bila mafanikio, baada mwaka mzima wa kumsaka mara paap tumekutana barabarani, tuliongea vizuri tukapeana mawasiliano,
Sasa tuna miaka 6 tunaishi pamoja kwa amani saanaa na tuna watoto wa3.

Asipochafuka atajifunzaje??

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefurahishwa na ushuhuda wako. Ni kweli kuwa tunajifunza kutokana na makosa. Lakini huyu wangu alifika mbali mno na sasa si wangu tena bali ni mume wa mtu mpaka kifo kiwatenganishe. Nadhani pia moyo wangu ulishakubali kuwa umempoteza hivyo hata afanyeje sioni dalili za moyo wangu kurudisha hata robo ya mapenzi niliyokuwa nayo kwake.
 
Nimefurahishwa na ushuhuda wako. Ni kweli kuwa tunajifunza kutokana na makosa. Lakini huyu wangu alifika mbali mno na sasa si wangu tena bali ni mume wa mtu mpaka kifo kiwatenganishe. Nadhani pia moyo wangu ulishakubali kuwa umempoteza hivyo hata afanyeje sioni dalili za moyo wangu kurudisha hata robo ya mapenzi niliyokuwa nayo kwake.
Hata mimi nimeliona hilo la yeye kuoa ni changamoto kubwa sana kwako, hata yeye pia maana kiimani ya kikristo mtakua mnazini hata mkifunga ndoa nyingine km ile haijavunjwa, pia yule awezakuja baadae akawavuruga kwa kigezo yeye ndie mke halali wa ndoa.
Kama umeshamtoa nafsini mwako mpotezee kabisa, wala usijejaribu kurudisha hata urafiki wa kawaida, mapenzi yana nguvu sana, amini nakuambia usijesema tuu umelogwa. Hahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom