Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

siyo vizuri kukatishana tamaa kama hivi
kwani nini kigeni alichoandika MziziMkavu
ndo uonekane unaelewa zaidi, ok
kwanini haukutuhabarisha hapo awali.

Mkuu MziziMkavu salama? Umesahau kuweka source ya habari yako shekhe! Hii si umeikopi kwa "dinahicious"? Siku nyingine utakuwa unajivunjia heshima yako hapa jukwaani kwa kupuuzia mambo madogo madogo kama haya ya kuweka "source" tu!
 
Last edited by a moderator:
hakuna siri ya watu wawili kati yenu kam asiyo wote ataropoka tu na ndiyo maana chochote ambacho hakifai mnapokifanya roho za wahusika huwatuma kujidhalilisha kwa maana ya kutafuta msaada waache huo uchafu!

100% ya mapenzi ni uchaf,sasa cjui ww unaona kipya kipi..bado hizi ni siri za watu chumbani..na watu wengi wanafanya
 

msongo wa mawazo lazima uwepo kama ilikuwa ni hongo ya kukubalika khalafu anajikuta katupiwa virago vyake na kuachwa na maswali mengi pengine asingetoa mambo yangelimwendea vizuri..........na hata kama hapana angalau utu wake upo palepale, lol!
 
2. Kuchubuka ngozi ya njia kubwa, hasa kama lubricant(sirima au
vilainisho kama mafuta) havijatumika.

3. Kuumia njia ya haja kubwa, hasa kama vilainisho havijatumika, na kutumia vitu vingine vikubwa na vigumu kama uume wa bandia n.k

vilainisho haviwezi kuondoa michubuko kwa sababu sehemu husika ni laini mno na misuguano lazima itaacha maumivu ya michubuko tu tuseme utafiti ulio wa kweli.
 

haina uhusiano na kuoana. Kama kidume ni teja anaweza kuona hiyo nayo ni sifa kama mengineyo karidhika nayo.
 

makosa yote yana hadhi sawa machoni pa Muumba anayetigo, mwongo, fisadi na anayeua wote wasubiri kiama chao ambacho hakiko mbali. Jisomee 1 Corinthians 6: 9-11, Mathew 5: 19 and James 2:10-11
 
khaa, kwani hao wanawake wanafanyaga hiyo ti.go peke yao,
na nyie wanaume si mseme madhara yenu ya kuziba nanahiii,
twendeni sawa jamani au ndo mfumo dume.
 
Kuna haja ya kupanua wigo wa mjadala kuhusu matumizi ya hili neno kinyume na maumbile. Oral sex sasa hivi ni common sana katika maisha ya watu tena inashauriwa kabisa kama sehemu ya kuongeza msisimko katika mapenzi kwa wanandoa. Lakini hata siku moja hatukuwahi kuandikiwa juu ya hatari za hii aina ya ngono, pamoja na ukweli kwamba na yenyewe ina madhara mengi. Kuna watu wanatumia dildos, kuna wale wa mikono, kuna wanaonyonyana ndimi nk. Hizi zote ni dhahiri kwamba ni ngono kinyume na maumbile. Na sijui kama zinakubalika na dini yoyote au jamii yoyote. Kama tunataka kujadili jambo hili kwa kuangalia vitabu vitakatifu na miiko, basi tupige marufuku aina zote za ngono kinyume na ya ukeni. Nafikiri hili jambo linahitaji mjadala mpana sana!
 
Nijipitie zangu mie, ila ninacho jua k ni tamu kuliko tiGo.. K ina majimaji ambayo .. Ila tiGo kavu haitelezi kwanza
 
Wanaume wanaojita mabasha wambieni madhara yake msiwafumbie macho walaji na wanaoliwa tg wotu wana adhabu kubwa maskini wa mungu nyie
 
Usimfundishe au kumuelimisha mtu kwa ukali ndugu, isitoshe kuna watu humu hawatambui uwepo na Mungu au adhabu.
Wanaume wanaojita mabasha wambieni madhara yake msiwafumbie macho walaji na wanaoliwa tg wotu wana adhabu kubwa maskini wa mungu nyie
 
Haswaaa wa kino ndoni yani anajipelekea moto mwenyewe ukijidai kuto kushtuka basi tena unakua umelishwa bila kutarajia. Na kingine watu wana elimisha walwaji na walaji kwa kuwatishia
Jamani wanawake wa kibongo bila hilo swala wanaona kama siyo mjanja!
 
Mkuu Mkereketwa_Huyu Wengine ni wagonjwa kwa kula au kuliwa Tigo wamo humu ndani wengi tena sio huyo tu peke yake mkuu.@Janjaweed


Unafikiri? Yaani hapa Bongo uliwaji tigo naona umehalalishwa kitambo ila basi tu na tusipo angalia hii nchi itakuja tawaliwa na mshikishwa ukuta/mnazi siku moja na hapa ndipo tutakwisha. Mheshimiwa waziri MziziMkavu, yaani ni haibu kwani hata mimi nina wafanyakazi wenzangu wanaume ambao niliwahisi kwa kuliwa tigo muda mrefu tu kutokana na utembeaji wao na kule kujipaka manukato ya kike na ufeminism wao. Kumbe jamaa ni kweli wanaliwa na yule mshombe nasikia (sina uhakika) kuwa anatunzwa na jamaa pale Kariakoo/Jangwani. Nilivyobisha kwa kumpima mbea (jamaa aliyenisumulia) akili, ndipo akaniambia kama nataka na nina muda anipeleke tu kwake. Yaani tukae nje kwenye kiglosari anionyeshe. Hapa nikalowa na sikwenda maana nilisha amini. Sitaona hajabu akija ms.enge humu ndani kukulaani wewe mheshimiwa waziri kwa kuanika madhara ya uliwaji tigo.
 
Nawaachia nyie haya mwenzenu hata kimbele na maumbile sijawahiii:tape2:
 
Wanaume wanaojita mabasha wambieni madhara yake msiwafumbie macho walaji na wanaoliwa tg wotu wana adhabu kubwa maskini wa mungu nyie
Mkuu, usipaniki,kuwa balozi wa hayo uyajuayo, tupe hilo somo, usaidie kuelîmisha jamii. . .
 
Mkuu Mkereketwa_Huyu aje tu huyo Gay au Msagaji kunilani atalaanika yeye mwenyewe mimi ndio MziziMkavu baba yangu anaitwa hauchimbwi Dawa Mzaramo wa Bagamoyo kwetu Bagamoyo kuna kila kitu karibu nyumbani.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…