Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Umeandika kwa uchungu sana.
Utakua ushafiiiii...rwa siku siyo nyingi.
Natanguliza samahani lakini

Sent using Jamii Forums mobile app

unajua wanawake mi siwaelewagi...... kuna mmoja nilimjaribu akajifanya mkali kweli..... japo head ilizama... ila tuligombana mno kupelekea wiki nzima naomba msamaha..... lakini juzi kati nashangaa anajifanya bebi fanya km siku ile....... ananibembeleza..

usikute na huyu kaja kuona maoni yakoje.... maana alichokiandika ni urongo tu.
 
Sijasema mkemee uongo kwenye uzi wa ufi.raji ila wewe pia huwa na kuona unashadadia uzinifu wala sijawahi kuona unawakemea wazinzi kama hapa mishipa inavyokutoka. Kwenye imani yangu tuna adhabu moja tu ya mtenda dhambi nayo ni jehanamu ya moto wa milele haijalishi huyo mtu alidokoa nyama jikoni au aliua
 
Mpenda tigo ushindwe ushindwe na roho yako ichomwe kuzimu bila hata huruma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii michezo ya kuruka ukuta ipo sana kwenye mahusiano na ndoa nyingi..watu wanafanya kila siku lakini hapa nyuma ya keyboard watu wanapinga kwa nguvu zote...
 
Hivi nyie mnaofanya na kufanywa mnapata raha gani????!!
Mbele kote hakutoshi ??

Wote mnaofanya hvyoo ni mapepo tuu[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
hakika ni mapepo; japo nyie wa upande wa pili ndo chanzo kikubwa sana siku hizi; picha mnazopiga huku mkiwa mmegeuka ivi mnaoneshaga nn kwani.
 
Uzinifu huwezi kufananisha na ufirraaji.
Ndo mana kaumu lutwi waliangamizwa kwa dhambi hiyo kuonyesha hata Mungu aliona awatandike hapa duniani ili sisi tuone ukubwa wa hiyo dhambi.

Lakini pia naona unashindwa kutofautosha muktadhwa maaalumu na mambo ya ujumla.

Mtu akikuuliza kwamba afanyeje adumu muda mrefu kwenye tendo.kwa imani yangu hainiambii nianze kumuuliza kama umeoa au hujaoa bali nampa ushauri kulingana na swali husika.na wala sio kazi yangu na dini yangu hainifundishi hivyo kipekua pekua.

Ila mtu akijidhihirisha kwamba anazini moja kwa moja hilo sawa sawa.ama mtu akajidhihirisha mfanya liwatwi hapo tunaenda na mada husika.

Sasa naona unataka nimhukumu kila mtu uzinzi ilhali mambo hayako wazi.

Hata wewe pia siwezi nikakuhukumu uzinzi bali nakuchukulia ni mtu una ndoa yako.ukileta mada ya mapenzi nakuchukulia ni mtu una ndoa yako pia wala sitowaza kwamba landa unazini au vipi.

Sasa ichunguze upyaaa imani yako ambayo haitofautishi madhambi makubwa zaidi ambayo adhabu zake ni kali na madhambi ya wastani ambayo adhabu zake sio kama zile.

Hoja zako zinatetea wafir..aji na wafanywaji kwa sababu zinawafariji na kuwaaminisha watakuwa sawa na yule muiba kuku wa pale sinza,hivyo wanaendelea nazo na kujigamba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Wengi wanaojifanya hawataki ndiyo huwa mafundi wa hii mambo....kama wewe
 
madhara ni kwa wale wanaofanya mara nyingi mimi nafanya mara kidogo sana tena kwa dem wangu mmoja tu SWEET & HOT
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…