Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

HII HABARI INGEKUWA IMETOLEWA KUHUSU ZANZIBAR.ungefurahi jinsi wadau ambavyo wangetoa maoni yao humu
Sasa ikitolewa kuhusu Zanzibar kutakuwa na Uajabu gani?

Yaani uongelee habari ya samaki na kuiitaja bahari au ziwa iwe ajabu?

Ua not serious.
 
Kwani hao wa mwanza na wale wa zanzibar tofauti yao ni nini?
Sasa ikitolewa kuhusu Zanzibar kutakuwa na Uajabu gani?

Yaani uongelee habari ya samaki na kuiitaja bahari au ziwa iwe ajabu?

Ua not serious.
 
Watoto wanalelewa aje siku hizi? Mtoto wa darasa la nne si tu anajihusisha na ngono, bali anaona ni lazima ashiriki kana kwamba ni wajibu wake, na anajua kuingiliana kinyume cha maumbile, ati kuzuia mimba! Na ukimwi je?
 
Mimi hizi zinazoitwa ''asasi'' huwa napokea yale wanayosema kwa kuchuja sana. Nyingi zimeundwa kwa ajili ya ulaji hivyo huwa wana-create mambo mengi ili jamii zionekane zina changamoto na wao waonenekane wanafanya kazi!
 
Halafu huyo mtoto mpaka afike chuo amalize uje umuoe si atakua na duara huko?

Nawahurumia sana kizazi kijacho
Nyimbo zinazowasifia akina Amber rutty si ndo zimeshika kasi,... Paka mate itereze....
 
Wanafunzi wa shule ya msingi!!! Tena Darasa la nne??? Inaumiza sana nikiwa kama mzazi pia.
 
Hizi simu za kisasa n janga. Kuna mama mmoja jirani yangu huwa namrekebishia simu yake, amejaza porn videos tena anal. sasa ana mtoto wa kiume darasa la sita, uwa anamuomba mama ake simu acheze games. kumbe anacheki xvideos. Wazazi tunastaili lawama
 
Nilichojifunza
Mwanza ni waumini wakubwa saaana wa ngono
Sasa inapokuja kukinga madhara ya ngono ndio hawajui kabisaa wafanyeje

Hapo ni kwa mwanza mjini, ukienda visiwani ni aibu kama si muumini wa haya mambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…