Aiseee! Yaani hapo anajikuta ye mwenyewe ndio mchochezi na si ajabu ikija kutokea mwanae anayaiga hayo atabaki kumlaani na kumtolea kugha chafu kumbe ye ndio chanzo.Hizi simu za kisasa n janga. Kuna mama mmoja jirani yangu huwa namrekebishia simu yake, amejaza porn videos tena anal. sasa ana mtoto wa kiume darasa la sita, uwa anamuomba mama ake simu acheze games. kumbe anacheki xvideos. Wazazi tunastaili lawama
Wewe msichana usipomtaja Lissu huwa hujisikii ashkida jitahidini muisimamishe au ipunguze speed ili angalau na lissu aje atawalle nci hata miezi sita kuanzia mwaka 2039 atakapoachia jpm
Mbona kama haujiamini mkuu?Halafu huyo mtoto mpaka afike chuo amalize uje umuoe si atakua na duara huko?
Nawahurumia sana kizazi kijacho
umejuaje.....hahahahaUnafikiri mliwa tigo anaenjoy ukimgegeda kupitia vigina??
Wakat wao ndo wamewafundishaDada zao wa Jf wasiige hi tabia
Dunia ukismama nashuka Na wwMambo yanazidi kua mabaya
dunian kuna mamboDaah, dunia ina mambo...!
Kinyume na maumbile sio lazim kutoa mkundu ata kunyonyana tu ni kinyume na maumbile.Halafu huyo mtoto mpaka afike chuo amalize uje umuoe si atakua na duara huko?
Nawahurumia sana kizazi kijacho
Isitoshe tanzania tuna changamoto nyingi za kutatua kuliko hii.Hii issue ni ndogo sana na ipo toka zamani.....ila naona kama media zinaishupalia sana....haya mambo hayafai hata kuandikwa kwenye magazeti
Tanzania ndo hii sasa, wanapenda nyimbo za kipuzi sijui weka mate niteleze, mara nyege nyegezi...alafu wanakula vifaranga kabla havijakomaa, shetani ashindwe ...naomba upuzi huu usifike 254
Baadhi ya wanafunzi wa kike katika Shule za Msingi na Sekondari jijini Mwanza, wamedaiwa kujihusisha na mapenzi ya kinyume na maumbile, kwa kile kilichoelezwa kukwepa kubeba mimba na kupelekea kufukuzwa shule.
Hayo yamebainika mkoani Mwanza kwenye kikao cha wadau wa elimu, kilicholenga kujadili mkakati wa kutokomeza mimba za utotoni ikiwemo kutoa elimu juu ya madhara ya kufanya mapenzi, katika umri mdogo.
Matoke Jackson ni Mkurugezi wa Asasi ya Usaidizi wa Kisheria ya Wilaya ya Ilemela (ILABU) ameibainisha kuwepo kwa tatizo hilo kwa changamoto hiyo kwa wanafunzi hasa wa shule za msingi kujihusisha na mapenzi ya kinyume na maumbile.
“Kwenye utoaji wa elimu hii tumegundua mpaka Shule za Msingi sasa ni tatizo, mpaka watoto wa Darasa la nne wanajua namna ya kufanya mapenzi, tena hasa ya mapenzi ya kinyume na maumbile, yamelipuka sana kwenye Shule za Msingi kuliko za Sekondari” amesema Mateko Jackson
Najaribu kupata picha mzazi unapojisifia kwa wenzio kuwa mtoto wako anajitunza sana kumbe to the other side mambo yanaendelea kwa mtindo huo,inahuzunisha sana kwakweli...Hii dunia inaelekea ukingoni.
Maumivu yake hayaelezeki. Pia mimi nawawazia wazazi wa mtoto kama amber ruti na ile video yake, maneno yake. Yan nawawazia sana wazazi wenye watoto design ile.yani nikionaga mashoga huwa navuta picha jinsi wazazi wao wanavyoumia,
.“Kwenye utoaji wa elimu hii tumegundua mpaka Shule za Msingi sasa ni tatizo, mpaka watoto wa Darasa la nne wanajua namna ya kufanya mapenzi, tena hasa ya mapenzi ya kinyume na maumbile, yamelipuka sana kwenye Shule za Msingi kuliko za Sekondari” amesema Mateko Jackson
Kwa watoto wa kike hili jambo haliumi sana kama mtoto wa kiume,...kwa mtoto wa kiume unaweza ukakutana na kiharusi cha ghaflaNajaribu kupata picha mzazi unapojisifia kwa wenzio kuwa mtoto wako anajitunza sana kumbe to the other side mambo yanaendelea kwa mtindo huo,inahuzunisha sana kwakweli...
Maumivu yake hayaelezeki. Pia mimi nawawazia wazazi wa mtoto kama amber ruti na ile video yake, maneno yake. Yan nawawazia sana wazazi wenye watoto design ile.