dunian kuna mambo
ninapo kuwa mkimya ,watu wananifata fata na maneno...ili wanione ni mbaya.......
Wache wa oane .....
makanisa mengi sasa yanaongea habari za hofu juu ya shetani na hazimuhubiri MUNGU kama mwanzo.Dini zimezidiwa speed na utandawazi. Wabadili mbinu za kuifanya jamii iwe na hofu ya Mungu.
Sawa kabisa mhenga mwezangu........Ili wakupe sifa mbaya...
Sawa kabisa mhenga mwezangu........
Hadi leo sijui wanao jiita bongo fleva wanaimba nini mkuu..Hatari sana huo wimbo
Haya mambo yapo muda mrefu...toka miaka ya 1980's...mm nilisoma shule ya msingi hapa dar na wasichana micharuko walikua wako wazi kusema wanatumia mtindo huo wasipate mimba na walikua wanaweka pamba wasiadhirike,nawakumbuka wawili waliokua wakiishi kinondoni/mwananyamala, jamii iliyowazunguka ilikua inajua kwani hata ss wanafunzi wa kiume tulijua...sema ni kwa vile tulikua hatujapevuka sana kujua raha na mambo ya dunia...😂😂
Baadhi ya wanafunzi wa kike katika Shule za Msingi na Sekondari jijini Mwanza, wamedaiwa kujihusisha na mapenzi ya kinyume na maumbile, kwa kile kilichoelezwa kukwepa kubeba mimba na kupelekea kufukuzwa shule.
Hayo yamebainika mkoani Mwanza kwenye kikao cha wadau wa elimu, kilicholenga kujadili mkakati wa kutokomeza mimba za utotoni ikiwemo kutoa elimu juu ya madhara ya kufanya mapenzi, katika umri mdogo.
Matoke Jackson ni Mkurugezi wa Asasi ya Usaidizi wa Kisheria ya Wilaya ya Ilemela (ILABU) ameibainisha kuwepo kwa tatizo hilo kwa changamoto hiyo kwa wanafunzi hasa wa shule za msingi kujihusisha na mapenzi ya kinyume na maumbile.
“Kwenye utoaji wa elimu hii tumegundua mpaka Shule za Msingi sasa ni tatizo, mpaka watoto wa Darasa la nne wanajua namna ya kufanya mapenzi, tena hasa ya mapenzi ya kinyume na maumbile, yamelipuka sana kwenye Shule za Msingi kuliko za Sekondari” amesema Mateko Jackson
Haujawahi kuwatafuta kweli?Haya mambo yapo muda mrefu...toka miaka ya 1980's...mm nilisoma shule ya msingi hapa dar na wasichana micharuko walikua wako wazi kusema wanatumia mtindo huo wasipate mimba na walikua wanaweka pamba wasiadhirike,nawakumbuka wawili waliokua wakiishi kinondoni/mwananyamala, jamii iliyowazunguka ilikua inajua kwani hata ss wanafunzi wa kiume tulijua...sema ni kwa vile tulikua hatujapevuka sana kujua raha na mambo ya dunia...[emoji23][emoji23]
Utashangaa matangazo yanasema, je huna kazi, hujaolewa, huna pesa, umechoshwa na umasikini. Njoo upate suluhisho la matatizo yako.makanisa mengi sasa yanaongea habari za hofu juu ya shetani na hazimuhubiri MUNGU kama mwanzo.
Hayahubiri tena habari za kwenda mbinguni bali wanaubiri MAFANIKIO ya hapa duniani na hasa mwili na kuwafanya wanadamu kuamini kuwa duniani ni mahali salama haijawahi tokea!
Hatari sana hii.
Baadhi ya wanafunzi wa kike katika Shule za Msingi na Sekondari jijini Mwanza, wamedaiwa kujihusisha na mapenzi ya kinyume na maumbile, kwa kile kilichoelezwa kukwepa kubeba mimba na kupelekea kufukuzwa shule.
Hayo yamebainika mkoani Mwanza kwenye kikao cha wadau wa elimu, kilicholenga kujadili mkakati wa kutokomeza mimba za utotoni ikiwemo kutoa elimu juu ya madhara ya kufanya mapenzi, katika umri mdogo.
Matoke Jackson ni Mkurugezi wa Asasi ya Usaidizi wa Kisheria ya Wilaya ya Ilemela (ILABU) ameibainisha kuwepo kwa tatizo hilo kwa changamoto hiyo kwa wanafunzi hasa wa shule za msingi kujihusisha na mapenzi ya kinyume na maumbile.
“Kwenye utoaji wa elimu hii tumegundua mpaka Shule za Msingi sasa ni tatizo, mpaka watoto wa Darasa la nne wanajua namna ya kufanya mapenzi, tena hasa ya mapenzi ya kinyume na maumbile, yamelipuka sana kwenye Shule za Msingi kuliko za Sekondari” amesema Mateko Jackson
Alafu bado atalalamika ety haridhishwi[emoji16][emoji16][emoji16]Halafu huyo mtoto mpaka afike chuo amalize uje umuoe si atakua na duara huko?
Nawahurumia sana kizazi kijacho
Ni khatwar sanaDaah! Inasikitisha sana.
Halafu wazazi wa kike ndio wanakosaga umakini katika hili la kuacha mambo yao wazi kwenye simu na watoto wanaazima kucheza games wanakutana na hayo mamboAiseee! Yaani hapo anajikuta ye mwenyewe ndio mchochezi na si ajabu ikija kutokea mwanae anayaiga hayo atabaki kumlaani na kumtolea kugha chafu kumbe ye ndio chanzo.
Aisee....wa humu hawatoiDada zao wa Jf wasiige hi tabia
Serikali inaunga mkono haya maana sijawahi kusikia kutoa amri kufunga mitandao yote ya ngono najuwa ziko njia watafungua lakini itapunguwa TCRA badala ya kufunga hii mitandao ya ngono kisheria wako busy kumpeleka mahakamani Wema sababu ya kivideo wala sio kibaya hivyo ila mambo mengine yote free kwenye simu. PIGA BAN SITE ZOTE ZA NGONO.Jamii yetu inahitaji mabadiliko makubwa SANA tena ya haraka. Mitandao ndio inaharibu hawa watoto kiasi hiki. Wanaangalia picha chafu (pornography). Ubaya ni kwamba ukishaanza kuangalia tu unakuwa mtumwa kama mtu anayetumia madawa ya kulevya. Linalofuata ni kufanya ulichoona kwenye hizo video chafu. Nawasikitikia sana vijana watakaoingia kwenye ndoa miaka kumi na zaidi ijayo.