Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Mchezo huu umekuwa ukipendwa sana na wanaume wengi ambao wengi wao huwa hawatumii kinga na kusababisha wengi kupata magonjwa ya zinaa pamoja na maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU).

Lakini mchezo wa kuruka ukuta umekuwa na madhara makubwa sana kwa wanaume wanaoufanya kwa muda mrefu.

Tulipoangalia upande wa wanawake, tuliona sehemu kubwa ya wanaopenda mchezo huu ni wanaume ambao wengine wamebatizwa majina ya ‘basha’, wakimaanisha mwanaume mpenda kuruka ukuta bila kujali kumtumia mwanaume mwenzake au mwanamke.

Kwa vile nia ya kona hii ni kuelimisha madhara ya mtu kupenda kuruka ukuta ili aache mara moja, tunaendelea kutoa elimu ya bure ili mtu yakimkuta ajue yamempata kwa kiburi chake na kwa kupenda starehe ya kipuuzi.

Madhara anayoyapata mwanaume anayependa mchezo huo ni kama ifuatavyo:

Kwanza: Husababisha kusinyaa au kuweka makovu kwenye njia ya haja ndogo.

Pili: Njia ya haja ndogo kuziba kiasi au kuziba kabisa.

Tatu: Kupata saratani (kansa) ya tezi za figo (prostate gland).

Nne: Kupata magonjwa sugu ya uti wa mgongo.Tano: Kuharisha.

Sita: Maambukizi ya VVU ambapo mwisho wake ni Upungufu wa Kinga Mwilini (Ukimwi)

Saba: Baadaye mhusika kupata msongo wa mawazo au sonona kwa kujutia tendo hilo.

Nina imani ndugu yangu umeona madhara mabaya sana ya tabia hiyo mbaya. Inawezekana umezoea mchezo huo wa kuwaingilia wenzako na kuona raha lakini tumeona madhara yake, ambayo kwa hakika kama wewe ni mmoja wao, unatakiwa kuacha mara moja kwa vile mwisho wake ni majuto na mateso.

Jiepushe kuiga mambo bila kujua faida na hasara zake pia usimtie mwenzako majaribuni kwa kumlazimisha kuingia kwenye mchezo huo.

Wanawake wengi wamekuwa wakilazimishwa na wanaume kuingiliwa kinyume na maumbile kwa kuwatishia kuwaacha kama watakataa.Swali linakuja, kipi bora, kuharibiwa au kuachana?

Kumbuka baada ya kuharibikiwa, thamani yako hushuka na sifa yako ikiwafikia waharibifu wa watu, basi unageuzwa jamvi la mtaa na hatimaye unakufa kwa msongo wa mawazo au mateso ya ugonjwa utakaupata baada ya kukubali kuingiliwa kinyume na maumbile.

Unaweza kushangaa baada ya kuelezea madhara yanayowapata wanaume nimehamia kwa wanawake.

Ukweli mchezo huu umewaathiri sana wanawake ambao wengi wanaujutia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Weka picha
 
Habari wakuu wa Jf family.....
Jamii yetu kwa sasa inapitia hii laana kubwa ya dunia ambayo natumai itatupeleka wengi motoni kwani ni kitendo ambacho kinaenda na kinyume na matakwa ya muumba wetu.

Vijana kwa wakubwa wengi wameshikwa na matamanio ya kufanya hili jambo wakiamini ni njia mbadala ya kupata raha zaidi na wengi huamini kuwa kuna utamu zaidi ya njia salama ambayo muumba wetu alitupatia...

Kufanya mapenzi kinyume na maumbile kuna madhara mengi kwa mwanamke na mwanaume. Mwanamke anayefanyiwa kitendo hichi kwanza hupelekea mishipa ambayo inamsaidia kuratibu swala lazima la haja kubwa kufeli kufanya kazi vizur hivyo humsababishia tatizo la kujinyea kwani mishipa inakuwa imelegea kiasi kwamba inashindwa kuvumilia speed ya kinyesi na kusababisha njia kuachia tu!!

Lakini Pia kwa mwanamke hichi kitendo humsababishia kuleta matatizo kwenye maswala ya uzazi kwani husemekana mwanamke hushindwa kujifungua kwa njia ya kawaida na wengi hufanyiwa operation.
Kwa mwanaume anayefanya hichi kitendo anahatari ya kupata magonjwa ya kansa kwenye njia yake ya mkojo kwani lakini hupelekea wakati mwingine kupata UTI, lakini pia magonjwa ya zinaa pia yanaweza kumpata kwa kufanya kitendo hichi!!!

JAmani tuache maisha ya kuiga mambo ambayo hayana faida zaidi yakutuongezea maradhi...kwani huwa tunakwama wapi jamani??? Hii ni dhambi kubwa sana jamani mbele mbona kutamu tu jamani!!

Mnaofanya hivi vitendo naombeni Muache na Mwenyezi Mungu awasameheehhe kwani Muumba wetu ni muelewa na yupo tayari kumpokea yule ambaye anakiri makosa yake na yupo tayari kumpokea.... Hata kwa ndugu zangu waislamu sidhani kama MTUME Mohammad (S.A.W) anapendezwa na hili swala.

Natamani serikali yetu ingewatumia madaktari wetu kutoa elimu juu ya haya mambo katika jamii zetu natumaini case nyingi za watu wanaoingiliwa kinyume na maumbile yao bila ridhaa yao yangepungua...

Na WW KIJANA AU MZEE UNAYEMLAZIMISHA MPENZI WAKO AU MKE WAKO WA NDOA KUSHIRIKI HII LAANA USHINDWE NA MWENYEZ MUNGU AKAKUONGOZE KATIKA NJIA SAHIHI...
 
Njoo pm
HAKUNA KITU NACHUKIA KAMA HUU UPUUZI.
Kuna demu mmoja hivi anaitwa Ney anaishi Tabata Bima aliwahi kunishawishi nishiriki nae hii laana eti nikimmwagia zile mambo kule nyuma matako yatazidi kuwa makubwa sio siri nilichukia mno na tulia hana siku hiyo hiyo
 
HAKUNA KITU NACHUKIA KAMA HUU UPUUZI.
Kuna demu mmoja hivi anaitwa Ney anaishi Tabata Bima aliwahi kunishawishi nishiriki nae hii laana eti nikimmwagia zile mambo kule nyuma matako yatazidi kuwa makubwa sio siri nilichukia mno na tuliachana siku hiyo hiyo
Safi sana kijana jasiri mwenye kujielewa[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Kwakweli mapenzi ya aina hii ni ya kijinga Sana..nimeona sehemu video binti analia mavi yanamtoka anaomba aletewewe ndoo..kijana aliyemfanya hivyo anachekelea kwa furaha (wao wanaita kumtoa bikira)
Yaani Ni ukatili na ujinga/upumbavu wa kiwango Cha juu Sana
 
Kwakweli mapenzi ya aina hii ni ya kijinga Sana..nimeona sehemu video binti analia mavi yanamtoka anaomba aletewewe ndoo..kijana aliyemfanya hivyo anachekelea kwa furaha (wao wanaita kumtoa bikira)
Yaani Ni ukatili na ujinga/upumbavu wa kiwango Cha juu Sana
Nitumie nione na mimi mkuu
 
Back
Top Bottom