Ndo nn sasasiyo tu sema u
Weweee na we unaangalia tu kiumbe anakufa bila hatia!!!wanyama huwa wanaingiliana kinyume na maumbile, kuna siku moja bata dume lilimpanda jogoo hadi jogoo akafa! Halafu kuna jamaa yangu alikuwa na mbuzi beberu ambalo lilikuwa na nyege balaa... yaani halichagui mbuzi wa kupanda; lilikuwa linapanda hata mbuzi dume wadogo wadogo.
Kwa sababu wana akiliMara nyingi nimewasikia watu wakisifia kula au kuliwa tigo, sasa kwa nini wanyama kama mbwa,mbuzi simba hawatumii tigo?
Swali la pili ni kwa nini wanyama dume kwa dume hawafanyi mapenzi pamoja kama Binaadam? Au tuseme hakuna mbwa shoga au simba shoga? Inakuwaje? Au ndio tuseme wanyama wamewazidi Binaadam kwa akili?